Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria: Nchi za Kiarabu zimetumia dola bilioni 130 kuharibu Yemen, Libya na Syria

    Algeria: Nchi za Kiarabu zimetumia dola bilioni 130 kuharibu Yemen, Libya na Syria

    Nov 12, 2017 09:08

    Waziri Mkuu wa Algeria Ahmed Ouyahia amesema kuwa, baadhi ya nchi za Kiarabu zimetumia dola bilioni 130 kwa aajili ya kuangamiza na kuharibu nchi za Yemen, Libya na Syria.

  • Ouyahia: Jeshi linafanya njama za kuipindua serikali ya Algeria

    Ouyahia: Jeshi linafanya njama za kuipindua serikali ya Algeria

    Nov 04, 2017 11:23

    Waziri Mkuu wa Algeria ametahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea mapinduzi ya kijeshi katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Makumi ya watu wenye silaha waangamizwa Algeria

    Makumi ya watu wenye silaha waangamizwa Algeria

    Oct 10, 2017 04:41

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza kuwa, wanajeshi na polisi wa nchi hiyo wameua magaidi 86 kwenye maeneo tofauti ya nchi hiyo katika kipindi cha miezi minane ya kwanza ya mwaka huu.

  • Algeria yataka kurejea Syria katika Jumuiya ya Kiarabu

    Algeria yataka kurejea Syria katika Jumuiya ya Kiarabu

    Sep 24, 2017 04:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Syria ni wa kihistoria na kusisitiza kuwa Algeria inataka Syria irejee katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Wanazuoni wa Algeria wapinga kuondolewa

    Wanazuoni wa Algeria wapinga kuondolewa "Bismillah" katika vitabu vya shule nchini humo

    Sep 14, 2017 10:11

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu nchini Algeria imekosoa vikali hatua ya Wizara ya Elimu ya nchi hiyo ya kuondoa neno "Bismillahi Rahman Rahiim" katika vitabu vya mwaka mpya wa masomo nchini humo.

  • Washukiwa sita wa ugaidi watiwa mbaroni Algeria

    Washukiwa sita wa ugaidi watiwa mbaroni Algeria

    Sep 10, 2017 22:49

    Maafisa wa kulinda usalama nchini Algeria wamewatia mbaroni watu sita wanaoshukiwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Aliyefanya mashambulizi ya kigaidi Algeria atambuliwa

    Aliyefanya mashambulizi ya kigaidi Algeria atambuliwa

    Sep 01, 2017 22:00

    Duru za usalama za Algeria zimetangaza habari ya kujulikana utambulisho wa mtu aliyefanya shambulio la kujiripua kwa bomu kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Iraq yaishukuru Iran kwa misaada yake muhimu kwa serikali ya Baghdad

    Aug 28, 2017 10:19

    Balozi wa Iraq nchini Algeria ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuwa nchi ya kwanza kuwasaidia wananchi wa Iraq katika wakati mgumu hasa wakati wanachama wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh walipokaribia kuutwaa mji mkuu wa nchi hiyo, Baghdad.

  • Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Maficho kadhaa ya magaidi yasambaratishwa nchini Algeria

    Aug 26, 2017 22:10

    Wizara ya Ulinzi ya Algeria imetangaza habari ya kuangamizwa maficho kadhaa ya magaidi kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Misri yazuia misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingia Gaza

    Aug 19, 2017 10:53

    Serikali ya Misri imezuia misafara ya misaada ya kibinadamu ya Algeria kuingizwa katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS