Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Rais wa Algeria: Dunia nzima ishikamane kung'oa mizizi ya ugaidi

    Aug 19, 2017 10:21

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria ametoa wito kwa nchi zote duniani kushikamana kwa ajili ya kung'oa mizizi ya ugaidi.

  • Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria nchini Iraq, kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Aug 10, 2017 06:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Abdul Qader al-Masahel jana tarehe 8 Agosti aliwasili Baghdad nchini Iraq na kufanya mazungumzo na viongozi wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Algeria lanasa maghala ya silaha za magaidi

    Jeshi la Algeria lanasa maghala ya silaha za magaidi

    Aug 05, 2017 09:01

    Wizara ya Ulinzi nchini Algeria imetangaza kuwa, imefanikiwa kunasa maghala kadhaa ya silaha yanayomilikiwa na magaidi katika maeneo tofauti ya nchi hiyo.

  • Algeria: Kamwe hatutachukua mkopo wa kigeni licha ya matatizo yetu

    Algeria: Kamwe hatutachukua mkopo wa kigeni licha ya matatizo yetu

    Jul 31, 2017 02:54

    Waziri Mkuu wa Algeria amesema kuwa, kuchukua mkopo wa kigeni ni mstari mwekundu wa serikali yake.

  • Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu

    Jul 19, 2017 12:49

    Mwandishi maarufu wa nchini Algeria Haddat Hizam, amesema kuwa kinyume na madai yanayotolewa, Saudia si tu kwamba haina na nafasi yoyote yenye maslahi katika eneo, bali ni nyenzo bora inayotumiwa na Marekani kuwalenga Waislamu.

  • Mauritania yayatangaza maeneo yanayopakana na Algeria kuwa ya kijeshi

    Mauritania yayatangaza maeneo yanayopakana na Algeria kuwa ya kijeshi

    Jul 15, 2017 02:39

    Wizara ya Ulinzi ya Mauritania imeyatangaza maeneo ya mpaka wa kaskazini mwa nchi hiyo ambayo yanapakana na Algeria kuwa maeneo ya kijeshi na kwa msingi huo imewataka raia kutokaribia maeneo hayo.

  • Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Algeria: Mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama wa nchi zote za Afrika

    Jul 11, 2017 03:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa, mitandao ya magendo ya binaadamu inatishia usalama na amani ya nchi zote duniani.

  • Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Rais wa Algeria amtaka mkoloni Mfaransa aiombe radhi nchi yake

    Jul 06, 2017 03:11

    Rais Abdelaziz Bouteflika wa Algeria kwa mara nyingine amemtaka mkoloni mkongwe wa Ulaya yaan Ufaransa aiombe radhi rasmi nchi yake kutokana na jinai kubwa alizowafanyia wananchi wa Algeria.

  • Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Algeria: Waafrika elfu tano wamejiunga na makundi ya kigaidi

    Jul 04, 2017 08:13

    Rais wa Algeria ametahadharisha kuhusu hatari ya vijana elfu tano wa Afrika waliojiunga na mkundi ya kigaidi.

  • Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Algeria: Tutatoa ushirikiano wowote kusaidia kutekelezwa makubaliano ya kisiasa Libya

    Jun 25, 2017 23:46

    Serikali ya Algeria imeuhakikishia Umoja wa Mataifa kufanya juhudi zozote zinazohitajika kwa ajili ya kufanikisha utekelezwaji wa makubaliano ya kisiasa nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS