-
Watu 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Algeria
Jul 19, 2023 10:34Takriban watu 34 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotolewa alfajiri ya leo nchini Algeria.
-
Mashauriano ya kirafiki yanayotawala katika uhusiano wa Iran na Algeria
Jul 09, 2023 08:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf, ambaye amekuwa ziarani hapa nchini kwa mwaliko wa Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametoa matamshi ya kirafiki na ya heshima sana kuhusu uhusiano wa Algeria na Iran katika mkutano wa pamoja na waandishi wa habari aliofanya na mwenyeji wake.
-
Raisi: Uhusiano wa Iran na Algeria unaweza kupanuliwa katika nyanja za biashara na uchumi
Jul 09, 2023 05:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano kati ya Iran na Algeria kuwa ni baina ya nchi mbili rafiki, wa kidugu na Kiislamu, ambao unaweza kupanuliwa kwa kuzingatia misimamo ya kieneo na kimataifa ya pande mbili katika nyuga mbalimbali zikiwemo nyanja za kibiashara na kiuchumi.
-
Algeria: Umoja wa Mataifa hauna uwezo wa kuwatetea wanaokandamizwa
Jul 06, 2023 07:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Umoja wa Mataifa hauwezi tena kuwasaidia watu wanaodhulumiwa duniani.
-
Bunge la Algeria lakosoa siasa za kinafiki za nchi za Magharibi
Jul 06, 2023 02:19Bunge la Algeria limeyalaumu mabunge ya nchi za Magharibi kwa siasa zao za kinafiki na kindumakuwili kuhusiana na maandamano na machafuko ya hivi karibuni nchini Ufaransa.
-
Kuendelea mvutano wa Algeria na Ufaransa; kufutwa Kifaransa katika vyuo vikuu vya Algeria
Jul 05, 2023 07:50Serikali ya Algeria imeamua kufuta lugha ya Kifaransa na badala yake kuweka Kiingereza kwa ajili ya kufundishia masomo ya chuo kikuu sambamba na kukaribia kuanza mwaka mpya wa masomo mnamo mwezi Septemba.
-
Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa
Jun 24, 2023 02:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameijia juu Ufaransa kwa kujiingiza kwenye mjadala kuhusu wimbo wa taifa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi
Jun 18, 2023 02:47Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.
-
Rais Tebboune: Kujiunga Algeria katika BRICS, sababu ya kustawi nchi hiyo
May 07, 2023 06:51Rais wa Algeria amesema kuwa kujiunga nchi hiyo ya Kiafrika na kundi la BRICS kutaisaidia Algeria kupiga hatua.
-
Algeria yataka kikao cha dharura cha Mabunge ya Kiislamu kujadili hujuma za Israel dhidi ya al-Aqswa
Apr 11, 2023 02:16Spika wa Bunge la Algeria ametoa mwito wa kuitishwa mkutano wa dharura kuhusu Palestina ili kujadili hali ya mambo hasa baada ya hujuma na mashambulio ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel dhidii ya msikiti wa al-Aqswa.