Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Watu 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Algeria

    Watu 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Algeria

    Jul 19, 2023 10:34

    Takriban watu 34 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotolewa alfajiri ya leo nchini Algeria.

  • Mashauriano ya kirafiki yanayotawala katika uhusiano wa Iran na Algeria

    Mashauriano ya kirafiki yanayotawala katika uhusiano wa Iran na Algeria

    Jul 09, 2023 08:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf, ambaye amekuwa ziarani hapa nchini kwa mwaliko wa Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametoa matamshi ya kirafiki na ya heshima sana kuhusu uhusiano wa Algeria na Iran katika mkutano wa pamoja na waandishi wa habari aliofanya na mwenyeji wake.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Algeria unaweza kupanuliwa katika nyanja za biashara na uchumi

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Algeria unaweza kupanuliwa katika nyanja za biashara na uchumi

    Jul 09, 2023 05:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano kati ya Iran na Algeria kuwa ni baina ya nchi mbili rafiki, wa kidugu na Kiislamu, ambao unaweza kupanuliwa kwa kuzingatia misimamo ya kieneo na kimataifa ya pande mbili katika nyuga mbalimbali zikiwemo nyanja za kibiashara na kiuchumi.

  • Algeria: Umoja wa Mataifa hauna uwezo wa kuwatetea wanaokandamizwa

    Algeria: Umoja wa Mataifa hauna uwezo wa kuwatetea wanaokandamizwa

    Jul 06, 2023 07:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Umoja wa Mataifa hauwezi tena kuwasaidia watu wanaodhulumiwa duniani.

  • Bunge la Algeria lakosoa siasa za kinafiki za nchi za Magharibi

    Bunge la Algeria lakosoa siasa za kinafiki za nchi za Magharibi

    Jul 06, 2023 02:19

    Bunge la Algeria limeyalaumu mabunge ya nchi za Magharibi kwa siasa zao za kinafiki na kindumakuwili kuhusiana na maandamano na machafuko ya hivi karibuni nchini Ufaransa.

  • Kuendelea mvutano wa Algeria na Ufaransa; kufutwa Kifaransa katika vyuo vikuu vya Algeria

    Kuendelea mvutano wa Algeria na Ufaransa; kufutwa Kifaransa katika vyuo vikuu vya Algeria

    Jul 05, 2023 07:50

    Serikali ya Algeria imeamua kufuta lugha ya Kifaransa na badala yake kuweka Kiingereza kwa ajili ya kufundishia masomo ya chuo kikuu sambamba na kukaribia kuanza mwaka mpya wa masomo mnamo mwezi Septemba.

  • Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Jun 24, 2023 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameijia juu Ufaransa kwa kujiingiza kwenye mjadala kuhusu wimbo wa taifa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Sisitizo la Rais wa Algeria la kuiunga mkono Russia licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Jun 18, 2023 02:47

    Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria siku ya Alkhamisi alisema baada ya kuonana na rais mwenzake wa Russia mjini Moscow kwamba, Algiers iko chini ya mashinikizo makubwa ya madola ya Magharibi yanayoitaka isishirikiane na Moscow kivyovyote vile.

  • Rais Tebboune: Kujiunga Algeria katika BRICS, sababu ya kustawi nchi hiyo

    Rais Tebboune: Kujiunga Algeria katika BRICS, sababu ya kustawi nchi hiyo

    May 07, 2023 06:51

    Rais wa Algeria amesema kuwa kujiunga nchi hiyo ya Kiafrika na kundi la BRICS kutaisaidia Algeria kupiga hatua.

  • Algeria yataka kikao cha dharura cha Mabunge ya Kiislamu kujadili hujuma za Israel dhidi ya al-Aqswa

    Algeria yataka kikao cha dharura cha Mabunge ya Kiislamu kujadili hujuma za Israel dhidi ya al-Aqswa

    Apr 11, 2023 02:16

    Spika wa Bunge la Algeria ametoa mwito wa kuitishwa mkutano wa dharura kuhusu Palestina ili kujadili hali ya mambo hasa baada ya hujuma na mashambulio ya hivi karibuni ya utawala haramu wa Israel dhidii ya msikiti wa al-Aqswa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS