Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

algeria

  • Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Algeria: Hatuungi mkono uingiliaji wa kijeshi nchini Niger

    Aug 06, 2023 07:15

    Algeria imepinga vikali mpango wa kuingia kijeshi nchini Niger, kwa lengo la kuhitimisha mapinduzi ya kijeshi ya mwishoni mwa mwezi uliopita, yaliyomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.

  • Moto uliochochewa na upepo umeua watu zaidi ya 34 Algeria

    Moto uliochochewa na upepo umeua watu zaidi ya 34 Algeria

    Jul 25, 2023 14:59

    Moto wa nyika usiodhibitiwa unaoendelea katika nchi za Algeria na Tunisia huko kaskazini mwa Afrika wakati huu wa wimbi la joto kali umesababisha vifo vya makumi vya watu na kuwalazimisha maelfu ya wengine kuyahama makazi yao.

  • Algeria yaijia juu Israel kwa kutambua mamlaka ya Morocco Sahara Magharibi

    Algeria yaijia juu Israel kwa kutambua mamlaka ya Morocco Sahara Magharibi

    Jul 21, 2023 07:45

    Algeria imekosoa vikali uamuzi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wa kutambua mamlaka ya Morocco katika eneo linalozozaniwa la Sahara Magharibi.

  • Watu 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Algeria

    Watu 34 wafariki dunia katika ajali ya barabarani nchini Algeria

    Jul 19, 2023 10:34

    Takriban watu 34 wamepoteza maisha na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotolewa alfajiri ya leo nchini Algeria.

  • Mashauriano ya kirafiki yanayotawala katika uhusiano wa Iran na Algeria

    Mashauriano ya kirafiki yanayotawala katika uhusiano wa Iran na Algeria

    Jul 09, 2023 08:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria Ahmed Attaf, ambaye amekuwa ziarani hapa nchini kwa mwaliko wa Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ametoa matamshi ya kirafiki na ya heshima sana kuhusu uhusiano wa Algeria na Iran katika mkutano wa pamoja na waandishi wa habari aliofanya na mwenyeji wake.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Algeria unaweza kupanuliwa katika nyanja za biashara na uchumi

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Algeria unaweza kupanuliwa katika nyanja za biashara na uchumi

    Jul 09, 2023 05:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja uhusiano kati ya Iran na Algeria kuwa ni baina ya nchi mbili rafiki, wa kidugu na Kiislamu, ambao unaweza kupanuliwa kwa kuzingatia misimamo ya kieneo na kimataifa ya pande mbili katika nyuga mbalimbali zikiwemo nyanja za kibiashara na kiuchumi.

  • Algeria: Umoja wa Mataifa hauna uwezo wa kuwatetea wanaokandamizwa

    Algeria: Umoja wa Mataifa hauna uwezo wa kuwatetea wanaokandamizwa

    Jul 06, 2023 07:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema, Umoja wa Mataifa hauwezi tena kuwasaidia watu wanaodhulumiwa duniani.

  • Bunge la Algeria lakosoa siasa za kinafiki za nchi za Magharibi

    Bunge la Algeria lakosoa siasa za kinafiki za nchi za Magharibi

    Jul 06, 2023 02:19

    Bunge la Algeria limeyalaumu mabunge ya nchi za Magharibi kwa siasa zao za kinafiki na kindumakuwili kuhusiana na maandamano na machafuko ya hivi karibuni nchini Ufaransa.

  • Kuendelea mvutano wa Algeria na Ufaransa; kufutwa Kifaransa katika vyuo vikuu vya Algeria

    Kuendelea mvutano wa Algeria na Ufaransa; kufutwa Kifaransa katika vyuo vikuu vya Algeria

    Jul 05, 2023 07:50

    Serikali ya Algeria imeamua kufuta lugha ya Kifaransa na badala yake kuweka Kiingereza kwa ajili ya kufundishia masomo ya chuo kikuu sambamba na kukaribia kuanza mwaka mpya wa masomo mnamo mwezi Septemba.

  • Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Algeria yaikosoa Ufaransa kwa kuingilia wimbo wake wa taifa

    Jun 24, 2023 02:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameijia juu Ufaransa kwa kujiingiza kwenye mjadala kuhusu wimbo wa taifa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS