Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amali za Hija

  • Kwa mwaka wa pili mfululizo, Saudia yazuia ibada ya Hija kwa Waislamu kutoka nje ya nchi kwa sababu ya janga la corona

    Kwa mwaka wa pili mfululizo, Saudia yazuia ibada ya Hija kwa Waislamu kutoka nje ya nchi kwa sababu ya janga la corona

    Jun 13, 2021 03:21

    Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, ibada ya Hija mwaka huu itafanyika kwa kushirikisha raia na wageni wanaoishi nchini humo wasiozidi elfu 60.

  • Saudia yashurutisha kuwa na chanjo ya corona kwa wanaotaka kufanya Umra

    Saudia yashurutisha kuwa na chanjo ya corona kwa wanaotaka kufanya Umra

    Apr 06, 2021 07:37

    Wizara ya Hija ya Saudi Arabia imetangaza kuwa, watu waliopewa chanjo ya corona ndio watakaoruhusiwa kufanya ibada ya Umra katika mwezi mtukufu wa Ramadhani na kutekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa Makka.

  • Saudi Arabia yaruhusu Umra kwa mahujaji wa kigeni

    Saudi Arabia yaruhusu Umra kwa mahujaji wa kigeni

    Nov 01, 2020 06:35

    Serikali ya Saudi Arabia imewaruhusu mahujaji kutoka nje kuingia nchini humo kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Umra baada ya kufungwa mwezi Machi mwaka huu kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • Mahujaji waanza kuelea Mina wakijitayarisha kwa kisimamo cha Arafa

    Mahujaji waanza kuelea Mina wakijitayarisha kwa kisimamo cha Arafa

    Aug 09, 2019 08:12

    Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, al Kaaba leo wameelekea Mina kwa ajili ya kutekeleza ibada ya siku ya Tarwiya hiyo kesho tarehe 8 Dhilhaji katika eneo hilo tukufu.

  • Saudia yapinga mpango wa Hija

    Saudia yapinga mpango wa Hija "kuendeshwa kimataifa".

    Jul 31, 2019 01:16

    Mshauri wa Mfalme wa Saudi Arabia amepinga hatua yoyote ya kuanzisha kamati ya kimataifa kwa ajili ya uendeshaji masuala ya ibada ya Hija.

  • Wapalestina milioni tatu walizuiwa kufanya ibada ya Hija kupitia ushirikiano wa Israel na Saudia

    Wapalestina milioni tatu walizuiwa kufanya ibada ya Hija kupitia ushirikiano wa Israel na Saudia

    Nov 10, 2018 08:09

    Ikiwa ni katika hatua yake ya kupata ridhaa ya utawala haramu wa Kizayuni, utawala wa Saudi Arabia uliwanyima Wapalestina milioni tatu vibali vya kuingia nchi hiyo kwa ajili ya kufanya ibada ya Hija.

  • Saudia inatumia vibaya fedha zinazotokana na ibada ya Hija

    Saudia inatumia vibaya fedha zinazotokana na ibada ya Hija

    Aug 25, 2018 13:46

    Kamati ya Kimataifa ya Uangalizi wa Usimamizi wa Saudia juu ya Ibada ya Hija, imesema kuwa, utawala wa Aal-Saud unatumia vibaya pato linalotokana na ibada ya Hija.

  • Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti

    Waislamu Kenya watakiwa kutofuata mwezi wa Saudia bali kufuata mwandamo wa kwao + Sauti

    Aug 22, 2018 17:58

    Waislamu nchini Kenya wametakiwa kuzingatia mwezi mwandamo katika ukanda wa Afrika Mashariki ili kufanikisha maamuzi ya kiibada kama vile funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, Idul Fitr na Idul Adh'ha na kuacha kufuata Saudi Arabia au mwezi wa kimataifa. Seifullah Murtadha ametuandalia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu 1439 Hijria + Sauti

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu 1439 Hijria + Sauti

    Aug 20, 2018 08:45

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake uliosomwa leo kwa Mahujaji wa Nyumba ya Mwenyezi Mungu kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.

  • Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Mahujaji: Sera za Marekani ni kuchochea vita na kuwaulisha Waislamu wenyewe kwa wenyewe

    Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi kwa Mahujaji: Sera za Marekani ni kuchochea vita na kuwaulisha Waislamu wenyewe kwa wenyewe

    Aug 20, 2018 08:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema katika ujumbe wake kwa Mahujaji kwamba sera za Marekani ni kuchochea vita baina ya Waislamu na akasisitiza kwamba: inapasa kuzizima sera hizo za kishetani kwa umakini na kuwa macho na kwamba Hija na kujibari na washirikina vinawezesha kupatikana umakini huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS