Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Amir Abdollahian

  • Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna

    Amir Abdolahian na mwenzake wa China wapongeza mwenendo wa mazungumzo ya Vienna

    Dec 17, 2021 08:04

    Hussein Amir Abdolahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran jana Alhamisi aliwasiliana kwa njia ya simu na na kufanya mazungumzo na mwenzake wa China, Wang Yi kuhusu uhusiano wa pande na kubadilishana mawazo juu ya mwenendo wa mazungumzo ya nyuklia ya Vienna na matukio ya kimataifa.

  • Iran: Tuna nia ya kutaka kufikiwa makubaliano katika mazungumzo ya JCPOA

    Iran: Tuna nia ya kutaka kufikiwa makubaliano katika mazungumzo ya JCPOA

    Dec 09, 2021 13:48

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza tena leo kuwa, taifa hili linafuatilia ili kuhakikisha kwamba, kunapatikana makubaliano mazuri kupitia mazungumzo ya nyuklia ya Vienna Austria kati yake na kundii la 4+1.

  • Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Hossein Amir-Abdollahian: Marekani haiwezi kurejea kwenye mapatano ya JCPOA bila ya kuondoa vikwazo

    Dec 07, 2021 08:00

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, hakuna njia yoyote ya kuiwezesha Marekani kurejea katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA bila ya kuondoa vikwao vyake vya kidhalimu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Amir Abdullahiyan: Inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa IAEA

    Amir Abdullahiyan: Inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa IAEA

    Nov 25, 2021 08:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema inawezekana kufikia mapatano na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Iran: Tuna nia ya kweli ya kushirikiana na wakala wa nyuklia wa  IAEA

    Iran: Tuna nia ya kweli ya kushirikiana na wakala wa nyuklia wa IAEA

    Nov 24, 2021 03:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ina nia ya kweli ya kushirikiana na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA.

  • Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Nov 17, 2021 03:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa ripoti kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kuhusu mazungumzo yake na waziri mwenzake wa Uturuki hapa Tehran na kusema kuwa, Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo la Asia Magharibi na mchango wa nchi hizo mbili katika eneo hilo haukanushiki.

  • Kuimarisha uhusiano wa kiuchumi ni kipaumbele cha sera za kigeni za Iran

    Kuimarisha uhusiano wa kiuchumi ni kipaumbele cha sera za kigeni za Iran

    Oct 31, 2021 12:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Hossein Amirabdollahian amesema kipaumbele katika sera za kigeni za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ni kuimarisha uhusiano wa kiuchumi na nchi za dunia hasa nchi jirani.

  • Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Sisitizo la Iran la Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kuwa na mchango amilifu zaidi nchini Afghanistan

    Oct 20, 2021 02:21

    Hussein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, lengo la genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh huko Afghanistan ni kuchochea chuki na uadui wa kimadhehebu na ameitaka Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ilaani vikali vitendo vya kinyama vya Daesh.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran afanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon

    Oct 08, 2021 08:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon kuhusu matukio ya karibuni kabisa ya kisiasa ya nchi hiyo na eneo.

  • Amir Abdollahian: Marekani ndio chanzo cha kuvurugika uthabiti Afghanistan

    Amir Abdollahian: Marekani ndio chanzo cha kuvurugika uthabiti Afghanistan

    Sep 14, 2021 03:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani imechangia pakubwa katika kuvurugika amani na uthabiti nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS