Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Shambulio la kombora la Yemen lailazimisha Israel ifunge anga yake

    Shambulio la kombora la Yemen lailazimisha Israel ifunge anga yake

    Jul 22, 2025 05:49

    Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, Israel imelazimika kufunga uwanja wa ndege wa Ben Gurion na anga yake katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kufuatia kuvurumishwa kwa kombora kutoka Yemen.

  • Ansarullah: Kuteswa, kuuawa kwa njaa watu wa Gaza ni ‘fedheha’ kwa ulimwengu wa Kiarabu, Kiislamu

    Ansarullah: Kuteswa, kuuawa kwa njaa watu wa Gaza ni ‘fedheha’ kwa ulimwengu wa Kiarabu, Kiislamu

    Jul 21, 2025 07:01

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali nchi za Kiarabu na Kiislamu duniani kwa kushindwa kwao kutoa jibu mwafaka mkabala wa hatua ya utawala wa Israel ya kuwaua kwa makusudi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza kwa kutumia njaa.

  • Ansarullah yaionya Israel: Haiyumkiniki kufungua bandari ya Eilat

    Ansarullah yaionya Israel: Haiyumkiniki kufungua bandari ya Eilat

    Jul 10, 2025 20:49

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, ni jambo lisilowezekana kufunguliwa tena kwa bandari ya Eilat (Umm al-Rashrash), akisisitiza msimamo thabiti wa Yemen wa kuendelea kutekeleza vikwazo vya baharini dhidi ya utawala ghasibu wa Israel katika Bahari Nyekundu, Ghuba ya Aden na Bahari ya Arabia.

  • Ansarullah kupanua wigo wa operesheni zake dhidi ya Israel

    Ansarullah kupanua wigo wa operesheni zake dhidi ya Israel

    Jun 11, 2025 07:18

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa itapanua wigo wa operesheni zake dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

    Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

    May 21, 2025 02:26

    Yemen imetangaza habari ya kuifunga Bandari ya Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel, ili kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kujibu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Ansarullah: Hatutasitisha uungaji mkono wetu kwa watu wa Gaza

    Ansarullah: Hatutasitisha uungaji mkono wetu kwa watu wa Gaza

    Apr 27, 2025 07:34

    Naibu mkuu wa taasisi ya habari la Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza katika taarifa yake kwamba, kwa hali yoyote ile msaada na uungaji mkono wa harakati hiyo kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza hautasita.

  • Ansarullah: US inashajiisha mauaji ya kimbari Gaza, yataka Wapalestina wapewe silaha

    Ansarullah: US inashajiisha mauaji ya kimbari Gaza, yataka Wapalestina wapewe silaha

    Apr 18, 2025 06:30

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani inaihimiza na kuishajiisha Israel kuendeleza vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza na kusisitiza kuwa Washington ni mshiriki wa utawala wa Kizayuni katika mauaji hayo ya kimbari.

  • Yemen yalishambulia kwa droni eneo la kijeshi la Israel, Tel Aviv, yatungua droni ya US Sa'daa

    Yemen yalishambulia kwa droni eneo la kijeshi la Israel, Tel Aviv, yatungua droni ya US Sa'daa

    Apr 05, 2025 07:19

    Vikosi vya Ulinzi vya Yemen (YAF) vimefanya operesheni ya kijeshi kulenga eneo la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Yafa kwa kutumia ndege isiyo na rubani ya Yaffa iliyotengenezwa ndani ya Yemen, na kuiangusha pia ndege isiyo na rubani ya Marekani aina ya Giant Shark F360 katika Mkoa wa Sa'daa.

  • Israel imeua zaidi ya Wapalestina 150 tangu usitishaji vita ulipoanza kutekelezwa Ghaza Januari 19

    Israel imeua zaidi ya Wapalestina 150 tangu usitishaji vita ulipoanza kutekelezwa Ghaza Januari 19

    Mar 16, 2025 10:52

    Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Palestina katika Ukanda wa Ghaza imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 150 wameuliwa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel- tangu makubaliano ya kusitisha mapigano yalipoanza kutekelezwa katika eneo hilo Januari 19 mwaka huu-, wakiwemo 40 waliouawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.

  • Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Ansarullah: Matakfiri Syria ni vikaragosi vya madola ajinabi

    Mar 10, 2025 11:25

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali machafuko mabaya yaliyotokea hivi karibuni katika eneo la pwani ya magharibi mwa Syria na kusisitiza kuwa, mbali na kuwa ghasia hizo ni tishio kwa wahusika wa jinai hizo na walezi wao, lakini pia ni somo kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS