-
Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami ya Palestina, Ansarullah ya Yemen 'wauponda' mpango wa Trump kuhusu Ghaza
Sep 30, 2025 07:05Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kwamba, mpango wa Donald Trump kwa ajili ya Ukanda wa Ghaza ni mpango wa utawala wa Kizayuni na ni waraka wa agizo la kuendeleza uchokozi na uvamizi dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Ansarullah: Tunajiandaa kutoa majibu ya kushangaza kwa Israel baada ya kuuawa maafisa wa juu wa Yemen
Sep 02, 2025 11:24Harakati ya mapambano ya Yemen ya Ansarullahy imesema kuwa inajiandaa kutoa majibu ya kushangaza kwa utawala wa Israel katika kulipiza kisasa mauaji ya karibuni ya maafisa wa ngazi ya juu wa Yemen yaliyotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Sana'a mji mku wa Yemen.
-
Shakhsia 200 duniani: Utawala wa kibaguzi wa Israel utokomezwe, kuupa kinga ya kutoadhibiwa kukomeshwe
Aug 10, 2025 02:42Zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri ulimwenguni kote, wakiwemo viongozi wa kisiasa, wasomi, watetezi wa haki za binadamu, waandishi wa habari, wanazuoni wa kidini na watu mashuhuri wa kiutamaduni, wameandika barua ya pamoja kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wakitaka "kutokomezwa ubaguzi wa rangi wa apathaidi" na "kukomeshwa kinga ya kutoadhibiwa" kwa jinai na uhalifu unaofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Palestina.
-
Shambulio la kombora la Yemen lailazimisha Israel ifunge anga yake
Jul 22, 2025 05:49Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, Israel imelazimika kufunga uwanja wa ndege wa Ben Gurion na anga yake katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kufuatia kuvurumishwa kwa kombora kutoka Yemen.
-
Ansarullah: Kuteswa, kuuawa kwa njaa watu wa Gaza ni ‘fedheha’ kwa ulimwengu wa Kiarabu, Kiislamu
Jul 21, 2025 07:01Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vikali nchi za Kiarabu na Kiislamu duniani kwa kushindwa kwao kutoa jibu mwafaka mkabala wa hatua ya utawala wa Israel ya kuwaua kwa makusudi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza kwa kutumia njaa.
-
Ansarullah yaionya Israel: Haiyumkiniki kufungua bandari ya Eilat
Jul 10, 2025 20:49Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, ni jambo lisilowezekana kufunguliwa tena kwa bandari ya Eilat (Umm al-Rashrash), akisisitiza msimamo thabiti wa Yemen wa kuendelea kutekeleza vikwazo vya baharini dhidi ya utawala ghasibu wa Israel katika Bahari Nyekundu, Ghuba ya Aden na Bahari ya Arabia.
-
Ansarullah kupanua wigo wa operesheni zake dhidi ya Israel
Jun 11, 2025 07:18Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetangaza kuwa itapanua wigo wa operesheni zake dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina
May 21, 2025 02:26Yemen imetangaza habari ya kuifunga Bandari ya Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel, ili kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kujibu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah: Hatutasitisha uungaji mkono wetu kwa watu wa Gaza
Apr 27, 2025 07:34Naibu mkuu wa taasisi ya habari la Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza katika taarifa yake kwamba, kwa hali yoyote ile msaada na uungaji mkono wa harakati hiyo kwa wananchi wanaodhulumiwa wa Ukanda wa Gaza hautasita.
-
Ansarullah: US inashajiisha mauaji ya kimbari Gaza, yataka Wapalestina wapewe silaha
Apr 18, 2025 06:30Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amesema Marekani inaihimiza na kuishajiisha Israel kuendeleza vita vya mauaji ya halaiki huko Gaza na kusisitiza kuwa Washington ni mshiriki wa utawala wa Kizayuni katika mauaji hayo ya kimbari.