Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Harakati ya Ansarullah yalaani vitisho vya muungano wa Saudi Arabia; yavitaja kuwa ni ishara ya kushindwa Riyadh

    Harakati ya Ansarullah yalaani vitisho vya muungano wa Saudi Arabia; yavitaja kuwa ni ishara ya kushindwa Riyadh

    Jul 05, 2026 11:04

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amelaani vitisho vya hivi karibuni vya muungano unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya Yemen, akisema kuwa vinafichua kufeli Riyadh kisiasa na kijeshi pamoja na kushindwa kwake kusambaratisha mapambano ya Yemen licha ya nchi hiyo kuathirikwa kwa miaka mingi na vita na mzingiro.

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

    Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

    Jun 26, 2026 11:20

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."

  • Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran

    Ansarullah ya Yemen yaionya Marekani baada ya Trump kukataa mpango wa amani wa Iran

    May 12, 2026 04:21

    Afisa mwandamizi wa harakati ya Ansarullah nchini Yemen ameonya kuwa Marekani italazimika kubeba dhima ya madhara ya kukataa mapendekezo mapya ya Iran ya kumaliza vita, kufuatia matamshi ya kupinga yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu

    Ansarullah ya Yemen: Iran inahami mustakbali wake na Umma wa Kiislamu

    Mar 20, 2026 08:10

    Msemaji wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa yoyote atakayepuuza haki ya Iran ya kujihami atakuwa amemhudumia adui.

  • Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon

    Ansarullah yalaani mauaji ya umati ya umwagaji damu ya Israel mashariki mwa Lebanon

    Feb 23, 2026 00:09

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali "mauaji ya umati ya umwagaji damu" yaliyofanywa na utawala wa Israel katika eneo la Beqaa mashariki mwa Lebanon, na kuuwa takriban watu kumi na kujeruhi wengine wengi.

  • Ansarullah: Kujizatiti upya kijeshi maadui katika eneo ni ishara kwamba Muqawama ungali hai

    Ansarullah: Kujizatiti upya kijeshi maadui katika eneo ni ishara kwamba Muqawama ungali hai

    Feb 21, 2026 07:38

    Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Yemen ya Ansarullah ametoa taarifa akieleza kwamba kuzungumziwa duru mpya ya vita vinavyotaka kuanzishwa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Muqawama ni sawa na adui kukiri kwamba alishindwa katika vita vilivyopita.

  • Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani

    Muqawama: Mashambulizi ya Venezuela yameanika dhati ya Marekani

    Jan 04, 2026 08:42

    Makundi ya Muqawama katika eneo la Asia Magharibi sanjari na kulaani kile yalichokiita ugaidi wa kiserikali wa Marekani dhidi ya Venezuela, yamesema mashambulizi na utekaji nyara wa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela kwa mara nyingine tena umeanika dhati na hulka halisi ya Marekani.

  • Wairaqi waunga mkono Hizbullah na Ansarullah baada ya tangazo la kuzuiliwa mali zao kimakosa

    Wairaqi waunga mkono Hizbullah na Ansarullah baada ya tangazo la kuzuiliwa mali zao kimakosa

    Dec 05, 2025 04:21

    Mitaa ya mji mkuu wa Iraq, Baghdad usiku wa kuamkia leo ilishuhudia misafara mirefu ya magari, yaliyokuwa yakipeperusha bendera za harakati za Muqawama wa Kiislamu za Hizbullah ya Lebanon na Ansarullah ya Yemen, na kutangaza mshikamano wa umma na harakati hizo za Muqawama dhidi ya vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami ya Palestina, Ansarullah ya Yemen 'wauponda' mpango wa Trump kuhusu Ghaza

    Katibu Mkuu wa Jihadul-Islami ya Palestina, Ansarullah ya Yemen 'wauponda' mpango wa Trump kuhusu Ghaza

    Sep 30, 2025 03:35

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kwamba, mpango wa Donald Trump kwa ajili ya Ukanda wa Ghaza ni mpango wa utawala wa Kizayuni na ni waraka wa agizo la kuendeleza uchokozi na uvamizi dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Ansarullah: Tunajiandaa kutoa majibu ya kushangaza kwa Israel baada ya kuuawa maafisa wa juu wa Yemen

    Ansarullah: Tunajiandaa kutoa majibu ya kushangaza kwa Israel baada ya kuuawa maafisa wa juu wa Yemen

    Sep 02, 2025 07:54

    Harakati ya mapambano ya Yemen ya Ansarullahy imesema kuwa inajiandaa kutoa majibu ya kushangaza kwa utawala wa Israel katika kulipiza kisasa mauaji ya karibuni ya maafisa wa ngazi ya juu wa Yemen yaliyotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Sana'a mji mku wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS