Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Ansarullah ya Yemen: Marekani haina haki ya kuzihukumu nchi zingine

    Ansarullah ya Yemen: Marekani haina haki ya kuzihukumu nchi zingine

    Jan 24, 2025 09:19

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen iimetoa radiamali kwa hatua ya Marekani ya kuiweka Yemen katika orodha ya magaidi na kubainisha kwamba, Washington ambayo inahusika na mauaji ya Wapalestina na wasio na hatia haina haki ya kuzihukumu nchi zingine.

  • Trump akosolewa kwa kuirejesha Ansarullah katika 'orodha ya magaidi'

    Trump akosolewa kwa kuirejesha Ansarullah katika 'orodha ya magaidi'

    Jan 23, 2025 07:49

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekosoa vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuanzisha mchakato wa kuirejesha Harakati ya Ansarullah ya Yemen katika orodha ya Washington ya makundi ya 'kigaidi'.

  • Al-Houthi: Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika ushindi wa kihistoria wa Palestina

    Al-Houthi: Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika ushindi wa kihistoria wa Palestina

    Jan 21, 2025 02:58

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kambi ya muqawama na kambi ya uungaji mkono imetoa pigo kwa adui na kwamba, Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika kupatikana ushindi dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Ansarullah: Nasrullah alizima njama za Wazayuni katika eneo

    Ansarullah: Nasrullah alizima njama za Wazayuni katika eneo

    Oct 04, 2024 03:14

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen sanjari na kutoa pongezi na mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema Sayyid Hassan Nasrullah alitibua njama za Israel na kuusababishia utawala huo dhalimu vipigo vya fedheha.

  • Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon

    Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon

    Sep 19, 2024 06:32

    Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali operesheni ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kuitaja kuwa ni jinai ya kivita.

  • Al-Houthi: Juhudi za Magharibi hazitazuia jibu la Iran kwa Israel

    Al-Houthi: Juhudi za Magharibi hazitazuia jibu la Iran kwa Israel

    Aug 09, 2024 07:19

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kucheleweshwa kwa jibu la mhimili wa Muqawama na Iran dhidi ya jinai na ukatili wa utawala wa Kizayuni ni suala la kimkakati ili kutoa nafasi ya kuligeuza kuwa jibu madhubuti.

  • Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina

    Jul 22, 2024 10:58

    Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.

  • Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Shambulio la ndege zisizo na rubani huko Tel Aviv ni onyo kwa Wazayuni

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Shambulio la ndege zisizo na rubani huko Tel Aviv ni onyo kwa Wazayuni

    Jul 19, 2024 13:06

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Shambulio la Yemen dhidi ya Tel Aviv ni onyo linaloitaka Israel ihitimishe mashambulizi ya kinyama ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza.

  • Ansarullah: Tumeshambulia meli 170 zilizokuwa zikielekea Israel

    Ansarullah: Tumeshambulia meli 170 zilizokuwa zikielekea Israel

    Jul 19, 2024 07:27

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, idadi ya meli zilizoshambuuliwa na ambazo zinazohusiana na meli za Marekani, Israel na Uingereza katika Bahari Nyekundu zilizokuwa zikielekea katika bandari za ardhi zinazokaliwa kwa mabavu  za Palestina imefikia meli 170.

  • Ansarullah: Jinai za Israel ni mtihani hatari kwa jamii ya mwanadamu

    Ansarullah: Jinai za Israel ni mtihani hatari kwa jamii ya mwanadamu

    Jul 12, 2024 07:11

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu mwezi Oktoba 2023 ni mtihani hatari mno kwa jamii ya mwanadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS