-
Ansarullah ya Yemen: Marekani haina haki ya kuzihukumu nchi zingine
Jan 24, 2025 09:19Harakati ya Ansarullah ya Yemen iimetoa radiamali kwa hatua ya Marekani ya kuiweka Yemen katika orodha ya magaidi na kubainisha kwamba, Washington ambayo inahusika na mauaji ya Wapalestina na wasio na hatia haina haki ya kuzihukumu nchi zingine.
-
Trump akosolewa kwa kuirejesha Ansarullah katika 'orodha ya magaidi'
Jan 23, 2025 07:49Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamekosoa vikali hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuanzisha mchakato wa kuirejesha Harakati ya Ansarullah ya Yemen katika orodha ya Washington ya makundi ya 'kigaidi'.
-
Al-Houthi: Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika ushindi wa kihistoria wa Palestina
Jan 21, 2025 02:58Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kambi ya muqawama na kambi ya uungaji mkono imetoa pigo kwa adui na kwamba, Iran ilikuwa na nafasi muhimu katika kupatikana ushindi dhidi ya utawala haramu wa Israel.
-
Ansarullah: Nasrullah alizima njama za Wazayuni katika eneo
Oct 04, 2024 03:14Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen sanjari na kutoa pongezi na mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema Sayyid Hassan Nasrullah alitibua njama za Israel na kuusababishia utawala huo dhalimu vipigo vya fedheha.
-
Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon
Sep 19, 2024 06:32Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali operesheni ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kuitaja kuwa ni jinai ya kivita.
-
Al-Houthi: Juhudi za Magharibi hazitazuia jibu la Iran kwa Israel
Aug 09, 2024 07:19Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kucheleweshwa kwa jibu la mhimili wa Muqawama na Iran dhidi ya jinai na ukatili wa utawala wa Kizayuni ni suala la kimkakati ili kutoa nafasi ya kuligeuza kuwa jibu madhubuti.
-
Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina
Jul 22, 2024 10:58Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Shambulio la ndege zisizo na rubani huko Tel Aviv ni onyo kwa Wazayuni
Jul 19, 2024 13:06Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Shambulio la Yemen dhidi ya Tel Aviv ni onyo linaloitaka Israel ihitimishe mashambulizi ya kinyama ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza.
-
Ansarullah: Tumeshambulia meli 170 zilizokuwa zikielekea Israel
Jul 19, 2024 07:27Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, idadi ya meli zilizoshambuuliwa na ambazo zinazohusiana na meli za Marekani, Israel na Uingereza katika Bahari Nyekundu zilizokuwa zikielekea katika bandari za ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina imefikia meli 170.
-
Ansarullah: Jinai za Israel ni mtihani hatari kwa jamii ya mwanadamu
Jul 12, 2024 07:11Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu mwezi Oktoba 2023 ni mtihani hatari mno kwa jamii ya mwanadamu.