-
Ansarullah ya Yemen yalaani operesheni ya kigaidi ya utawala katili wa Israel dhidi ya Lebanon
Sep 19, 2024 06:32Ofisi ya kisiasa ya harakati ya Ansarullah ya Yemen imelaani vikali operesheni ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kuitaja kuwa ni jinai ya kivita.
-
Al-Houthi: Juhudi za Magharibi hazitazuia jibu la Iran kwa Israel
Aug 09, 2024 07:19Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, kucheleweshwa kwa jibu la mhimili wa Muqawama na Iran dhidi ya jinai na ukatili wa utawala wa Kizayuni ni suala la kimkakati ili kutoa nafasi ya kuligeuza kuwa jibu madhubuti.
-
Mandela: Houthi wazidishe mashambulizi ili kuikomboa Palestina
Jul 22, 2024 10:58Mjukuu wa Nelson Mandela, shujaa na kiongozi wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini ametoa mwito kwa Harakati ya Ansarullah na vikosi vya wanajeshi wa Yemen kushadidisha operesheni zao dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watoto na wanawake wasio na hatia katika Ukanda wa Gaza.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Shambulio la ndege zisizo na rubani huko Tel Aviv ni onyo kwa Wazayuni
Jul 19, 2024 13:06Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema: Shambulio la Yemen dhidi ya Tel Aviv ni onyo linaloitaka Israel ihitimishe mashambulizi ya kinyama ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza.
-
Ansarullah: Tumeshambulia meli 170 zilizokuwa zikielekea Israel
Jul 19, 2024 07:27Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametangaza kuwa, idadi ya meli zilizoshambuuliwa na ambazo zinazohusiana na meli za Marekani, Israel na Uingereza katika Bahari Nyekundu zilizokuwa zikielekea katika bandari za ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina imefikia meli 170.
-
Ansarullah: Jinai za Israel ni mtihani hatari kwa jamii ya mwanadamu
Jul 12, 2024 07:11Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza tangu mwezi Oktoba 2023 ni mtihani hatari mno kwa jamii ya mwanadamu.
-
Bandari ya Israel kuwatimua nusu ya wafanyakazi kutokana na hujuma za Yemen
Mar 22, 2024 10:55Asilimia 50 ya wafanyakazi katika bandari ya Eilat ya utawala wa Kizayuni wa Israel wapo hatari ya kupigwa kalamu nyekundu kutokana na athari za mashambulizi ya vikosi vya Yemen katika Bandari Nyekundu.
-
Yemen yashambulia meli za Marekani na Israel katika Bahari ya Hindi
Mar 16, 2024 07:38Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza habari ya kupanua operesheni zao kwa kuzishambulia meli za Marekani na utawala haramu wa Israel katika maji ya Bahari ya Hindi.
-
Ansarullah: Operesheni za kushambulia meli zenye uhusiano na Israel zitapanuliwa hadi Bahari ya Hindi
Mar 15, 2024 07:41Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul Malik Al-Houthi amesema askari wa jeshi la nchi hiyo wataendelea na operesheni zao za kujibu mapigo dhidi ya meli za kibiashara zenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa kuzizuia meli hizo kupita hata kwenye eneo la maji ya Bahari ya Hindi na Rasi ya Tumaini Jema.
-
Ansarullah ya Yemen: Baada ya tuliyoizamisha, tutaendelea kuzishambulia meli za Uingereza katika Bahari Nyekundu
Mar 04, 2024 09:07Yemen imeapa kuwa itaendelea kuzishambulia meli za Uingereza katika Bahari Nyekundu ili kuwaunga mkono Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, ambao wamekuwa wakiandamwa na vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa muda wa miezi mitano sasa.