Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ansarullah

  • Answarullah yakadhibisha madai ya Mohammad Bin Salman kuhusu Yemen

    Answarullah yakadhibisha madai ya Mohammad Bin Salman kuhusu Yemen

    Mar 07, 2018 11:18

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, matamshi ya Mohammad Bin Salman Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia kwamba vita nchini Yemen vinakaribia kuisha ni uongo mtupu.

  • Komandi ya kijeshi ya Imarati yashambuliwa kwa kombora la belestiki Yemen

    Komandi ya kijeshi ya Imarati yashambuliwa kwa kombora la belestiki Yemen

    Feb 23, 2018 21:19

    Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeshambulia kwa kombora la belestiki komandi wa kijeshi ya wanajeshi vamizi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika mkoa wa Ma'rib nchini Yemen.

  • Wakuu wa Iran, Ansarullah wajadili suluhisho la kisiasa Yemen, utoaji misaada

    Wakuu wa Iran, Ansarullah wajadili suluhisho la kisiasa Yemen, utoaji misaada

    Feb 13, 2018 23:22

    Maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Ansarullah ya Yemen wamefanya mazungumzo mjini Tehran kujadili njia za kuhitimisha mgogoro wa kisiasa katika nchi hiyo ya Kiarabu na udharura wa kuwaikifhsia misaada wananchi wake.

  • Answarullah: Saudia ndiye kizuizi kikubwa cha utatuzi wa mgogoro wa Yemen

    Answarullah: Saudia ndiye kizuizi kikubwa cha utatuzi wa mgogoro wa Yemen

    Jan 29, 2018 01:07

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa harakati ya wananchi ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, mzozo uliozuka baina ya Saudi Arabia na wenzake walioivamia Yemen ndiyo sababu kuendelea mgogoro na vita nchini humo.

  • Ansarullah ya Yemen yaionya Saudi Arabia

    Ansarullah ya Yemen yaionya Saudi Arabia

    Jan 24, 2018 10:42

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameutahadharisha utawala wa Aal Saud na kutangaza kwamba, katika siku chache zijazo Saudia itashtukizwa na harakati hiyo.

  • Radiamali ya Ansarullah ya Yemen kwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia

    Radiamali ya Ansarullah ya Yemen kwa madai ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia

    Jan 17, 2018 11:43

    Msemaji wa harakati ya Ansarullah ya Yemen ametoa matamshi akijibu msimamo usiozingatia hali halisi na wa hadaa uliodhihirishwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia kuhusu Yemen.

  • Wanawake wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen wako tayari kuingia vitani dhidi ya Saudia

    Wanawake wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen wako tayari kuingia vitani dhidi ya Saudia

    Jan 14, 2018 23:46

    Wanawake wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen jana Jumapili waliandamana kulaani hujuma za kinyama za Saudia dhidi ya raia nchini humo na kusema wako tayari kuingia vitani kukabiliana na wavamizi.

  • UN: Answarullah imefungamana na mazungumzo ya amani

    UN: Answarullah imefungamana na mazungumzo ya amani

    Jan 12, 2018 04:23

    Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Yemen amesema kuwa, harakati ya wananchi ya Answarullah nchini humo imetoa taarifa ya kuheshimu na kufungamana na suala la kuanza upya mazungumzo ya amani nchini humo.

  • Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Ansarullah kuishambulia Somaliland ikiendelea kushirikiana na UAE dhidi yake

    Dec 27, 2017 03:46

    Harakati ya Ansarullah ya Yemen imesema ikilazimu, itaishambulia jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland kutokana na hatua yake ya kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu dhidi ya wapiganaji wa harakati hiyo ya Houthi.

  • Kiongozi wa Ansarullah Yemen: Wakidondosha mabomu Sanaa tutavurumisha makombora Riyadh na Abu Dhabi

    Kiongozi wa Ansarullah Yemen: Wakidondosha mabomu Sanaa tutavurumisha makombora Riyadh na Abu Dhabi

    Dec 20, 2017 04:34

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen Sayyed Abdul-Malik Badruddin al Houthi amesema: "Wavamizi wakidondosha mabomu mjini Sanaa nasi tutavurumisha makombora yetu Riyadh na Abu Dhabi. Kila siku Makombora ya Wayemen yanazidi kuimarika na yanaweza kulenga masafa marefu."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS