• Iran yataka ifidiwe baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia

    Iran yataka ifidiwe baada ya Marekani kukiuka mapatano ya nyuklia

    Jan 11, 2017 04:08

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema hatua ya Bunge la Kongresi la Marekani kuongeza kwa muda wa miaka mingine kumi Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) ni ukiukaji wa mapatano ya nyuklia ya mwaka 2015 na kwa msingi huo Tehran inapasa ifidiwe kutokana na ukiukaji huo.

  • Iran inatoa viza ya siku 30 uwanja wa ndege kwa nchi 180

    Iran inatoa viza ya siku 30 uwanja wa ndege kwa nchi 180

    Feb 14, 2016 07:06

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vituo vya uwakilishi wa Wizara ya Mambo ya Nje katika mikoa na viwanja vya ndege vinatoa viza ya siku 30 kwa raia wa nchi 180 duniani.