Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Armenia

  • Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Iran iko tayari kusaidia utatuzi wa mgogoro baina ya Jamhuri ya Azerbaijan na Armenia

    Oct 07, 2020 04:48

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mgogoro baina ya Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan unapaswa kumalizika haraka iwezekanavyo. Ameongeza kuwa, Iran iko tayari kuchukua hatua yoyote ya kutatua mgogoro baina ya Baku na Yerevan kwa mujibu wa sheria za kimataifa na mipaka inayotambuliwa rasmi ya nchi hizo mbili.

  • Azerbaijan yadai imeua maelfu ya askari wa Armenia, UN yatoa kauli

    Azerbaijan yadai imeua maelfu ya askari wa Armenia, UN yatoa kauli

    Sep 30, 2020 12:35

    Azerbaijan inadai kuwa imeua maelfu ya wanajeshi wa Armenia katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea siku ya Jumapili.

  • Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa

    Iran yaitaka Armenia na Azerbaijan zisitishe mapigano, makumi wauawa

    Sep 28, 2020 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka nchi za Armenia na Azerbaijan zijizuie na zisitishe mapigano yanayoshuhudiwa katika mpaka wa nchi mbili hizo tokea jana Jumapili.

  • Rais Rouhani: Jamii ya Kimataifa inahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda

    Rais Rouhani: Jamii ya Kimataifa inahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda

    Oct 02, 2019 04:36

    Rais Hassan Rouhani ameashriia vikwazo chungu nzima vinavyowekwa katika uhusiano wa kiuchumi baina ya nchi, ongezeko la kila uchao la umasikini, kukosekana usalama, uhajiri na kupungua ukuaji wa uchumi duniani na akasisitiza kwa kusema: Mfumo wa Kimataifa unahitaji mashirikiano ya kiuchumi ya baina ya pande kadhaa na ya kikanda.

  • Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia

    Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu ulazima wa kuimarishwa uhusiano kati ya Iran na Armenia

    Feb 28, 2019 14:50

    Katika mazungumzo yake na Waziri Mkuu wa Armenia Nikol Pashinyan, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia ni majirani wema na wenye uhusiano wa kihistoria.

  • Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati

    Rouhani: Kuanzisha vita hakutakuwa na manufaa kwa nchi yoyote M/Kati

    Oct 11, 2017 08:16

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati

    Rouhani: Kuanzishwa vita hakutainufaisha nchi yoyote Mashariki ya Kati

    Oct 11, 2017 04:53

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuhusu taathira hasi za kuanzishwa vita na kuibuliwa mifarakano zaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Marais wa Iran na Armenia wasisitiza kutekelezwa hati za makubaliano ya ushirikiano

    Marais wa Iran na Armenia wasisitiza kutekelezwa hati za makubaliano ya ushirikiano

    Dec 22, 2016 03:36

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia wamesisitiza kuhusu azma ya nchi mbili ya kustawisha uhusiano wa pande mbili, wa kieneo na kimataifa.

  • Iran na Armenia zasaini hati tano za ushirikiano

    Iran na Armenia zasaini hati tano za ushirikiano

    Dec 21, 2016 14:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Armenia zimesaini hati tano za mapatano na makubaliano ya ushirikiano kwa kuhudhuriwa na Marais wa Iran Hassan Rouhani na mwenzake wa Armenia, Serzh Sargsyan.

  • Rouhani: Inachotaka Iran ni kuona amani na uthabiti katika eneo

    Rouhani: Inachotaka Iran ni kuona amani na uthabiti katika eneo

    Jun 06, 2016 07:23

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema fahari ya Jamhuri ya Kiislamu ni kuona amani na uthabiti vinatamalaki katika eneo la Mashariki ya Kati.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS