Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema: Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mihimili imara mno kwa taifa na inayoiletea dini izza na heshima.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi huru zaidi duniani.
Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amezungumzia jinai ya kigaidi ya Kerman na kukiri kundi la kigaidi la ISIS au Daesh kuhusika na hujuma hiyo na kusema: ISIS ni chombo cha Marekani na utawala wa Kizayuni.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ametaja kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni ushindi au nusra kutoka kwa Mwenyezi Mungu na akaongeza kuwa: "Kumfuata Wali ul Amr wa Waislamu na Hujja za Kisharia ni mfano wa usaidizi wa Mwenyezi Mungu."
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Idara ya Mahakama iwachukulie hatua kali waliohusika na kuwapa sumu wanafunzi.
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta za kielimu, kisiasa, kiuchumi na usimamizi huku wakiwa wanazingatia Hijabu, vazi la staha la Kiislamu.
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, lengo la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) la kupasisha azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutaka pointi na upendeleo katika mazungumzo.
Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah ameashiria kugonga mwamba sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington ijiandae tena kushindwa kunakodhalilisha na Iran mwaka huu.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehrah amesema, hatua za kichochezi zilizochukuliwa na shirika la kijeshi la NATO kwa uongozi wa Marekani zimetatanisha hali ya mambo katika eneo; na si hasha zikaifanya iwe tata zaidi.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa, wahusika wakuu wa machafuko ya hivi karibuni nchini Iraq ni pembe tatu za shari duniani ambazo ni Marekani, Uingereza na utawala wa Kizayuni wa Israel.