Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ayatullah Ahmad Khatami

  • Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Marekani

    Muqawama ndiyo njia pekee ya kupambana na Marekani

    Jan 24, 2025 12:05

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, njia pekee ya kukabiliana na uadui na tamaa za kupindukia za Marekani ni kuendeleza Muqawama.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Vikosi vya ulinzi vya Iran ni mihimili imara mno ya taifa

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Vikosi vya ulinzi vya Iran ni mihimili imara mno ya taifa

    Apr 26, 2024 12:07

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema: Vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mihimili imara mno kwa taifa na inayoiletea dini izza na heshima.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran: Iran ni nchi huru zaidi duniani

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran: Iran ni nchi huru zaidi duniani

    Feb 02, 2024 13:58

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi huru zaidi duniani.

  • Khatibu  wa Swala ya Ijumaa Tehran: Kundi la kigaidi la Daesh ni chombo cha Marekani na Israel

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Kundi la kigaidi la Daesh ni chombo cha Marekani na Israel

    Jan 05, 2024 15:22

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amezungumzia jinai ya kigaidi ya Kerman na kukiri kundi la kigaidi la ISIS au Daesh kuhusika na hujuma hiyo na kusema: ISIS ni chombo cha Marekani na utawala wa Kizayuni.

  • Ayatullah Khatami: Kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Iran ya Kiislamu ni ushindi wa Mwenyezi Mungu

    Ayatullah Khatami: Kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Iran ya Kiislamu ni ushindi wa Mwenyezi Mungu

    May 05, 2023 13:39

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran ametaja kufeli Marekani katika kuziunganisha nchi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa ni ushindi au nusra kutoka kwa Mwenyezi Mungu na akaongeza kuwa: "Kumfuata Wali ul Amr wa Waislamu na Hujja za Kisharia ni mfano wa usaidizi wa Mwenyezi Mungu."

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Kadhia ya kupewa sumu wanafunzi ifuatiliwe, wahusika waadhibiwe

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Kadhia ya kupewa sumu wanafunzi ifuatiliwe, wahusika waadhibiwe

    Mar 10, 2023 11:35

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Idara ya Mahakama iwachukulie hatua kali waliohusika na kuwapa sumu wanafunzi.

  • Ayatullah Khatami: Wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta zote wakiwa na Hijabu ya Kiislamu

    Ayatullah Khatami: Wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta zote wakiwa na Hijabu ya Kiislamu

    Jul 29, 2022 10:50

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran amesema kuwa, wanawake Wairani wameweza kunawiri katika sekta za kielimu, kisiasa, kiuchumi na usimamizi huku wakiwa wanazingatia Hijabu, vazi la staha la Kiislamu.

  • Ayatullah Khatami: Lengo la azimio la IAEA dhidi ya Iran ni kutaka pointi katika mazungumzo

    Ayatullah Khatami: Lengo la azimio la IAEA dhidi ya Iran ni kutaka pointi katika mazungumzo

    Jun 10, 2022 11:26

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, lengo la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) la kupasisha azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutaka pointi na upendeleo katika mazungumzo.

  • Ayatullah Khatami: Marekani isubiri vipigo zaidi vya kudhalilisha vya Iran

    Ayatullah Khatami: Marekani isubiri vipigo zaidi vya kudhalilisha vya Iran

    Mar 25, 2022 14:27

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah ameashiria kugonga mwamba sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kuwa, Washington ijiandae tena kushindwa kunakodhalilisha na Iran mwaka huu.

  • Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Hatua za kichochezi za NATO zimeifanya hali katika eneo iwe tata

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Hatua za kichochezi za NATO zimeifanya hali katika eneo iwe tata

    Feb 25, 2022 13:09

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehrah amesema, hatua za kichochezi zilizochukuliwa na shirika la kijeshi la NATO kwa uongozi wa Marekani zimetatanisha hali ya mambo katika eneo; na si hasha zikaifanya iwe tata zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS