-
Kiongozi Muadhamu: Tumeanza kupunguza ahadi zetu za JCPOA na tutaendelea kupunguza
Jul 16, 2019 11:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amekosoa vikali misimamo ya nchi za Ulaya na kushindwa kwao kutekeleza ahadi zao ndani ya mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kusisitiza kwa kusema: Sisi ndio kwanza tumeanza kupunguza hadi zetu ndani ya mapatano hayo na bila ya shaka tutaendelea tu kupunguza utekelezaji wa ahadi zetu ndani ya JCPOA.
-
Kiongozi: Walanguzi na wahalifu katika mitandao ya kijamii washughulikiwe vikali
Apr 28, 2019 16:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema jeshi la polisi lina nafasi muhimu katika kulinda usalama katika Intaneti na mitandao ya kijamii na kuongeza kuwa: "Jeshi la polisi linapaswa kukabiliana vikali na walanguzi wa bidhaa na wahalifu wa intaneti na mitandao ya kijamii."
-
Kiongozi Muadhamu: Iran itawapiga mweleka maadui katika vita vya kiuchumi dhidi ya taifa hili
Mar 21, 2019 15:43Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mwaka mpya wa Kiirani unaoanza hii leo utakuwa mwaka wa fursa kubwa na wala hautakuwa wa vitisho kama wanavyodai wengine, na kusisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itamshinda adui katika vita vyake vya kiuchumi dhidi ya taifa hili.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba wa mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu; "Hatua ya Pili ya Mapinduzi"
Feb 14, 2019 10:05Kwa mnasaba wa kutimia mwaka wa 40 tokea ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuingia Jamhuri ya Kiislamu katika ukurasa mpya wa uhai wake, Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumatano alitoa ujumbe muhimu sana kwa taifa la Iran ambapo aliwashukuru wananchi wa kujitokeza kwa wingi na kumsambaratisha adui katika matembezi ya maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatatu 22 Bahram (11 Februari) .
-
Kiongozi Muadhamu: Chuo Kikuu cha Kidini cha Qum kinapaswa kutatua matatizo
Jan 27, 2019 15:49Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, kujibu maswali na mahitajio ya kifikra ya vijana, wanafunzi na makundi yenye taathira katika jamii ni kati ya majukumu ya Idara ya Kuutangaza Uislamu ya Iran.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kasi ya harakati ya sayansi na teknolojia Iran
Jan 24, 2019 07:17Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Jumatano asubuhi mjini Tehran katika mkutano na wakuu pamoja na watafiti wa Taasisi ya Utambuzi wa Taaluma za Sayansi na Teknolojia (ICSS), Waziri wa Elimu na pia wakuu na wahadhiri wa vyuo vikuu husika alisistiza kuwa, taifa lolote linalobaki nyuma katika taaluma mpya na teknolojia zinazohusiana na taaluma hizo halitakuwa na hatima nyingine ghairi ya kubaki nyuma kimaendeleo, kudhalilishwa na kukoloniwa na madola yenye nguvu.
-
Kiongozi Muadhamu: Bishara za ushindi mkubwa zimeonekana wakati Wapalestina walipoipigisha magoti Israel masaa 48 tu
Dec 31, 2018 15:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Palestina itaendelea kuwa taifa lenye nguvu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, katika kipindi kisicho mbali sana taifa hilo litaweza kupata ushindi wa mwisho.
-
Uwezo wa Jeshi la Majini la Iran kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Nov 29, 2018 07:15Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vyote vya ulinzi vya Iran jana alikutana na makamanda na wakuu wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema kumepatikana mafanikio makubwa katika Jeshi la Iran hasa jeshi la majini tokea mwanzo wa Mapinduzi ya Kiislamu hadi sasa.
-
Kiongozi Muadhamu: Tunapaswa kuimarisha ulinzi usiohisika katika kukabiliana na vitisho vya maadui
Oct 28, 2018 16:15Mkuu na maafisa wa Taasisi ya Ulinzi Usiohisika (Passive Defense) ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo wameonana na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Kiongozi Muadhamu asisitiza kuimarishwa uwezo wa majeshi ya Iran katika kukabiliana na adui
Sep 10, 2018 06:53Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran jana alishiriki katika mahafali ya pamoja ya kuhitimu na kuapishwa wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuashiria sera za shari na kiistikbari za kuibua machafuko na ukosefu wa usalama na kusisitiza kuwa: