Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Jumuiya ya Al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kuwa jela kubwa

    Jumuiya ya Al-Wifaq: Bahrain imegeuzwa na kuwa jela kubwa

    Nov 15, 2019 07:58

    Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) imetangaza kuwa, hatua za utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa zimeigeuza Bahrain na kuwa jela kubwa.

  • Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Nov 06, 2019 07:55

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • HAMAS yalaani utawala wa Kizayuni wa Israel kushirikishwa katika mkutano wa Bahrain

    HAMAS yalaani utawala wa Kizayuni wa Israel kushirikishwa katika mkutano wa Bahrain

    Oct 21, 2019 02:39

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani vikali kualikwa na kushirikishwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa usalama wa baharini unaotazamiwa kufanyika nchini Bahrain, ikisisitiza kwamba hatua hiyo inakinzana na misimamo ya umma wa Waarabu.

  • Utawala wa Bahrain wawakamata wanazuoni wa Kishia

    Utawala wa Bahrain wawakamata wanazuoni wa Kishia

    Sep 08, 2019 02:35

    Utawala wa kiimla wa Bahrain umewakamata wanazuoni kadhaa wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia katika mwezi huu wa Muharram.

  • Bahrain yaukingia kifua tena utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Bahrain yaukingia kifua tena utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Sep 02, 2019 13:15

    Kwa mara nyingine tena aila ya Aal Khalifa inayotawala Bahrain imeutetea na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia kipigo cha ulipizaji kisasi ulichopata utawala huo haramu jana Jumapili kutoka kwa wanamapambano wa Muqawama wa Kiislamu wa Lebanon, Hizbullah.

  • Al Wifaq: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ni muovu zaidi kuliko Wazayuni

    Al Wifaq: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ni muovu zaidi kuliko Wazayuni

    Aug 28, 2019 11:01

    Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) imesema kuwa msimamo wa Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Aal Khalifa wa kutetea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni Israel dhidi ya nchi za Kiislamu na Kiarabu ni muovu na usio wa kuwajibika.

  • Bahrain yaunga mkono mashambulio ya anga ya Israel dhidi ya Lebanon na Iraq

    Bahrain yaunga mkono mashambulio ya anga ya Israel dhidi ya Lebanon na Iraq

    Aug 27, 2019 07:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain amesema, mashambulio ya kivamizi yaliyofanywa hivi karibuni na ndege zisizo na rubani za utawala wa Kizayuni wa Israel katika maeneo kadhaa ndani ya Lebanon na Iraq ni aina mojawapo ya kujihami na ameonesha kuunga mkono hatua hiyo ya utawala huo haramu.

  • Utawala wa Bahrain unapanga mikakai ya kuwafuta kazi walimu wa Kishia

    Utawala wa Bahrain unapanga mikakai ya kuwafuta kazi walimu wa Kishia

    Aug 26, 2019 12:02

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kuwa, utawala wa Aal Khalifa nchini humo unapanga mikakati ya kuwatimua maelfu ya walimu Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo.

  • Abbas Mousavi: Mazungumzo ya JCPOA kati ya Iran na Ulaya hayajafikia natija

    Abbas Mousavi: Mazungumzo ya JCPOA kati ya Iran na Ulaya hayajafikia natija

    Aug 19, 2019 08:14

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mwenendo wa mazungumzo ya Iran na madola ya Ulaya kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, mazungumzo kuhusiana na uwajibikaji wa Ulaya katika JCPOA hadi sasa hayajawa na natija.

  • Bunge la Ulaya lalaani kunyongwa wanaharakati wa kisiasa Bahrain

    Bunge la Ulaya lalaani kunyongwa wanaharakati wa kisiasa Bahrain

    Aug 17, 2019 06:51

    Wabunge kadhaa wa Bunge la Ulaya wamelaani hatua ya utawala wa Bahrain ya kuwanyonga wanaharakati wa kisiasa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS