-
Bahrain yamzuia mkosoaji wa utawala wa Aal Khalifa kwenda nje ya nchi kwa matibabu
Aug 17, 2019 03:41Utawala wa Bahrain umemzuia mbunge wa zamani wa nchi hiyo kwenda nje ya nchi kwa matibabu; hiyo ikiwa ni sehemu ya mlolongo wa vizingiti na mibinyo iliyowekwa na utawala wa Aal Khalifa kwa wanasiasa na wanaharakati wanaotetea demokrasia nchini humo.
-
Saudi Arabia na Bahrain, "makuwadi wa kisiasa" wa Marekani
Aug 09, 2019 08:13Marekani imekuwa ikiitisha vikao na mikutano kwa shabaha ya kutangaza sera zake za kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran na sasa vikao hivyo vinafanyika katika nchi ndogo ya Bahrain.
-
Jumuiya ya Al-Wifaq: Kuna wafungwa elfu tano wa kisiasa nchini Bahrain
Aug 08, 2019 13:01Jumuiya ya Kitaifa na Kiislamu nchini Bahrain ya Al-Wifaq imetangaza kuwa kuna wafungwa elfu tano wa kisiasa wanaoshikiliwa kwenye magereza ya nchi hiyo.
-
Msimamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai za utawala wa Bahrain
Jul 31, 2019 15:41Ofisi ya Kulinda na Kusambaza Athari za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza msimamo wa Ayatullah Ali Khamenei kuhusu jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Khalifa huko Bahrain baada ya utawala huo kuwaua shahidi vijana wawili wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia.
-
Mkuu wa Muungano wa al Fat'h asema, watawala wa Bahrain watakumbwa na hatima kama ya Saddam na Gaddafi
Jul 28, 2019 15:51Mwenyekiti wa Muungano wa al Fat'h nchini Iraq amesema kuwa hatua ya utawala wa Bahrain ya kuwanyonga vijana wawili wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia ina maana ya mwisho wa utawala wa ukoo wa Aal Khalifa sawa kabisa na hatima iliyowapata madikteta walioangamizwa wa Iraq na Libya.
-
Mamia ya Wabahrain wamevuliwa uraia katika nusu ya kwanza tu ya mwaka huu wa 2019
Jul 24, 2019 11:38Kituo cha haki za binadamu nchini Bahrain kimetoa taarifa na kutangaza kuwa katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019 raia 334 wa nchi hiyo wamenyang'anywa uraia na utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa.
-
Hamas: Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain ameisaliti Palestina
Jul 20, 2019 07:47Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekosoa vikali kitendo cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain, Khalid bin Ahmad bin Muhammad Aal Khalifa cha kukukata na kufanya mazungumzo hadharani na mwenzake wa utawala haramu wa Israel, Israel Katz nchini Marekani.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain akiri kuanzishwa uhusiano wa nchi yake na Israel
Jul 19, 2019 02:29Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain amekariri tena madai yake kwamba kuanzishwa uhusiano wa nchi hiyo na utawala haramu wa Israel ndio 'msingi wa amani halisi' katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kukiri Jared Kushner kutofanikiwa mkutano wa Manama, kufeli hatua ya kwanza ya Muamala wa Karne
Jul 10, 2019 09:59Katika hatua za uungaji mkono wake wa kila upande kwa utawala haramu wa Kizayuni Israel, rais wa Marekani, Donald Trump amekuwa akifanya njama mbalimbali kufanikisha uadui wake dhidi ya taifa linalodhulumiwa la Palestina.
-
Kushner akiri: Mkutano wa kuzindua "Muamala wa Karne" Bahrain umefeli
Jul 08, 2019 10:36Jared Kushner, mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani amekiri kwamba, Waplestina wameufanya mkutano wa kiuchumi wa Bahrain, uliokuwa umeitishwa kuzindua mpango wa Mualama wa Karne dhidi ya taifa la Palestina, ushindwe na kufeli.