-
Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa "Muamala wa Karne"
Jul 07, 2019 02:24Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa itaendeleza harakati za kupinga mpango eti wa amani uliozusha makelele mengi wa Rais Donald Trump wa Marekani baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne"
-
Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina
Jun 28, 2019 15:01Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel
Jun 28, 2019 02:29Bahrain ambayo ilikuwa mwenyeji wa eti mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama baada ya kuficha kwa muda mrefu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel, hatimaye imefunguka na kusema kuwa inataka kuwa na amani na kuimarisha uhusiano wake na utawala huo haramu.
-
Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake
Jun 25, 2019 06:55Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.
-
Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina
Jun 24, 2019 06:33Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa kupinga mkutano wa kufungua mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne wa kuangamiza kadhia ya Palestina uliopangwa kufanyika kesho na keshokutwa Jumatano katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.
-
Saeb Erekat: Siasa za Marekani katika mkutano wa Bahrain zitafeli
Jun 21, 2019 07:23Katibu wa Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Saeb Erekat amesema kuwa siasa za Marekani katika kikao cha uchumi kinachosimamiwa na Washington nchini Bahrain, zitashindwa tu.
-
Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain
Jun 21, 2019 04:38Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.
-
Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain
Jun 17, 2019 07:46Utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa utashiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne'.
-
Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina
Jun 14, 2019 02:24Jumatano yana Jumuiya ya maulama wa Palestina ilifanya kikao kilichopewa jina la 'Maulama wa Palestina katika Kukabiliana na Mpango wa Muamala wa Karne wa Trump' huko Ukanda wa Gaza kwa lengo la kujadili malengo ya mkutano wa kiuchumi wa nchini Bahrain.
-
Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'
Jun 11, 2019 05:21Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.