Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Kukiri Jared Kushner kutofanikiwa mkutano wa Manama, kufeli hatua ya kwanza ya Muamala wa Karne

    Kukiri Jared Kushner kutofanikiwa mkutano wa Manama, kufeli hatua ya kwanza ya Muamala wa Karne

    Jul 10, 2019 05:29

    Katika hatua za uungaji mkono wake wa kila upande kwa utawala haramu wa Kizayuni Israel, rais wa Marekani, Donald Trump amekuwa akifanya njama mbalimbali kufanikisha uadui wake dhidi ya taifa linalodhulumiwa la Palestina.

  • Kushner akiri: Mkutano wa kuzindua

    Kushner akiri: Mkutano wa kuzindua "Muamala wa Karne" Bahrain umefeli

    Jul 08, 2019 06:06

    Jared Kushner, mkwe wa Rais Donald Trump wa Marekani amekiri kwamba, Waplestina wameufanya mkutano wa kiuchumi wa Bahrain, uliokuwa umeitishwa kuzindua mpango wa Mualama wa Karne dhidi ya taifa la Palestina, ushindwe na kufeli.

  • Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa

    Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa "Muamala wa Karne"

    Jul 06, 2019 21:54

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa itaendeleza harakati za kupinga mpango eti wa amani uliozusha makelele mengi wa Rais Donald Trump wa Marekani baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne"

  • Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2019 10:31

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Jun 27, 2019 21:59

    Bahrain ambayo ilikuwa mwenyeji wa eti mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama baada ya kuficha kwa muda mrefu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel, hatimaye imefunguka na kusema kuwa inataka kuwa na amani na kuimarisha uhusiano wake na utawala huo haramu.

  • Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Jun 25, 2019 02:25

    Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.

  • Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Jun 24, 2019 02:03

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa kupinga mkutano wa kufungua mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne wa kuangamiza kadhia ya Palestina uliopangwa kufanyika kesho na keshokutwa Jumatano katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Saeb Erekat: Siasa za Marekani katika mkutano wa Bahrain zitafeli

    Saeb Erekat: Siasa za Marekani katika mkutano wa Bahrain zitafeli

    Jun 21, 2019 02:53

    Katibu wa Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Saeb Erekat amesema kuwa siasa za Marekani katika kikao cha uchumi kinachosimamiwa na Washington nchini Bahrain, zitashindwa tu.

  • Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Jun 21, 2019 00:08

    Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.

  • Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Jun 17, 2019 03:16

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa utashiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne'.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS