• Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa

    Hamas yaapa kudumaza mpango wa Trump wa "Muamala wa Karne"

    Jul 07, 2019 02:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa itaendeleza harakati za kupinga mpango eti wa amani uliozusha makelele mengi wa Rais Donald Trump wa Marekani baina ya utawala haramu wa Israel na Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne"

  • Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Ansarullah: Mkutano wa Bahrain ni uhaini dhidi ya Wapalestina

    Jun 28, 2019 15:01

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne ni hujuma ya moja kwa moja na uhaini dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Bahrain: Tunataka kuimarisha uhusiano wetu na Israel

    Jun 28, 2019 02:29

    Bahrain ambayo ilikuwa mwenyeji wa eti mkutano wa kiuchumi wa mjini Manama baada ya kuficha kwa muda mrefu uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel, hatimaye imefunguka na kusema kuwa inataka kuwa na amani na kuimarisha uhusiano wake na utawala huo haramu.

  • Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Sheikh Isa Qassim: Trump anataka kuiuza Palestina na matukufu yake

    Jun 25, 2019 06:55

    Mwanazuoni maarufu wa Kiislamu nchini Bahrain, Sheikh Isa Qassim sambamba na kulaani hatua ya utawala wa Manama kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kibiashara linalotazamiwa kuanza leo nchini humo kwa shabaha ya kuzindua mpango wa 'Muamala wa Karne' amesema mpango huo wa Rais Donald Trump wa Marekani unakusudia kuwapokonya Wapalestina haki zao zote na kuuza kila kitu kinachomilikiwa nao yakiwemo maeneo matakatifu.

  • Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Wamorocco waandamana kupinga mkutano wa Bahrain wa kuangamiza kadhia ya Palestina

    Jun 24, 2019 06:33

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa kupinga mkutano wa kufungua mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne wa kuangamiza kadhia ya Palestina uliopangwa kufanyika kesho na keshokutwa Jumatano katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.

  • Saeb Erekat: Siasa za Marekani katika mkutano wa Bahrain zitafeli

    Saeb Erekat: Siasa za Marekani katika mkutano wa Bahrain zitafeli

    Jun 21, 2019 07:23

    Katibu wa Chama cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Saeb Erekat amesema kuwa siasa za Marekani katika kikao cha uchumi kinachosimamiwa na Washington nchini Bahrain, zitashindwa tu.

  • Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Wafanyabiashara wa Kipalestina wasusia mkutano wa Trump, Bahrain

    Jun 21, 2019 04:38

    Wafanyabiashara na wawekezaji mashuhuri wa Kipalestina wametangaza bayana kuwa hawatoshiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne', wakisisitiza kuwa kile ambacho Wapalestina wanahitajia ni uhuru wao na wala sio fedha.

  • Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Israel kushiriki mkutano wa Marekani dhidi ya Wapalestina, Bahrain

    Jun 17, 2019 07:46

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa utashiriki mkutano wa 'kiuchumi wa Manama' nchini Bahrain ulioitishwa na Marekani, wenye lengo la kuzindua 'Muamala wa Karne'.

  • Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina

    Maulama wa Palestina: Kikao cha Bahrain kina lengo la kuifuta Palestina na kusambaratisha matukufu ya Wapalestina

    Jun 14, 2019 02:24

    Jumatano yana Jumuiya ya maulama wa Palestina ilifanya kikao kilichopewa jina la 'Maulama wa Palestina katika Kukabiliana na Mpango wa Muamala wa Karne wa Trump' huko Ukanda wa Gaza kwa lengo la kujadili malengo ya mkutano wa kiuchumi wa nchini Bahrain.

  • Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Ufaransa yakosoa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Jun 11, 2019 05:21

    Licha ya juhudi kuibwa zinazofanywa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanikisha mpango wa 'Muamala wa Karne' ambao unalenga kudhamini maslahi ya utawala haramu wa Israel kwa madhara ya Wapalestina, lakini washirika wa Ulaya wa Washington ikiwemo Ufaransa, wanaendelea kuukosoa mpango huo.