-
Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana
Feb 12, 2019 23:02Kamati ya Kimatiafa ya Haki za Binadamu Eneo la Asia Magharibi imesema hali ya haki za binadamu inazidi kuwa mbaya nchini Bahrain ambapo ukoo wa Aal Khalifa ambao unatawala nchi hiyo umehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.
-
Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain waharibu nembo za Bibi Fatwimah (as)
Feb 09, 2019 09:00Katika usiku wa kuamkia siku ya kukumbuka kuuawa shahidi Bibi Fatwimatu az-Zahraa (as) binti ya Mtume Mtukufu (saw), vibaraka wa utawala kandamizi wa Aal Khalifa nchini Bahrain wameharibu na kuondoa nembo zote zilizokuwa zimewekwa na waombolezaji wa nchi hiyo, kwa mnasaba huu mchungu wa kukumbuka kifo cha Bibi huyo mtukufu (as).
-
UN yasikitika kufungwa maisha jela viongozi wa upinzani Bahrain
Feb 01, 2019 23:17Umoja wa Mataifa umetilia shaka mchakato wa kesi, baada ya mahakama ya Bahrain kuwahukumu kifungo cha maisha jela viongozi wa upinzani nchini humo.
-
Mkuu wa Baraza la Maulamaa wa Kishia Bahrain atiwa nguvuni tena masaa 24 tangu alipotolewa jela
Jan 31, 2019 11:24Utawala wa Aal Khalifa umemtia nguvuni tena Sheikh Majid Mash'al, mwanazuoni wa Kishia na mkuu wa Baraza la Maulamaa wa Kiislamu wa Bahrain, baada ya kupita masaa 24 tu tangu alipotolewa jela.
-
EU, Amnesty zaikosoa Bahrain kwa kumfunga maisha jela Sheikh Salman
Jan 29, 2019 10:34Umoja wa Ulaya umekosoa vikali hatua ya Mahakama ya Juu ya Bahrain ya kuidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya shakshia mashuhuri wa kidini na kisiasa nchini humo, Sheikh Ali Salman.
-
Mwaka 2019, mwaka mbaya zaidi kwa haki za binaadamu nchini Bahrain
Jan 20, 2019 22:02Kamati ya watu waliotiwa mbaroni katika Ukanda wa Pwani nchini Bahrain imetangaza kwamba, katika jela ya Jau nchini Bahrain, maafisa usalama wa utawala wa Aal-Khalifa na katika kulipiza kisasi dhidi ya wafungwa wa kesi za uhuru wa kujieleza, wanatekeleza siasa za kuwatesa kwa njaa wafungwa hao.
-
Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi
Jan 18, 2019 23:36Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.
-
Bahrain yaendelea kukabiliwa na ukandamizaji wa kisiasa wa utawala wa Aal Khalifa
Jan 17, 2019 07:35Utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa nchini Bahrain umeshadidisha ukandamizaji wake dhidi ya raia wa nchi hiyo katika mwaka huu wa 2019. Katika siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa uongezeko la ukandamizaji wa wananchi ambapo wanajeshi wa utawala wa Aal Khalifa wamekandamiza kwa mkono wa chuma maandamano ya amani ya wananchi katika mji wa Al Akr kusini mwa mji mkuu Manama.
-
Kongamano la kulaani jinai za serikali ya Bahrain lafanyika Beirut
Jan 17, 2019 04:14Washiriki wa Kongamano la Kimataifa la kulaani jinai za utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain wamekosoa kimya cha jamii ya kimataifa mbele ya ukandamizaji wa serikali ya Manama kwa raia wake.
-
Ripoti: Wafungwa wa kisiasa Bahrain wana hali mbaya
Jan 10, 2019 03:44Kituo cha Haki za Binadamu na Demokrasia nchini Bahrain kimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanaharakati wa kutetea haki za binadamu waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa nchini humo.