Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Baada ya Imarati, Bahrain nayo yafungua tena ubalozi wake Syria

    Baada ya Imarati, Bahrain nayo yafungua tena ubalozi wake Syria

    Dec 28, 2018 15:59

    Serikali ya Bahrain imefuata nyayo za Umoja wa Falme za Kiarabu na kufungua tena ubalozi wake katika mji mkuu wa Syria, Damascus, baada ya kupita zaidi ya miaka saba tangu ulipoanza mgogoro wa ndani katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kushtadi anga ya kipolisi inayotawala Bahrain sambamba na maadhimisho ya

    Kushtadi anga ya kipolisi inayotawala Bahrain sambamba na maadhimisho ya "Siku ya Shahidi"

    Dec 17, 2018 08:06

    Sambamba na kuwadia maadhimisho ya Siku ya Shahidi nchini Bahrain, utawala wa Aal Khalifa umeshadidisha siasa za kipolisi kwa kuzidisha mbinyo nchini humo; na katika anga hiyo tunashuhudia kupamba moto zaidi ukatili na ukandamizaji dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Serikali mpya ya Bahrain; dhihirisho la nembo kubwa zaidi ya Udikteta

    Dec 08, 2018 07:57

    Baada ya kufanyika uchaguzi wa kimaonyesho wa bunge nchini Bahrain, Mfalme Hamad bin Isa Aal Khalifa amemkabidhi tena jukumu la kuunda serikali mpya, mtu yule yule ambaye anajulikana kuwa waziri mkuu pekee katika historia ya nchi hiyo.

  • Kushadidi ukandamizaji nchini Bahrain wakati wa kukaribia uchaguzi wa kimaigizo wa Aal-Khalifa

    Kushadidi ukandamizaji nchini Bahrain wakati wa kukaribia uchaguzi wa kimaigizo wa Aal-Khalifa

    Nov 21, 2018 13:50

    Matukio yanayoripotiwa kutoka nchini Bahrain yanabainisha kushadidi anga ya ukandamizaji nchini humo wakati huu wa kukaribia uchaguzi wa kiagizo wa Bunge katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Wapinzani wanne wa utawala wa Bahrain kunyongwa

    Wapinzani wanne wa utawala wa Bahrain kunyongwa

    Nov 13, 2018 02:51

    Mahakama nchini Bahrain imepitisha hukumu ya kunyongwa raia wanne wa nchi hiyo ambao ni wapinzani wa utawala wa kifalme unaoongozwa na ukoo wa Aal Khalifa.

  • Amnesty International yalaani kifungo cha maisha dhidi ya Sheikh Ali Salman

    Amnesty International yalaani kifungo cha maisha dhidi ya Sheikh Ali Salman

    Nov 05, 2018 07:13

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International, limetoa taarifa likilaani hukumu ya kifungo cha maisha iliyotolewa na watawala wa Bahrain dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kiislamu ya al-Wifaaq.

  • Wimbi jipya la hukumu za vifo na vifungo dhidi ya wapinzani nchini Bahrain

    Wimbi jipya la hukumu za vifo na vifungo dhidi ya wapinzani nchini Bahrain

    Oct 31, 2018 08:23

    Mahakama ya Rufaa ya Bahrain imetoa hukumu ya kifo dhidi ya wapinzani wawili wa serikali ya nchi hiyo kwa tuhuma za kuhusika na ugaidi. Mahakama hiyo pia imewahukumu watu wengine 20 hukumu ya vifungo vya baina ya miezi 6 na miaka 25, na wengine 9 wamenyang'anywa uraia.

  • Watoto 30 wanaoshikiliwa na utawala wa Bahrain wadhuriwa na chakula kilichoharibika

    Watoto 30 wanaoshikiliwa na utawala wa Bahrain wadhuriwa na chakula kilichoharibika

    Oct 18, 2018 07:54

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kwamba utawala wa Aal-Khalifa umewapa chakula kilichoharibika watoto 30 unaowashikilia katika jela huku wasimamizi wake wakikataa kuwapeleka hospitali kwa ajili ya kuwapatia matibabu.

  • Wabahrain waandamana wakitaka kususiwa uchaguzi

    Wabahrain waandamana wakitaka kususiwa uchaguzi

    Oct 12, 2018 16:51

    Idadi kubwa ya wananchi wa Bahrain leo wamefanya maandamano kuunga mkono uamuzi wa maulamaa wa nchi hiyo waliotaka kususiwa uchaguzi wa kimaonyesho wa utawala wa Aal Khalifa.

  • Kuhitimishwa utawala wa kikabila wa Aal Khalifa ndio njia ya ufumbuzi wa mgogoro wa Bahrain

    Kuhitimishwa utawala wa kikabila wa Aal Khalifa ndio njia ya ufumbuzi wa mgogoro wa Bahrain

    Oct 03, 2018 07:30

    Hassan Qambar mwanaharakati wa masuala ya vyombo vya habari amesema kuwa kuhitimishwa utawala wa kikabila wa Aal Khalifa wa Bahrain na kuundwa Baraza la Waasisi kutakuwa suluhisho kwa mgogoro wa sasa na kuondoka katika mkwamo wa kisiasa nchinii humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS