-
Bahram Qassemi: Uingiliaji wa masuala ya nchi nyingine haujawahi kuwa katika siasa za Iran
Oct 01, 2018 08:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amejibu madai bandia ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain na Imarati waliyoyatoa katika mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Marekani.
-
Ashura ya Imam Hussein (as) yautia hofu na kiwewe utawala wa Aal Khalifa, Bahrain
Sep 21, 2018 07:46Mkuu wa kituo cha haki za binadamu nchini Bahrain amesema, hatua za utawala wa Aal Khalifa za kuwakandamiza wananchi na maulamaa ni ishara ya hofu uliyonayo kutokana na mapambano ya Ashura na taathira yake kwa wananchi wanaoupinga utawala huo.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim
Sep 14, 2018 15:17Idadi kubwa ya Waislamu wa Bahrain leo Ijumaa wamefanya maandamano baada ya Swala ya Ijumaa kandokando ya Msikiti wa Imam Jaafar Sadiq (a.s) wakionyesha uungaji mkono na mshikamano wao kwa Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mtajika wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo.
-
Taasisi ya Haki za Binadamu ya Reprieve: Wabahraini 21 wanakaribia kunyongwa
Sep 06, 2018 07:43Taasisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Reprieve jana ilitangaza kuwa Wabahraini 21 ambao wengi ni wafungwa wa kisiasa wanakaribia kunyongwa.
-
Ombi la Bahrain la kuwa mwanachama katika Baraza la Haki za Binadamu la UN; nembo ya jeuri ya Aal Khalifa
Sep 05, 2018 02:30Utawala wa Bahrain unaotekeleza siasa za ukandamizaji nchini humo umeomba kuwa mwanachama katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
Wananchi wa Bahrain waendelea kupinga siasa za utawala wa Aal Khalifa
Aug 28, 2018 03:32Wananchi wa Bahrain wameendelea kufanya maandamano wakipaza sauti za kupinga siasa za utawala wa kifamilia wa Aal Khalifa.
-
Sisitizo la Jumuiya ya al-Wifaq juu ya kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa, Bahrain
Aug 20, 2018 03:54Kuendelea siasa za utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa hususan katika kuwashikilia jela wanaharakati wa kisiasa na viongozi wa mwamko wa wananchi, kumeibua malalamiko makubwa miongoni mwa raia wa Bahrain.
-
Kukataa Bahrain wito wa UN wa kuwaachia huru wanaharakati wa haki za binadamu
Aug 17, 2018 14:18Utawala wa Bahrain umekataa wito wa wataalamu wa Umoja wa Mataifa wa kumwachilia huru Nabil Rajab, mtetezi wa haki za binadamu anayeshikiliwa kwenye jela za utawala huo.
-
Bahrain yapinga ombi la UN la kuachiwa huru mwanaharakati wa haki za binadamu
Aug 17, 2018 07:48Utawala wa kifalme wa Bahrain umepinga ombi la wataalamu wa Umoja wa Mataifa walioutaka utawala huo umuachie huru Nabil Rajab mwanaharakati wa haki za binadamu aliyeko jela nchini humo.
-
Wananchi wa Bahrain wafanya maandamano makubwa kuonyesha mshikamano wao kwa maulamaa walioko jela
Jul 31, 2018 06:49Wananchi wa Bahrain jana usiku walifanya maandamano makubwa katika maeneo mbalimbali nchini humo lengo likiwa ni kuwaunga mkono na kuonyesha mshikamano wao kwa maulamaa na wanazuoni wa kidini wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa Aal Khalifa.