Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Kusambaratika uchumi wa Bahrain katika kivuli cha utawala wa Aal Khalifa

    Jul 30, 2018 11:07

    Ripoti mbalimbali kutoka nchini Bahrain zinaonyesha kuwa, hali ya uchumi wa nchi hiyo ya Kiarabu inazidi kuwa mbaya chini ya kivuli cha utawala wa Aal Khalifa.

  • Bahrain yawafutia uraia mamia ya wanaharakati wa asasi za kiraia

    Bahrain yawafutia uraia mamia ya wanaharakati wa asasi za kiraia

    Jul 28, 2018 08:02

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain umewafutia uraia wanaharakati 738 wa asasi za kiraia wa nchi hiyo.

  • Maandamano ya wananchi wa Bahrain kuonyesha mshikamano na Sheikh Issa Qassim

    Maandamano ya wananchi wa Bahrain kuonyesha mshikamano na Sheikh Issa Qassim

    Jul 23, 2018 07:39

    Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wameandamana wakionyesha mshikamano wao na Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mtajika wa nchi hiyo.

  • Maandamano Bahrain kutangaza mshikamano na Sheikh Isa Qassim

    Maandamano Bahrain kutangaza mshikamano na Sheikh Isa Qassim

    Jul 20, 2018 14:13

    Wananchi wa Bahrain leo wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu, Manama, kuonyesha mshikamano wao na mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim anayepata matibabu nje ya nchi

  • Bahrain inazuia watu kumtembelea Sheikh Qassim hospitalini London

    Bahrain inazuia watu kumtembelea Sheikh Qassim hospitalini London

    Jul 15, 2018 07:25

    Kiongozi wa chama kimoja cha upinzani cha Bahrain amesema watawala wa Manama wanazuia watu kwenda kumtembelea Sheikh Isa Qassim hospitalini mjini London nchini Uingereza.

  • Sheikh Issa Qassim apelekwa uwanja wa ndege Bahrain ili kusafirishwa nje kwa matibabu

    Sheikh Issa Qassim apelekwa uwanja wa ndege Bahrain ili kusafirishwa nje kwa matibabu

    Jul 09, 2018 08:12

    Sheikh Issa Qassim mwanazuoni mtajika wa Kiislamu wa nchini Bahrain amepelekwa uwanja wa ndege akiwa katika gari ya wagonjwa ili kusafirishwa nje ya nchi kwa ajili ya matibabu.

  • Kushikilia Bahrain rekodi ya wafungwa wa kisiasa ulimwenguni

    Kushikilia Bahrain rekodi ya wafungwa wa kisiasa ulimwenguni

    Jul 04, 2018 03:49

    Jalal Firouz, mbunge wa zamani wa Bahrain na mmoja wa wanaharakati wa masuala ya haki za binadamu wa nchi hiyo amesema, kwa sasa Bahrain ndio inayoshika nafasi ya kwanza ulimwenguni kwa kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa.

  • Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Haaretz: Bahrain inataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Israel

    Jul 02, 2018 14:25

    Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeashiria uhusiano wa siri kati ya utawala wa Aal Khalifa wa Bahrain na utawala ghasibu wa Israel na kufichua kwamba, viongozi wa Manama wanataka kuanzisha uhusiano wa dhahiri na Tel-Aviv.

  • Bahrain, Israel zaongoza kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani

    Bahrain, Israel zaongoza kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani

    Jul 02, 2018 07:51

    Mbunge wa zamani wa Bahrain amesema nchi hiyo ya Kiarabu ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani.

  • Utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi

    Utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi

    Jul 01, 2018 13:58

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya al Amal ya Bahrain ameeleza kuwa utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS