-
Bahrain, Israel zaongoza kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani
Jul 02, 2018 03:21Mbunge wa zamani wa Bahrain amesema nchi hiyo ya Kiarabu ndiyo inayoongoza kwa kuwa na wafungwa wengi wa kisiasa duniani.
-
Utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi
Jul 01, 2018 09:28Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya al Amal ya Bahrain ameeleza kuwa utawala wa Aal Khalifa unaratibu mipango ya kuwauwa viongozi wanamapinduzi wa nchi hiyo.
-
Bahrain yawakaribisha rasmi wajumbe wa utawala wa Kizayuni wa Israel
Jun 18, 2018 02:52Afisa mmoja wa Bahrain ametangaza habari ya kushiriki ujumbe mmoja rasmi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mkutano wa kiutamaduni nchini Bahrain.
-
Utawala wa Bahrain wawahukumu kifo wanazuoni watatu wa Kiislamu
Jun 17, 2018 10:13Mahakama ya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya wanazuoni watatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia dhidi yao, ikiwa ni muendelezo wa hukumu zisizo za kiuadilifu zinazotolewa na watawala madikteta wa nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
-
Ripoti: Saudia na Imarati zinapanga kufanya mapinduzi Bahrain
Jun 09, 2018 03:39Tovuti ya habari ya Middle East Eye imeripoti kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zinapanga njama ya kumuondoa mamlakani Waziri Mkuu wa Bahrain, Khalifa bin Salman Aal-Khalifah.
-
Utawala wa Aal-Khalifa wawazuia wafungwa kushiriki ibada za mwezi wa Ramadhani
Jun 06, 2018 10:12Taasisi ya 'Amani kwa ajili ya Demokrasia na Haki za Binaadamu' nchini Bahrain imetangaza kwamba, utawala wa kidikteta wa Aal-Khalifa umewaweka wafungwa wa kisiasa nchini humo katika seli za mtu mmoja kwa kosa la kujumuika pamoja kwenye ibada za mikesha ya Lailatul-Qadr.
-
Mwaka mmoja wa mgogoro kati ya nchi za Kiarabu
Jun 06, 2018 01:27Umetimia mwaka mmoja tokea uanze mgogoro baina ya nchi za Kiarabu na dalili zote zinaonyesha kuwa mgogoro huo ungali unaendelea bali hata utazidi kupanuka na kuwa mbaya zaidi.
-
Mahakama ya Kangaroo Bahrain yawahukumu raia wengine sita kifungo cha maisha jela
Jun 01, 2018 03:13Mahakama ya kangaroo ya utawala wa Aal Khalifa imetoa hukumu ya kifungo cha maisha jela kwa raia sita wa Bahrain kwa kisingizio cha kushiriki kwenye machafuko yaliyotokea nchini humo.
-
Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri
May 27, 2018 00:13Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.
-
Amnesty: Ni upuuzi kuwavua uraia Wabahrain 115 katika 'kesi ya umati'
May 17, 2018 09:42Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya hivi karibuni ya Bahrain ya kuwafunga jela na kuwapokonya uraia makumi ya wanaharakati wa kisiasa ambao wanaonekana kuwa wakosoaji wakubwa wa utawala wa Aal-Khalifa.