-
Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel
May 04, 2018 04:08Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.
-
Radiamali ya watu wa Bahrain dhidi ya hukumu za kifo dhidi ya wapinzani
Apr 27, 2018 02:27Kufuatia kutolewa hukumu ya kifo dhidi ya vijana sita wa Bahrain na mahakamu ya kijeshi ya Aal Khalifa, Wabahrain wameandamana katika pembe tofauti za nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi kulalamikia ukandamizaji wa utawala huo dhidi yao.
-
Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia
Apr 26, 2018 03:46Mahkama ya rufaa ya kijeshi nchini Bahrain, imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya raia sita wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia kwamba walijaribu kupanga shambulizi dhidi ya kamanda wa vikosi vya ulinzi nchini humo.
-
Al Wifaq: Polisi wa Bahrain wameshadidisha mzingiro dhidi ya nyumba ya Sheikh Isa Qassim
Apr 13, 2018 07:07Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetangaza kwamba utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa nchini humo umezidisha mzingiro dhidi ya nyumba ya mwanazuoni mkubwa wa nchi hiyo, Sheikh Isa Qassim.
-
Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa
Apr 12, 2018 07:17Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetaka kuachiwa huru wanawake waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa ambao walitiwa mbaroni kwa sababu tu ya kuwasilisha maoni na fikra zao.
-
Kulaaniwa wimbi jipya la kamatakamata nchini Bahrain
Apr 11, 2018 04:33Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain kimetoa taarifa maalumu inayoeleza juu ya kutiwa mbaroni na vikosi vya usalama vya utawala wa Aa Khalifa wapinzani 21 na kulaani vikali hatua hiyo.
-
Vikosi vya usalama Bahrain vyawashambulia waandamanaji
Apr 07, 2018 07:54Maafisa usalama wa Bahrain wamewashambulia wananchi waliokuwa wamemininika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kufanyika nchini humo mashindano ya magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1.
-
Matokeo ya kufunguliwa kituo cha kijeshi cha Uingereza nchini Bahrain
Apr 07, 2018 04:22Uingereza imefungua kituo chake cha kwanza cha kudumu cha kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi huko katika Bandari ya Salman nchini Bahrain.
-
Wapinzani 32 wakamatwa Bahrain masaa 24 yaliyopita
Mar 24, 2018 07:18Utawala wa kiimla wa Bahrain umewakamata wapinzani 32 katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita huku ukandamizaji ukiendelea kushika kasi nchini humo.
-
Wimbi jipya la malalamiko ya wananchi nchini Bahrain
Mar 19, 2018 03:16Jumamosi usiku raia wa Bahrain walifanya maandamano katika maeneo mengi ya nchi hiyo sambamba na kulaani hatua hasi za utawala wa Aal Khalifa kuwalenga wapinzani.