Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Bahrain yawapokonya uraia wapinzani 115, yawafunga jela maisha 53 miongoni mwao

    Bahrain yawapokonya uraia wapinzani 115, yawafunga jela maisha 53 miongoni mwao

    May 15, 2018 09:27

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa ukandamizaji na mbinyo dhidi ya wapinzani na wakosoaji wa serikali, utawala wa Aal-Khalifa umewavua uraia wananchi 115 wa Bahrain, huku ukiwahukumu kifungo cha maisha jela 53 miongoni mwao.

  • Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    Associated Press lafichua: Nentayahu alionana na mabalozi wa UAE na Bahrain, Washington

    May 13, 2018 11:12

    Shirika la habari la Associated Press limefichua kuwa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu alikutana na mabalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Bahrain nchini Marekani mnamo mwezi Machi mwaka huu, hatua inayozidi kuweka wazi uhusiano mzuri uliopo kati ya Israel na baadhi ya nchi za Kiarabu.

  • Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    Imarati na Bahrain kushiriki sherehe za miaka 70 ya kuundwa utawala pandikizi wa Israel

    May 03, 2018 23:38

    Bahrain na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimetangaza kuwa zitashiriki katika mashindano ya pikipiki yaliyoitishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel yanayoanza leo Ijumaa.

  • Radiamali ya watu wa Bahrain dhidi ya hukumu za kifo dhidi ya wapinzani

    Radiamali ya watu wa Bahrain dhidi ya hukumu za kifo dhidi ya wapinzani

    Apr 26, 2018 21:57

    Kufuatia kutolewa hukumu ya kifo dhidi ya vijana sita wa Bahrain na mahakamu ya kijeshi ya Aal Khalifa, Wabahrain wameandamana katika pembe tofauti za nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi kulalamikia ukandamizaji wa utawala huo dhidi yao.

  • Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Utawala wa Bahrain wawahukumu watu sita adhabu ya kifo kwa tuhuma bandia

    Apr 25, 2018 23:16

    Mahkama ya rufaa ya kijeshi nchini Bahrain, imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya raia sita wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia kwamba walijaribu kupanga shambulizi dhidi ya kamanda wa vikosi vya ulinzi nchini humo.

  • Al Wifaq: Polisi wa Bahrain wameshadidisha mzingiro dhidi ya nyumba ya Sheikh Isa Qassim

    Al Wifaq: Polisi wa Bahrain wameshadidisha mzingiro dhidi ya nyumba ya Sheikh Isa Qassim

    Apr 13, 2018 02:37

    Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetangaza kwamba utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa nchini humo umezidisha mzingiro dhidi ya nyumba ya mwanazuoni mkubwa wa nchi hiyo, Sheikh Isa Qassim.

  • Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Al Wifaq yasisitiza kuachiwa huru wanawake wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa

    Apr 12, 2018 02:47

    Jumuiya ya Kiislamu ya al Wifaq ya nchini Bahrain imetaka kuachiwa huru wanawake waliofungwa katika jela za utawala wa Aal Khalifa ambao walitiwa mbaroni kwa sababu tu ya kuwasilisha maoni na fikra zao.

  • Kulaaniwa wimbi jipya la kamatakamata nchini Bahrain

    Kulaaniwa wimbi jipya la kamatakamata nchini Bahrain

    Apr 11, 2018 00:03

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain kimetoa taarifa maalumu inayoeleza juu ya kutiwa mbaroni na vikosi vya usalama vya utawala wa Aa Khalifa wapinzani 21 na kulaani vikali hatua hiyo.

  • Vikosi vya usalama Bahrain vyawashambulia waandamanaji

    Vikosi vya usalama Bahrain vyawashambulia waandamanaji

    Apr 07, 2018 03:24

    Maafisa usalama wa Bahrain wamewashambulia wananchi waliokuwa wamemininika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kufanyika nchini humo mashindano ya magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1.

  • Matokeo ya kufunguliwa kituo cha kijeshi cha Uingereza nchini Bahrain

    Matokeo ya kufunguliwa kituo cha kijeshi cha Uingereza nchini Bahrain

    Apr 06, 2018 23:52

    Uingereza imefungua kituo chake cha kwanza cha kudumu cha kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi huko katika Bandari ya Salman nchini Bahrain.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS