Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Filamu ya matukio yathibitisha: Saudia na washirika wake walihusika katika njama ya mapinduzi Qatar

    Mar 06, 2018 02:27

    Kanali ya televisheni ya Aljazeera ya Qatar imeonyesha filamu ya matukio (documentary film) iitwayo "Qatar 96" inayothibitisha kuwa Saudi Arabia, Imarati (UAE), Bahrain na Misri zilihusika katika jaribio lililofeli la mapinduzi ya kijeshi la mwaka 1996 nchini Qatar.

  • Qassemi: Madai yasiyo na maana dhidi ya Iran hayawezi kutatua matatizo ya Bahrain

    Qassemi: Madai yasiyo na maana dhidi ya Iran hayawezi kutatua matatizo ya Bahrain

    Mar 04, 2018 16:31

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha madai yasiyo na msingi na ya kukariri ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Bahrain dhidi ya Iran na kusisitiza kwamba, uzushaji mambo, kuendesha senario za kujikariri na tuhuma zisizo na msingi wala mashiko dhidi ya wengine katu haziwezi kuyapatia ufumbuzi matatizo ya utawala wa Bahrain na raioa wake.

  • Wanaharakati 116 wanaopinga ufalme wakamatwa Bahrain

    Wanaharakati 116 wanaopinga ufalme wakamatwa Bahrain

    Mar 04, 2018 02:37

    Maafisa wa polisi nchini Bahrain wamewakamata wanaharakati 116 wanaopinga ufalme wa ukoo wa Aal Khalifa huku ukandamizaji wa wapinzani ukiendelea kushika kasi katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Kwa wiki ya 85 mtawalia utawala wa Bahrain wazuia kusaliwa Sala ya Ijumaa eneo la Ad Diraz

    Kwa wiki ya 85 mtawalia utawala wa Bahrain wazuia kusaliwa Sala ya Ijumaa eneo la Ad Diraz

    Mar 03, 2018 04:39

    Askari wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain jana walizuia kwa wiki ya 85 mtawalia kusaliwa Sala kubwa zaidi ya Ijumaa ya Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la Ad Diraz.

  • Mahakama Bahraini yaidhinisha hukumu ya kifo kwa mpinzani wa utawala

    Mahakama Bahraini yaidhinisha hukumu ya kifo kwa mpinzani wa utawala

    Feb 27, 2018 02:50

    Mahakama ya kilele ya rufaa nchini Bahraini imeidhinisha hukumu ya kifo iliyotolewa dhidi ya mwanaharakati wa Kishia ambaye amekuwa akiupinga utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Miili ya vijana watatu wa Bahrain waliouliwa na utawala wa Aal Khalifa, yazikwa mjini Qum, Iran

    Miili ya vijana watatu wa Bahrain waliouliwa na utawala wa Aal Khalifa, yazikwa mjini Qum, Iran

    Feb 24, 2018 00:52

    Miili ya vijana watatu wa mapinduzi ya wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa na waliouliwa na polisi wa utawala huo, walizikwa jana Ijumaa mjini Qum, kusini mwa Tehran.

  • EU, HRW na Amnesty zaitaka Bahrain imuachie huru mwanaharakati aliyeikosoa Saudia

    EU, HRW na Amnesty zaitaka Bahrain imuachie huru mwanaharakati aliyeikosoa Saudia

    Feb 23, 2018 07:35

    Umoja wa Ulaya umeitaka serikali ya Bahrain imuachie huru Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini humo, ambaye siku ya Jumatano alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na kutoa jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo na utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia.

  • Nabeel Rajab ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela nchini Bahrain

    Nabeel Rajab ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela nchini Bahrain

    Feb 22, 2018 04:29

    Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini Bahrain amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo.

  • Aal Khalifa wabebeshwa dhima ya mauaji na kutupwa baharini miili ya vijana watatu wanamapinduzi wa Bahrain

    Aal Khalifa wabebeshwa dhima ya mauaji na kutupwa baharini miili ya vijana watatu wanamapinduzi wa Bahrain

    Feb 20, 2018 08:14

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Amalul-Islami ya Bahrain amelaani mauaji ya vijana watatu wanamapinduzi wa nchi hiyo ambao baada ya kuuliwa, viwiliwili vyao vilitupwa baharini.

  • Wanamapinduzi wa Bahrain wasisitiza kuhitimishwa enzi za utawala uliooza wa Aal Khalifa

    Wanamapinduzi wa Bahrain wasisitiza kuhitimishwa enzi za utawala uliooza wa Aal Khalifa

    Feb 15, 2018 08:21

    Kiongozi mmoja wa harakati ya Muungano wa Vijana wa Mapinduzi ya Februari 14 ya Bahrain amesema: Wanamapinduzi watapinga mpango wowote ule utakaolenga kuubakisha madarakani utawala wa Aal Khalifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS