-
Wabahrain waandamana kulaani safari ya Rais wa Israel nchini kwao
Dec 06, 2022 02:17Maandamano makubwa ya kupinga safari ya Rais Isaac Herzog wa utawala haramu wa Israel yamefanyika katika mji mkuu wa Bahrain, Manama.
-
Mrithi wa Ufalme Bahrain apewa mwaliko na Netanyahu
Nov 14, 2022 10:57Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa zamani wa Israel anayetazamiwa kuunda serikali mpya ya utawala wa Kizayuni amemualika Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Bahrain, Salman bin Hamad Aal Khalifah kuitembelea ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina la Israel.
-
Safari ya Papa na mchezo mpya wa Al Khalifa; Uvumilivu kwa wasio Waislamu na ukatili dhidi ya Waislamu wa Bahrain
Nov 07, 2022 02:15Safari ya Kiongozi wa Kanisa katoliki Duniani, Papa Francis, nchini Bahrain kwa ajili eti ya kushiriki katika mkutano wa "Amani na Kuishi Pamoja" imefanyika katika hali ambayo hakushuhudiwi amani wala kuishi pamoja kwa usalama nchini Bahrain.
-
Sheikh Isa Qassim: Uchaguzi ujao unalenga kuimarisha udikteta Bahrain
Nov 04, 2022 02:24Kiongozi mashuhuri wa kidini nchini Bahrain amesema uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo hauna lengo jingine isipokuwa kuimarisha mienendo ya kiimla na kidikteta ya watawala wa Aal-Khalifa.
-
Ukiukwaji wa haki za binadamu; ombi la makundi ya kutetea haki za binadamu kwa Papa
Nov 02, 2022 08:05Taasisi 9 za kutetea haki za binadamu zimetangaza kuwa, Papa Francis Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani akiwa ziarani huko Bahrain anapasa kutoa wito kwa watawala wa nchi hiyo ili wakomeshe hatua zao za kukiuka haki za binadamu.
-
HRW: Utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani
Nov 01, 2022 02:28Shirika la Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Bahrain unatumia sheria za kuwatenga kisiasa wapinzani.
-
Wanazuoni wa Bahrain wanaosota jela: Tunatumai Papa Francis atazungumza neno la haki
Oct 26, 2022 12:57Wanazuoni wa Bahrain wanaosota kwenye jela za utawala wa kifalme wa nchi hiyo wa ukoo wa Aal Khhalifa wameeleza katika taarifa waliyotoa kumhutubu Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis kwamba, wanatumai kiongozi huyo wa kidini atasema ukweli na kuitikia wito wa imani katika ziara yake ijayo huko Bahrain.
-
Sheikh Isa Qassem: Viongozi wa dini mbalimbali msiamini madai ya utawala wa Bahrain
Oct 22, 2022 12:32Kiongozi wa kidini wa Mapinduzi ya Bahrain amewataka washiriki wa kongamano la viongozi wa dini duniani wasiamini kaulimbiu na madai ya utawala wa kifalme wa nchi hiyo kuhusu watu kuishi kwa amani na masikilizano.
-
Bahrain yajiondoa kwenye uchaguzi wa taasisi ya UN kufuatia ukosoaji
Oct 06, 2022 03:20Bahrain imelazimika kujiondoa kwenye uchaguzi ujao wa kuwasaka wanachama wapya wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC), kufuatia jitihada na lalama za asasi za kutetea haki za binadamu juu ya rekodi nyeusi ya serikali ya Manama.
-
BCHR: Hali ya kibinadamu katika gereza kuu la Jau Bahrain ni mbaya
Sep 20, 2022 02:24Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain (BCHR) kimetangaza kuwa, hali ya wafungwa wanaoshikiliwa katika gereza la Jau nchini humo ni mbaya sana.