Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Iran yaikosoa Bahrain kwa kuhujumu ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq

    Oct 21, 2016 13:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imebainisha wasi wasi wake mkubwa baada ya vikosi vya utawala wa Bahrain kuvamia ofisi ya chama cha Kiislamu cha Al Wefaq na kusema hatua kama hizo dhidi ya wapinzani ni kosa la kistraitjia.

  • Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Al-Wefaq: Wabahrain wataendelea kuiunga mkono Palestina

    Oct 20, 2016 14:00

    Chama cha Kiislamu cha al-Wefaq cha Bahrain kimesema hakuna nafasi ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini humo na kusisitiza kuwa wananchi wa Bahrain wataendelea kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Polisi ya Bahrain yatumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya maandamano ya amani

    Polisi ya Bahrain yatumia mabomu ya kutoa machozi dhidi ya maandamano ya amani

    Oct 14, 2016 07:29

    Polisi ya utawala wa kidikteta nchini Bahrain imetumia mabomu ya kutoa machozi kuzuia maandamano ya amani.

  • Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Bahrain yawahujumu Mashia wanaoomboleza

    Oct 08, 2016 14:14

    Kwa mara nyingine tena vyombo vya usalama vya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain vimewashambulia Waislamu wa madhehebu ya Shia wanaojumuika katika sehemu mbali mbali kwa ajili ya marasimu ya Ashura.

  • Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Kushtadi chuki na ghadhabu za wananchi wa Bahrain dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Oct 08, 2016 12:36

    Duru za habari nchini Bahrain zimeripoti kuwa mahakama moja ya utawala wa kifalme wa Aal Khalifa imetoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela kwa maulamaa wawili wa nchi hiyo, Sheikh Fadhil Az-Zaky na Sheikh Muhammad Jawad.

  • Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Kushadidi ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain katika mwezi wa Muharram

    Oct 05, 2016 02:45

    Sambamba na kuwadia Mfunguo Nne Muharram, habari kutoka Bahrain zinasema kuwa, utawala wa Aal Khalifa umezidisha vitendo vya ukandamizaji dhidi ya raia na kuwabana katika shughuli zao kidini, hatua ambazo ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.

  • Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Wanazuoni Bahrain wakosoa ukandamizaji dhidi ya Mashia wanaomboleza

    Oct 04, 2016 07:59

    Wanazuoni wakuu wa Kiislamu nchini Bahrain wamelaani ukandamizaji na dhulma zinazofanywa na watawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehenu ya Shia hususan wakati huu wanapofanya marasimu mbali mbali ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS, mjukuu wa Mtume Mtukufu SAW.

  • Utawala wa Bahrain waendeleza ukandamizaji dhidi ya raia

    Utawala wa Bahrain waendeleza ukandamizaji dhidi ya raia

    Sep 30, 2016 13:04

    Utawala wa kifalme wa Bahrain umeendelea na hatua zake za ukandamizaji dhidi ya raia wa nchi hiyo licha ya kuweko malalamiko na ukosoaji wa kimataifa dhidi ya hatua hizo ambazo zinakiuka uhuru wa raia.

  • Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Uingereza inahusika na utesaji wapinzani Bahrain

    Sep 30, 2016 07:33

    Uingereza imetuhumiwa kuwa inahusika na utesaji wa wapinzani unaotekelezwa na utawala wa kiimla nchini Bahrain.

  • Maulamaa wa Bahrain watoa taarifa ya kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Maulamaa wa Bahrain watoa taarifa ya kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim

    Sep 26, 2016 14:17

    Maulamaa wa Bahrain leo wametoa taarifa yao katika siku ya kumi ya kukusanyika raia wa nchi hiyo mbele ya nyumba ya mwanazuoni huyo wa ngazi ya juu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS