Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Ban Ki-moon: Serikali ya Bahrain iboreshe hali ya mambo nchini humo

    Ban Ki-moon: Serikali ya Bahrain iboreshe hali ya mambo nchini humo

    Sep 26, 2016 07:49

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bahrain iboreshe suala la haki za binaadamu nchini humo.

  • Askari wa Bahrain washambulia wafuasi wa Sheikh Qassim

    Askari wa Bahrain washambulia wafuasi wa Sheikh Qassim

    Sep 25, 2016 08:23

    Wanajeshi wa utawala wa kifalme Bahrain wametumia gesi ya kutoa machaozi kuwatawanya wafuasi wa Sheikh Issa Qassim waliokuwa wakiandamana wakitaka arejeshewe uraia wake.

  • Amnesty yailaani Bahrain kwa kuidhinisha marufuku ya al-Wefaq

    Amnesty yailaani Bahrain kwa kuidhinisha marufuku ya al-Wefaq

    Sep 23, 2016 14:06

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya mahakama ya Bahrain kudhinisha marufuku ya chama kikuu cha upinzani nchini humo, al-Wefaq.

  • Kesi ya Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa Bahrain yaakhirishwa

    Kesi ya Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa Bahrain yaakhirishwa

    Sep 22, 2016 04:17

    Mahakama ya Bahrain imeakhirisha kesi inayomkabili Naibu Mkuu wa Baraza la Kiislamu la Maulamaa wa nchi hiyo.

  • Bahrain; uwanja wa malalamiko na upinzani dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Bahrain; uwanja wa malalamiko na upinzani dhidi ya utawala wa Aal Khalifa

    Sep 12, 2016 15:38

    Katika siku za karibuni, maeneo mbalimbali ya Bahrain yamekuwa uwanja wa maandamano na mikusanyiko ya wananchi ya kupinga utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa na waungaji mkonio wake wakuu, yaani utawala wa Aal Saud.

  • Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain

    Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain

    Sep 12, 2016 02:30

    Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain kimebainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka utiwaji mbaroni raia kidhulma nchini humo.

  • Mamilioni waandamana Iran kulaani jinai za Aal Saud na Aal Khalifa

    Mamilioni waandamana Iran kulaani jinai za Aal Saud na Aal Khalifa

    Sep 10, 2016 03:25

    Mamilioni ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameandamana kote nchini kulaani jinai za tawala za kikoo za Aal Saud huko Saudi Arabia na Aal Khalifa huko Bahrain kwa jinai zao dhidi ya watu wa eneo.

  • Wanafunzi na wanazuoni wa mji wa Qum waandamana kulaani ukandamizaji Bahrain

    Wanafunzi na wanazuoni wa mji wa Qum waandamana kulaani ukandamizaji Bahrain

    Sep 07, 2016 04:14

    Wanafunzi na wanazuoni wa vyuo vikuu vya kidini katika mji wa Qum, kusini mwa mji wa Tehran nchini hapa, wamefanya maandamano kulaani ukandamizaji wa kuchupa mipaka unaofanywa na utawala wa kidikteta nchini Bahrain dhidi ya wananchi wa taifa hilo.

  • Matokeo ya ukandamizaji nchini Bahrain

    Matokeo ya ukandamizaji nchini Bahrain

    Sep 07, 2016 04:13

    Jumuiya mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimeendelea kuukosoa utawala wa Aal Khalifa wa nchini Bahrain na wigo wa ukosoaji huo unazidi kuchukua mkondo mpana siku baada ya siku.

  • Utawala wa Aal Khalifa umeshindwa kudiriki ujumbe wa mwamko wa Wabahrain

    Utawala wa Aal Khalifa umeshindwa kudiriki ujumbe wa mwamko wa Wabahrain

    Sep 03, 2016 06:57

    Sheikh Issa Qassim mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu nchini Bahrain ametoa ujumbe na kuuonya vikali ukoo wa Aal Khalifa unaotawala nchini humo kuhusu sera zake za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia wanaodhulumiwa nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS