Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Amnesty International yakosoa kukandamizwa Waislamu wa Kishia nchini Bahrain

    Sep 02, 2016 04:16

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limekosoa na kulaani ukandamizaji mkubwa unaofanywa na utawala wa Bahrain dhidi ya Waislamu wa Kishia wa nchi hiyo.

  • Kamati ya Haki za Binadamu Bahrain yakosoa ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa

    Kamati ya Haki za Binadamu Bahrain yakosoa ukandamizaji wa utawala wa Aal Khalifa

    Aug 24, 2016 08:04

    Kamati ya Haki za Binadamu nchini Bahrain imekosoa vikali ukandamizaji wa utawala wa Kifalme wa Aal Khalifa na kutangaza kuwa, utawala huo umekuwa umekuwa ukiwashinikiza wanazuoni wa Kishia nchini humo na kukanyaga haki zao.

  • Kuendelea dhuma dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Kuendelea dhuma dhidi ya Waislamu wa Kishia Bahrain

    Aug 22, 2016 03:57

    Shirika la pamoja la kutetea haki za binadamu na demokrasia la Bahrain na Ujerumani limeripoti kuwa utawala wa Aal Khalifa umewaita kuwasaili maulamaa 70 wa Kiislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    Aug 16, 2016 15:23

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain uache kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia na kusisitiza kuwa dhulma hizo ni ukiukaji wa haki za msingi za binadamu.

  • Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Wananchi Bahrain waendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Aug 14, 2016 07:54

    Wananchi wa Bahrain kwa mara nyingine tena wamekusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim mapema leo kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni huyo wa Kiislamu.

  • Wabahrain waendelea kukusanyika mbele ya nyumba ya Sheikh Issa Qassim

    Wabahrain waendelea kukusanyika mbele ya nyumba ya Sheikh Issa Qassim

    Aug 10, 2016 14:14

    Wananchi wa Bahrain wanaendelea kukusanyika mbele ya nyumba ya kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Issa Qassim licha ya hali ya hewa ya joto kali iliyoko nchini humo hivi sasa.

  • Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Shakhsia wa kidini Bahrain wazidi kuswekwa korokoroni

    Aug 07, 2016 13:16

    Polisi ya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain imewatia mbaroni wanazuoni wanne mashuhuri wa Kiislamu, katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa dhulma na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Wabahrain waandamana tena kukosoa ukandamizaji wa Aal-Khalifa

    Wabahrain waandamana tena kukosoa ukandamizaji wa Aal-Khalifa

    Aug 05, 2016 15:06

    Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain katika kitongoji cha Diraz wamefanya maandaamano baada ya Swala ya Ijumaa kulaani dhulma na ukandamizaji unaofanywa na utawala wa Aal-Khalifa dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.

  • Wanaharakati Bahrain: Hatua yoyote dhidi ya Sh. Qassim italeta maafa

    Wanaharakati Bahrain: Hatua yoyote dhidi ya Sh. Qassim italeta maafa

    Aug 04, 2016 15:05

    Mwanaharakati mashuhuri wa upinzani na kidini nchini Bahrain ameuonya utawala wa Aal-Khalifa kuwa, hatua yoyote ya kumhujumu Ayatullah Sheikh Isa Qassim, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu wa nchi hiyo itakuwa na taathira hasi.

  • Maulamaa wa Bahrain wataka viongozi wa kidini waliotiwa korokoroni waachiliwe huru

    Maulamaa wa Bahrain wataka viongozi wa kidini waliotiwa korokoroni waachiliwe huru

    Aug 03, 2016 07:17

    Maulamaa wa Bahrain wametaka shakhsia wa kidini na wa kisiasa wanaoshikiliwa kwenye jela za utawala wa nchi hiyo wa Aal Khalifa waachiliwe huru.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS