-
Wimbi jipya la utiaji nguvuni wapinzani lashuhudiwa nchini Bahrain
Aug 02, 2016 16:16Vikosi vya utawala wa Aal Khalifa limemtia nguvuni Mkuu wa Baraza la harakati ya al-Wifaq na viongozi wengine kadhaa wa kidini wa nchi hiyo.
-
Bahrain yaendeleza ubabe, yamkamata kiongozi mwingine wa Kiislamu
Jul 30, 2016 08:10Licha ya makelele ya jamii ya kimataifa na watetezi wa haki za binadamu, utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain umemtia nguvuni kiongozi mwingine wa Kiislamu.
-
Wasomi wa Kiislamu Bahrain:Kesi dhidi ya Sh. Qassim ni bandia
Jul 27, 2016 07:27Kundi la wanazuoni wa Kiislamu wa madhehebua ya Shia nchini Bahrain limesema tuhuma dhidi ya msomi mwenzao Ayatullah Sheikh Isa Qassim hazina msingi na kwa mantiki hiyo, kesi inayotazamiwa kuanza hii leo dhidi ya mwanachuoni huyo ni bandia.
-
Bahrain yazuia Swala ya Ijumaa na kukamata watu 50 Diraz
Jul 23, 2016 04:07Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na dhulma za utawala wa kifalme wa Aal-Khalifa, maafisa usalama nchini Bahrain walizuia Swala ya Ijumaa hapo jana sambamba na kuwatia mbaroni watu 50 katika kijiji cha Diraz, kaskazini magharibi mwa nchi.
-
Iran yakosoa kuvunjwa chama cha al-Wefaq Bahrain
Jul 18, 2016 07:51Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali hatua ya Bahrain ya kuvunja chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq.
-
Bahrain yavunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq
Jul 17, 2016 15:54Mahakama moja nchini Bahrain imekivunja chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq, mwezi mmoja baada ya serikali ya Manama kusimamisha shughuli za chama hicho.
-
Ukosolewaji mkubwa wa ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain
Jul 17, 2016 07:33Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetoa ripoti yake ya mwaka 2015 hadi 2016 na kutangaza kuwa, Bahrain imeendelea kushuhudia ukandamizaji wa uhuru wa kutoa maoni, mateso na kuendeshwa kesi za kidhulma sambamba na kutolewa hukumu za kidhalimu dhidi ya wapinzani wa kisiasa katika nchi hiyo inayotawaliwa na mfumo wa Kifalme.
-
Bunge la Bahrain launga mkono kundi la kigaidi la Munafiqin
Jul 04, 2016 04:14Wabunge wa Bahrain wametangaza uungaji mkono wao kwa kundi la kigaidi la Munafiqin ikiwa ni katika kuendelezwa siasa za nchi hiyo dhidi ya Iran.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim
Jul 03, 2016 07:35Kwa mara nyingine tena wananchi wa Bahrain wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.
-
Bahrain yaendeleza jinai zake, yawafunga maisha jela watu 8
Jun 29, 2016 13:18Katika muendelezo wa wimbi la ukandamizaji na hukumu zisizo za kiadilifu zinazotolewa na utawala wa Manamana dhidi ya wanaharakati na wapinzani, mahakama moja nchini Bahrain imewahukumu kifungo cha maisha jela, wanaharakati wanane wa Kishia wa nchi hiyo sambamba na kuwapokonya uraia.