Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bahrain

  • Maelfu waendeleza mgomo mbele ya nyumba ya Ayatullah Qasim, Manama

    Maelfu waendeleza mgomo mbele ya nyumba ya Ayatullah Qasim, Manama

    Jun 28, 2016 14:06

    Maelfu ya Wabahrain wameendelea kufanya mgomo wa kuketi chini mbele ya nyumba ya Kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini huyo, Ayatullah Isa Qasim kwa siku ya nane mfululizo huku wakipiga nara zinazopinga utawala wa kifalme wa nchi hiyo.

  • Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain

    Jun 25, 2016 06:38

    Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.

  • Jumuiya za Kiislamu zalaani kuvuliwa uraia Sheikh Qassim

    Jumuiya za Kiislamu zalaani kuvuliwa uraia Sheikh Qassim

    Jun 24, 2016 14:36

    Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imelaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumvua uraia mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim.

  • Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda

    Jun 23, 2016 07:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia msomi mashuhuri wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim na kusema kuwa kitendo hicho kimeziweka Marekani na Uingereza katika njia panda.

  • Barua ya mfalme wa Saudia ya kuvuliwa uraia Sheikh Qassim Bahrain yafichuliwa

    Barua ya mfalme wa Saudia ya kuvuliwa uraia Sheikh Qassim Bahrain yafichuliwa

    Jun 23, 2016 04:17

    Mfalme wa Saudia Salman bin Abdulaziz ndiye aliyetoa amri kwa utawala wa Bahrain kufuta uraia wa Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini humo.

  • Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim ni njama ya Saudia

    Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim ni njama ya Saudia

    Jun 22, 2016 06:58

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, IRGC limetoa taarifa na kulaani hatua ya utawala wa kiimla wa Bahrain wa kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim na kusema hatua hiyo ilipangwa na utawala wa Saudia.

  • Dunia yaendelea kuikosoa Bahrain kwa kumvua uraia Sh. Isa Qassim

    Dunia yaendelea kuikosoa Bahrain kwa kumvua uraia Sh. Isa Qassim

    Jun 21, 2016 14:58

    Hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim, imeendelea kulaaniwa na asasi mbalimbali duniani, shakhsia mashuhuri na jamii ya kimataifa kwa ujumla.

  • Kamanda mwandamizi Iran aionya vikali Bahrain kwa kumvua uraia Ayatullah Isa Qassim

    Kamanda mwandamizi Iran aionya vikali Bahrain kwa kumvua uraia Ayatullah Isa Qassim

    Jun 21, 2016 07:32

    Kufuatia hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim, kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameuonya vikali utawala wa Aal Khalifa

  • Maulamaa wa Bahrain: Kuipiga marufuku Al-Wifaq ni kutangaza vita

    Maulamaa wa Bahrain: Kuipiga marufuku Al-Wifaq ni kutangaza vita

    Jun 16, 2016 15:30

    Maulamaa wa Bahrain wametangaza kuwa hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kuzifuta na kuzipiga marufuku jumuiya na asasi za upinzani, kufunga ofisi zao na kuwatia nguvuni watu ni sawa na "kutangaza vita".

  • Jamii ya kimataifa yaikosoa Bahrain kupiga marufuku al-Wefaq

    Jamii ya kimataifa yaikosoa Bahrain kupiga marufuku al-Wefaq

    Jun 15, 2016 07:15

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani hatua ya utawala wa Bahrain ya kukipiga marufuku chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS