-
Maelfu waendeleza mgomo mbele ya nyumba ya Ayatullah Qasim, Manama
Jun 28, 2016 14:06Maelfu ya Wabahrain wameendelea kufanya mgomo wa kuketi chini mbele ya nyumba ya Kiongozi wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini huyo, Ayatullah Isa Qasim kwa siku ya nane mfululizo huku wakipiga nara zinazopinga utawala wa kifalme wa nchi hiyo.
-
Wairaqi waandamana kumuunga mkono Sheikh Qassim wa Bahrain
Jun 25, 2016 06:38Wananchi wa Iraq wamefanya maandamano ya kuonyesha uungaji mkono wao kwa mwanachuoni mkubwa wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim ambaye hivi karibuni alivuliwa uraia na utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain.
-
Jumuiya za Kiislamu zalaani kuvuliwa uraia Sheikh Qassim
Jun 24, 2016 14:36Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu imelaani hatua ya utawala wa Aal-Khalifa kumvua uraia mwanachuoni mashuhuri wa Kiislamu nchini Bahrain Ayatullah Sheikh Isa Qassim.
-
Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim kunaiweka US na UK njia panda
Jun 23, 2016 07:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia msomi mashuhuri wa Kiislamu, Ayatullah Sheikh Isa Qassim na kusema kuwa kitendo hicho kimeziweka Marekani na Uingereza katika njia panda.
-
Barua ya mfalme wa Saudia ya kuvuliwa uraia Sheikh Qassim Bahrain yafichuliwa
Jun 23, 2016 04:17Mfalme wa Saudia Salman bin Abdulaziz ndiye aliyetoa amri kwa utawala wa Bahrain kufuta uraia wa Sheikh Issa Qassim, kiongozi wa Waislamu wa Kishia nchini humo.
-
Bahrain kumvua uraia Sheikh Qassim ni njama ya Saudia
Jun 22, 2016 06:58Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, IRGC limetoa taarifa na kulaani hatua ya utawala wa kiimla wa Bahrain wa kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim na kusema hatua hiyo ilipangwa na utawala wa Saudia.
-
Dunia yaendelea kuikosoa Bahrain kwa kumvua uraia Sh. Isa Qassim
Jun 21, 2016 14:58Hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Ayatullah Sheikh Isa Qassim, imeendelea kulaaniwa na asasi mbalimbali duniani, shakhsia mashuhuri na jamii ya kimataifa kwa ujumla.
-
Kamanda mwandamizi Iran aionya vikali Bahrain kwa kumvua uraia Ayatullah Isa Qassim
Jun 21, 2016 07:32Kufuatia hatua ya utawala wa Bahrain kumvua uraia mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Isa Qassim, kamanda wa Kikosi cha Quds katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ameuonya vikali utawala wa Aal Khalifa
-
Maulamaa wa Bahrain: Kuipiga marufuku Al-Wifaq ni kutangaza vita
Jun 16, 2016 15:30Maulamaa wa Bahrain wametangaza kuwa hatua ya utawala wa Aal Khalifa ya kuzifuta na kuzipiga marufuku jumuiya na asasi za upinzani, kufunga ofisi zao na kuwatia nguvuni watu ni sawa na "kutangaza vita".
-
Jamii ya kimataifa yaikosoa Bahrain kupiga marufuku al-Wefaq
Jun 15, 2016 07:15Mashirika ya kutetea haki za binadamu yamelaani hatua ya utawala wa Bahrain ya kukipiga marufuku chama kikuu cha upinzani nchini humo cha al-Wefaq.