Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi haraka kuhusu shambulizi la anga lililolenga soko lililokuwa na watu wengi nchini Yemen.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito wa kutekelezwa mapatano ya amani Sudan Kusini.
Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa umaskini ndio adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu ya Afrika.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwasili nchini Burundi wiki hii katika juhudi za kuutafutia suluhisho mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon baada ya kutoka Burundi ameelekea Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambapo ametembelea kambi ya wakimbizi.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.