-
Ban ataka kufanyike uchunguzi kuhusu shambulizi la Saudia dhidi ya soko Yemen
Feb 29, 2016 07:07Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika uchunguzi haraka kuhusu shambulizi la anga lililolenga soko lililokuwa na watu wengi nchini Yemen.
-
Ban: Mkataba wa amani Sudan Kusini utekelezwe
Feb 26, 2016 16:17Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ametoa wito wa kutekelezwa mapatano ya amani Sudan Kusini.
-
Kabila: Umaskini ni adui mkubwa wa Afrika
Feb 25, 2016 02:15Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amesema kuwa umaskini ndio adui mkubwa wa watu wa eneo la Maziwa Makuu ya Afrika.
-
Ziara ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi
Feb 24, 2016 10:42Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aliwasili nchini Burundi wiki hii katika juhudi za kuutafutia suluhisho mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.
-
Ban Ki-moon atembelea kambi ya wakimbizi Goma, DRC
Feb 24, 2016 07:36Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon baada ya kutoka Burundi ameelekea Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ambapo ametembelea kambi ya wakimbizi.
-
Ban Ki-Moon awasili Burundi, kukutana na Nkurunziza
Feb 23, 2016 07:54Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewasili nchini Burundi katika kile kinachoonekana ni kujaribu kuupatia ufumbuzi mzozo wa kisiasa wa nchi hiyo.