Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    HRW: Jeshi la Myanmar liadhibiwe kwa kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu

    Sep 18, 2017 13:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka vikwazo vikali vya kimataifa viwekewe Jeshi la Myanmar kutokana na kampeni yake ya kutekeleza maangamizi ya kimbari dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya

    Bangladesh: Kuanzishwe eneo salama jimbo la Rakhine ili kuwanusuru Waislamu wa Rohingya

    Sep 10, 2017 02:33

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Bangladesh ametaka kuanzishwa eneo salama katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar kwa ajili ya kuzuia hujuma dhidi ya wakimbizi Waislamu wa kabila la Rohingya nchini humo.

  • Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Myanmar yatega mabomu ardhini katika mpaka na Bangladesh kuwazuia Waislamu kuondoka

    Sep 06, 2017 07:57

    Inaarifiwa kuwa serikali ya Myanmar inatega mabomu ya ardhini katika mpaka wa nchi hiyo na Bangladesh ili kuwazuia Waislamu wa kabila la Rohingya kuondoka nchini humo.

  • Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka

    Idadi ya Waislamu wa Rohingya wanaokimbilia Bangladesh inazidi kuongezeka

    Sep 05, 2017 02:36

    Kufuatia kuendelea operesheni za jeshi la serikali ya Myanmar dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine, idadi kubwa ya Waislamu wa eneo hilo wameendelea kukimbia ili kuokoa maisha yao.

  • Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh

    Warohingya 17 waghariki katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh

    Aug 31, 2017 13:40

    Kwa akali wakimbizi 17 Waislamu wa kabila la Rohingya wamekufa maji katika mpaka wa Myanmar na Bangladesh wakikimbia jinai wanazofanyiwa na Mabudha wenye misimamo ya kuchupa mipaka na jeshi la Myanmar.

  • Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130

    Waliouawa kwa maporomoko ya ardhi Bangladesh wapindukia 130

    Jun 14, 2017 07:54

    Idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na maporomoko ya ardhi nchini Bangladesh imepindukia watu 130.

  • Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh

    Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh

    Jun 02, 2017 04:08

    Kimbunga kikali kinachoitwa Mura, kimeifanya hali ya Waislamu wa Rohingya wanaoishi nchini Bangladesh kuwa mbaya sana.

  • Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 14, 2017 04:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

  • Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Mar 28, 2017 08:11

    Askari wa kikosi cha Gadi ya Pwani ya Libya wamewatia nguvuni wahajiri haramu 60 wenye uraia wa Bangladesh ambao walikuwa wanajaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranean.

  • Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Feb 01, 2017 08:04

    Serikali ya Bangladesh imesisitiza kutekeleza mpango wa kuwapatia makazi wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya katika kisiwa cha Tangarchar katika Ghuba ya Bengal.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS