Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bangladesh

  • Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh

    Kimbunga kikali cha Mura, chaifanya hali ya wakimbizi wa Rohingya kuwa mabaya zaidi huko Bangladesh

    Jun 02, 2017 04:08

    Kimbunga kikali kinachoitwa Mura, kimeifanya hali ya Waislamu wa Rohingya wanaoishi nchini Bangladesh kuwa mbaya sana.

  • Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 14, 2017 04:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

  • Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Makumi ya wahajiri haramu watiwa nguvuni Libya wakijaribu kuingia Ulaya

    Mar 28, 2017 08:11

    Askari wa kikosi cha Gadi ya Pwani ya Libya wamewatia nguvuni wahajiri haramu 60 wenye uraia wa Bangladesh ambao walikuwa wanajaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranean.

  • Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Kupelekwa Waislamu wa Myanmar katika kisiwa cha Bangladesh

    Feb 01, 2017 08:04

    Serikali ya Bangladesh imesisitiza kutekeleza mpango wa kuwapatia makazi wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya katika kisiwa cha Tangarchar katika Ghuba ya Bengal.

  • Waislamu wa Myanmar waandamwa na mateso ya kila upande

    Waislamu wa Myanmar waandamwa na mateso ya kila upande

    Nov 20, 2016 15:35

    Waislamu wa kabila la Rohingya wa nchini Myanmar waliokuwa wanakimbilia nchini Bangladesh kwa ajili ya kuokoa maisha yao kutokana na mauaji wanayofanyiwa na askari wa serikali ya mabudha nchini mwao, sasa wanazuia na gadi ya nchi kavu Bangladesh wasiingie tena nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa: Tanzania ni ya kupigiwa mfano

    Umoja wa Mataifa: Tanzania ni ya kupigiwa mfano "elimu kwa wote"

    Sep 20, 2016 13:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon amesema kuwa, utashi wa kisiasa, matumizi ya Pato la Taifa na matumizi ya fursa mbalimbali unaifanya Tanzania kuwa moja ya nchi ya kupigiwa mfano katika uboreshaji na upatikanaji wa elimu kwa wote.

  • Magaidi wa ISIS waua watu 22 mgahawani Bangladesh

    Magaidi wa ISIS waua watu 22 mgahawani Bangladesh

    Jul 02, 2016 13:44

    Magaidi wakufurishaji wa kundi la ISIS (Daesh) wameua watu wasiopungua 22 katika ufyatuaji risasi uliojiri Ijumaa usiku mgahawani katika mji mkuu wa Bangladesh, Dhaka.

  • Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Waziri: Israel inahusika na wimbi la mauaji linaloshuhudiwa Bangladesh

    Jun 07, 2016 07:41

    Serikali ya Bangladesh imesema yumkini kuna mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika wimbi la mauaji linaloendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Wabangali waandamana kulaani njama za kufuta Uislamu kuwa dini rasmi

    Mar 26, 2016 08:12

    Maelfu ya wananchi wa Bangladesh wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo kukosoa kile walichokitaja kuwa njama za baadhi ya watu wanaojiita 'mashuhuri' nchini humo kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS