-
UNRWA yajibu vitisho vya Israel vya kusimamisha shughuli za shirika hilo la kimataifa
Jan 27, 2025 07:18Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetoa radiamali yake kwa vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kusitishwa shughuli za shirika hilo la Umoja wa Mataifa huko Baitul Muqaddas Mashariki.
-
OIC yatoa taarifa tena kuhusu yanayojiri Baitul Muqaddas na Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa
Apr 09, 2023 02:17Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC kwa mara nyingine tena imelaani sera na hatua zote zinazochukuliwa na utawala vamizi na wa Kizayuni wa Israel kwa lengo la kufuta utambulisho wa mji mtukufu wa Baitul Muqaddas na kusisitiza kuwa, Msikiti wa Al-Aqsa ni mahala pa ibada kwa Waislamu peke yao na hatua za Wazayuni maghasibu zitavuruga amani na usalama wa eneo.
-
Israel kutekeleza njama mpya ili kuwaacha bila makazi Wapalestina 1550 wa Baitul Muqaddas
Mar 20, 2021 03:41Vyombo vya habari vya nchi za Kiarabu vimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeandaa mpango wa kubomoa nyuma zaidi ya 100 za Wapalestina katika mji unaoukalia kwa mabavu wa Baitul Muqaddas na kuwaacha Wapalestina wapatao 1550 bila mahali pa kuishi.
-
Yemen itaendelea kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa Kibla cha Kwanza cha Waislamu
Dec 28, 2020 08:13Mjumbe mmoja wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa, nchi hiyo ni miongoni mwa nchi zilizoko mstari wa mbele katika ukombozi wa Quds na Kibla cha Kwanza cha Waislamu
-
Jordan yasisitiza kuiunga mkono Quds na Palestina
Dec 18, 2020 12:01Mfalme wa Jordan amesisitiza kuiunga mkono nchi huru ya Palestina ambayo mji wake mkuu utakuwa Quds Tukufu.
-
Mamlaka ya Ndani ya Palestina: Quds ni mstari wetu mwekundu
Dec 16, 2020 07:40Mamlaka ya Ndani ya Palestina imesema kuwa Quds na matukufu yake ni mstari mwekundu wa Wapalestina.
-
Israel yapanga kwa siri na Saudia namna ya kuwatwisha Wapalestina "Muamala wa Karne"
Jun 01, 2020 09:51Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa, kumefanyika mazungumzo ya siri baina ya viongozi wa Israel na Saudi Arabia kuhusu kupewa Wasaudia usimamiaji wa maeneo matukufu ya mji wa Baytul Muqaddas kama sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne na kukabiliana na ushawishi wa Uturuki.
-
Rais wa Iran: Michezo ya kisiasa haiwezi kuitenganisha Quds na Waislamu
May 16, 2018 14:06Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mji wa Quds au Baitul Muqaddas (Jerusalem) ambako ndiko uliko Msikiti wa Al Aqsa ni mji unaoheshimiwa na Waislamu wote na hivyo ardhi hiyo takatibu haiwezi kuteganishwa na Waislami zaidi ya bilioni moja na nusu duniani kwa mchezo wa kisiasa.
-
Taathira za maamuzi hatari ya Trump kuhusu Quds
Feb 25, 2018 03:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa Marekani wa kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv na kuupeleka katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Rais wa Uturuki: Quds ni mstari mwekundu kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Dec 28, 2017 16:34Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema kuuwa, Quds ni mstari mwekundu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.