Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Rais wa Iran asisitiza umoja kati ya nchi za Kiislamu

    Feb 04, 2025 07:47

    Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya wenzao hazitafanikiwa.

  • Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland

    Nov 10, 2024 02:11

    Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.

  • Bunge la Ghana laakhirishwa tena baada ya wabunge wa chama tawala kususia vikao

    Bunge la Ghana laakhirishwa tena baada ya wabunge wa chama tawala kususia vikao

    Nov 08, 2024 07:31

    Bunge la Ghana jana Alhamisi liliahirishwa tena kwa muda usiojulikana kufuatia pingamizi la wabunge kutoka chama tawala cha New Patriotic Party (NPP) muda mfupi kabla ya uchaguzi.

  • Spika wa Bunge Ghana amkosoa Rais kwa kutopasisha sheria dhidi ya LGBT

    Spika wa Bunge Ghana amkosoa Rais kwa kutopasisha sheria dhidi ya LGBT

    Mar 22, 2024 02:33

    Spika wa Bunge la Ghana, Alban Bagbin amemjia juu Rais Nana Akufo-Addo wa nchi hiyo kwa kutoidhinisha kuwa sheria muswada wa kupambana na ushoga na ubaradhuli LGBTQ+ takriban mwezi mmoja baada ya kupasishwa kwake na Bunge.

  • Bunge la Ghana lafuta hukumu ya kifo

    Bunge la Ghana lafuta hukumu ya kifo

    Jul 26, 2023 06:07

    Bunge la Ghana limepiga kura ya kubatilisha adhabu ya kifo nchini humo, na kuifanya nchi hiyo iwe miongoni mwa mataifa ya Afrika ambayo yamefuta hukumu hiyo katika miaka ya karibuni.

  • Bunge la Jordan lataka Sweden ihukumiwe kimataifa na kusitishwa mikataba yote na nchi hiyo

    Bunge la Jordan lataka Sweden ihukumiwe kimataifa na kusitishwa mikataba yote na nchi hiyo

    Jul 22, 2023 04:00

    Bunge la Jordan limetoa wito wa kuhukumiwa Sweden kimataifa kutokana na hatua yake ya kuruhusu vitendo vichafu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani tukufu kkufanyika katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Jun 15, 2023 02:50

    Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.

  • Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Ushiriki mdogo watazamiwa katika duru ya pili ya uchaguzi wa Bunge Tunisia

    Jan 29, 2023 12:28

    Idadi ndogo ya wapiga kura wanatazamiwa kushiriki duru ya pili uchaguzi wa Bunge nchini Tunisia wa leo, baada ya makundi ya upinzani kikiwemo chama cha Kiislamu chenye ushawishi mkubwa nchini humo cha Annahdha kutoa miito ya kususia uchaguzi huo.

  • Bunge la Kuwait lapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Bunge la Kuwait lapinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 01, 2022 04:01

    Wabunge wa Kuwait wamepinga vikali hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

  • Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi

    Bunge la wazayuni washupalia vita zaidi katika historia ya Israel laanza kazi rasmi

    Nov 17, 2022 02:20

    Bunge jipya la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel (Knesset) limeanza kazi rasmi huku vyombo vya habari vikilitaja kuwa ni Knesset ya "wenye misimamo mikali zaidi na washupalia vita zaidi" katika historia ya utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS