• Baraza la Wawakilishi la Marekani  lakabiliana na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Baraza la Wawakilishi la Marekani lakabiliana na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC

    Jun 06, 2024 05:01

    Kufuatia ombi la mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) la kutoa kibali cha kukamatwa viongozi wa utawala haramu wa Israel, Baraza la Wawakilishi la Marekani mnamo Jumanne, Juni 4, liliidhinisha mpango wa kuiwekea vikwazo mahakama hiyo ikiwa ni katika kuitetea Tel Aviv kwa hali na mali.

  • Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani katika kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    May 19, 2024 11:25

    Alhamisi Mei 16, Baraza la Wawakilishi la Marekani, Congress, lilikosoa uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Joe Biden wa Marekani wa kuzuia kutumwa shehena ya silaha kwa Israel, na kupasisha mswada chini ya anwani "Misaada kwa ajili ya Usalama wa Israel", ambao ulimtaka Biden asizuie tena kutumwa silaha Israeli kwa kisingizio chochote kile.

  • Mwakilishi anayeiunga mkono Palestina ashinda katika mchujo wa wagombea viti vya Kongresi

    Mwakilishi anayeiunga mkono Palestina ashinda katika mchujo wa wagombea viti vya Kongresi

    Apr 24, 2024 12:02

    Summer Lee kutoka jimbo la Pennsylvania amefanikiwa kuibuka na ushindi katika uchaguzi wa wagombea wa Baraza la Wawakilishi la Marekani kwa kuungwa mkono kwa kura za wananchi wa Marekani wanaowatetea wananchi madhlumu wa Palestina licha ukwamishaji na vizuizi vya Lobi ya Kizayuni ya AIPAC.

  • Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Kuidhinishwa kuanza rasmi uchunguzi wa kumsaili Biden katika Bunge la Wawakilishi la Marekani

    Dec 15, 2023 02:56

    Bunge la wawakilishi la Marekani jana Jumatano lilipasisha azimio kwa kura 221 za ndio mkabala wa 212 za kupinga kuanzisha rasmi uchunguzi wa kumsaili Rais Joe Biden wa nchi hiyo. Kabla ya kura hiyo, Kelly Armstrong, Mwakilishi wa Kongresi ya Marekani kwa niaba ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, alichapisha rasimu ya azimio kwa ajili ya kuendelea uchunguzi huo tajwa kwa lengo la kumuuzulu Rais Joe Biden wa Marekani.

  • Hatua mpya za Marekani katika fremu ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel

    Hatua mpya za Marekani katika fremu ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel

    Oct 30, 2023 11:35

    Tangu kuanza duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na makundi ya muqawama ya Palestina na operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa na radiamali kali ya Wazayuni dhidi ya hatua hiyo, Marekani ikiwa mshirika wa kistratijia wa Israel imetoa himaya kubwa ya kisiasa, kidiplomasia na kijeshi kwa utawala huo ghasibu. Filihali Washington imechukua hatua mpya katika mwelekeo huu.

  • Wasiwasi wa Biden kuhusu kukatizwa misaada ya Ukraine

    Wasiwasi wa Biden kuhusu kukatizwa misaada ya Ukraine

    Oct 06, 2023 02:48

    Mvutano wa ndani wa Warepublican umetatiza mazungumzo ya bajeti katika Baraza la Wawakilishi la Marekani umepelekea Ikulu ya White House kuwa na wasiwasi juu ya kuendelea kuunga mkono Kyiv kama kipaumbele kikuu cha siasa za kigeni za utawala wa Biden.

  • Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani dhidi ya Iran; jaribio la kuzidisha mashinikizo

    Hatua mpya ya Baraza la Wawakilishi la Marekani dhidi ya Iran; jaribio la kuzidisha mashinikizo

    Sep 16, 2023 02:15

    Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha mpango wa kiuadui dhidi ya Iran unaojulikana kama "Sheria ya Mahsa" kwa kura 410 za ndio na 3 za hapana. Mpango huo unailazimu serikali ya Marekani kuwawekea vikwazo maafisa wakuu wa Iran kwa kisingizio cha haki za binadamu, na wakati huo huo kupiga marufuku kuingizwa na kuuzwa nje silaha za Iran.

  • Radiamali ya Iran kwa kuungwa mkono kundi la kigaidi la MKO katika Kongresi ya Marekani

    Radiamali ya Iran kwa kuungwa mkono kundi la kigaidi la MKO katika Kongresi ya Marekani

    Feb 13, 2023 13:14

    Hussein Amir-Abdollahia, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran Jumamosi ya juzi tarehe 11 Februari alitoa radiamali kuhusiana na azimio la Kongresi ya Marekani linaloliunga mkono kundi la kigaidi la Munafiqin (MKO).

  • Kufukuzwa

    Kufukuzwa "Ilhan Omar", mbunge Mwislamu, katika Kamati ya Kongresi ya Marekani

    Feb 05, 2023 02:32

    Ilhan Omar, mwakilishi mwanamke wa Kiislamu wa chama cha Democratic amefukuzwa katika Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Baraza la Wawakilishi la Marekani kwa kuukosoa utawala wa Kizayuni wa Israel. Baraza la Wawakilishi la Marekani lilimfukuza Omar kutoka Kamati ya Mahusiano ya Kigeni kwa kura 218 zilizounga mkono za Warepublican na kura 211 zilizopinga za Wademokrati.

  • Kuongezeka hitilafu kati ya Marekani na Saudi Arabia

    Kuongezeka hitilafu kati ya Marekani na Saudi Arabia

    Oct 10, 2022 09:18

    Kundi la wabunge wa chama cha Democratic cha Marekani wametaka kuondolewa wanajeshi wa nchi hiyo kutoka Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, kwa jina jingine Imarati, kufuatia uamuzi wa kundi la OPEC-Plus kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa mapipa milioni 2 kwa siku.