Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTI, Miili ya watu 26 waliouawa hivi karibuni Burundi imezikwa, huku Bujumbura ikituma ujumbe kwa DRC

    SAUTI, Miili ya watu 26 waliouawa hivi karibuni Burundi imezikwa, huku Bujumbura ikituma ujumbe kwa DRC

    May 15, 2018 16:40

    Hatimaye miili ya watu 26 waliouawa hivi karibuni nchini Burundi na kundi la watu wasiojulikana kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imezikwa leo, katika mazishi yaliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi hiyo.

  • SAUTI, Kampeni ya uchaguzi wa kura ya maoni nchini Burundi imefungasha virago jioni ya leo katika anga ya mchuano mkali

    SAUTI, Kampeni ya uchaguzi wa kura ya maoni nchini Burundi imefungasha virago jioni ya leo katika anga ya mchuano mkali

    May 14, 2018 17:04

    Kampeni ya wiki mbili ya uchaguzi wa kura ya maoni nchini Burundi imekamilisha shughuli zake jioni ya (leo) Jumatatu ambapo vyama vya kisiasa vilipata wasaa wa kuwafikishia maoni yao wananchi.

  • SAUTI, Jeshi la Burundi lasema, watu waliotekeleza shambulizi jana na kuua watu 26 wasifurahie kwani watapatikana

    SAUTI, Jeshi la Burundi lasema, watu waliotekeleza shambulizi jana na kuua watu 26 wasifurahie kwani watapatikana

    May 12, 2018 16:48

    Watu 26 wameuawa nchini Burundi na wengine saba kujeruhiwa kufuatia shambulio la watu wasiojulikana kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Taharuki Burundi, maafisa wa serikali wataka 'kuhasiwa maadui'

    Taharuki Burundi, maafisa wa serikali wataka 'kuhasiwa maadui'

    May 08, 2018 17:01

    Huku zikiwa zimesalia chini ya wiki mbili kabla ya wananchi wa Burundi kushiriki kwenye kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, hali ya taharuki imetanda nchini humo huku maafisa wa serikali wakitoa mwito wa kushambuliwa watu wanaopinga kufanyika kwa zoezi hilo.

  • Wiki mbili kabla ya kufanyika kura ya maoni, Burundi yazipiga marufuku BBC na VOA

    Wiki mbili kabla ya kufanyika kura ya maoni, Burundi yazipiga marufuku BBC na VOA

    May 05, 2018 14:57

    Serikali ya Burundi imeyapiga marufuku mashirika ya utangazaji ya BBC na VOA pamoja na stesheni mbili za habari za ndani kuendesha shughuli zao nchini humo zikiwa zimesalia takriban wiki mbili kabla ya kufanyika kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba.

  • Kanisa Katoliki nchini Burundi lapinga kura ya maoni

    Kanisa Katoliki nchini Burundi lapinga kura ya maoni

    May 04, 2018 07:23

    Maaskofu wa Kanisa Katoliki nchini Burundi wamepinga kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi inayotazamiwa kufanyika mwezi huu.

  • SAUTI, Chama tawala cha CNDD-FDD nchini Burundi, chafungua pazia la kampeni ya uchaguzi wa kura ya maoni

    SAUTI, Chama tawala cha CNDD-FDD nchini Burundi, chafungua pazia la kampeni ya uchaguzi wa kura ya maoni

    May 03, 2018 16:16

    Kampeni ya kutetea kura ya 'ndio' ama 'hapana' kwa ajili ya kura ya maoni nchini Burundi na ambayo itaruhusu marekebisho ya katiba nchini humo, tayari imefunguliwa rasmi.

  • Rais Pierre Nkurunziza alifanyia marekebisho baraza lake la mawaziri Burundi

    Rais Pierre Nkurunziza alifanyia marekebisho baraza lake la mawaziri Burundi

    Apr 20, 2018 14:17

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi amefanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.

  • HRW: Maafisa usalama na chama tawala wanaua wapinzani Burundi

    HRW: Maafisa usalama na chama tawala wanaua wapinzani Burundi

    Apr 18, 2018 04:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema maafisa usalama wakishirikiana na wafuasi wa chama tawala nchini Burundi CNDD-FDD wanawaua na kuwashambulia wapinzani hususan wanaoonekana kupinga kura ya maoni inayotazamiwa kufanyika mwezi ujao.

  • SAUTI, Burundi yakumbwa na uhaba mkubwa wa mafuta, foleni ndefu zashuhudiwa vituo vya mafuta

    SAUTI, Burundi yakumbwa na uhaba mkubwa wa mafuta, foleni ndefu zashuhudiwa vituo vya mafuta

    Apr 09, 2018 18:01

    Vituo vya mafuta nchini Burundi vimeendelea kushuhudia foleni ndefu za watu wanaohitajia nishati hiyo huku wananchi wakiililia serikali ili iingilie kati kumaliza uhaba huo wa mafuta.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS