Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTI: Uhaba wa fuel nchini Burundi umeendelea kushuhudiwa, licha ya juhudi za serikali ya nchi hiyo kufanyika bila mafanikio

    SAUTI: Uhaba wa fuel nchini Burundi umeendelea kushuhudiwa, licha ya juhudi za serikali ya nchi hiyo kufanyika bila mafanikio

    May 09, 2017 17:22

    Na nchini Burundi uhaba wa fuel kwa ajili ya vyombo vya usafiri umeendelea kushuhudiwa licha ya serikali ya Bujumbura kuchukua hatua kadhaa ikiwemo kupitisha sharia mpya za ugavi wa nishati hiyo.

  • SAUTI: Waandishi Burundi walalamikia wanavyobanwa, mazingira hatari na ukosefu wa usalama kazini

    SAUTI: Waandishi Burundi walalamikia wanavyobanwa, mazingira hatari na ukosefu wa usalama kazini

    May 04, 2017 18:04

    Mkuu wa kituo cha waandishi habari nchini Burundi amesema, maadhimisho ya siku ya uhuru wa vyombo vya habari yanafanyika wakati waandishi nchini humo wakifanya kazi katika hali ya woga kiasi kwamba katika kipindi cha miaka miwili ya mzozo wa nchi hiyo uhuru wa vyombo vya habari umebakia katika maandishi na si katika vitendo. Maelezo zaidi na mwandishi wa Bujumbura, Hamida Issa...

  • Mchakato wa kisiasa Burundi wazidi kugonga mwamba

    Mchakato wa kisiasa Burundi wazidi kugonga mwamba

    Apr 25, 2017 08:19

    Burundi inaelekea kuathiriwa tena na mgogoro wa kisiasa licha kufanyika juhudi za kikanda na kimataifa za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo.

  • SAUTI, Burundi: Wapiganaji wa Kagame ndio walioitungua ndege aliyoipanda Cyprien Ntaryamira, rais wa zamani wa nchi yetu

    SAUTI, Burundi: Wapiganaji wa Kagame ndio walioitungua ndege aliyoipanda Cyprien Ntaryamira, rais wa zamani wa nchi yetu

    Apr 07, 2017 15:07

    Serikali ya Burundi imeadhimisha hapo jana mwaka wa 23 tangu kuuawa kwa Cyprien Ntaryamira, rais wa zamani wa nchi hiyo.

  • UN: Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na malaria Burundi yapindukia 4000

    UN: Idadi ya waliopoteza maisha kutokana na malaria Burundi yapindukia 4000

    Mar 30, 2017 03:12

    Umoja wa Mataifa umesema kuwa, idadi ya watu walioaga dunia kutokana na mripuko wa ugonjwa wa malaria nchini Burundi imeongezeka na kupindukia watu 4000, tangu mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa.

  • SAUTI, Burundi: Hatutakubali ripoti ya Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binaadam dhidi yetu kwani ni njama

    SAUTI, Burundi: Hatutakubali ripoti ya Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binaadam dhidi yetu kwani ni njama

    Mar 23, 2017 18:06

    Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binaadam imekusudia kuanzisha uchunguzi juu ya ukiukaji haki za binaadamu nchini Burundi kupitia nchi za jirani zilowapokea wakimbizi wa taifa hilo.

  • UN yalalamikia utendaji wa serikali ya Burundi kuhusu haki za binadamu

    UN yalalamikia utendaji wa serikali ya Burundi kuhusu haki za binadamu

    Mar 15, 2017 16:33

    Umoja wa Mataifa umeilalamikia serikali ya Burundi kwa kutoshirikiana na umoja huo katika kuchunguza suala la haki za binadamu nchini humo.

  • Malaria yaua watu 700 ndani ya miezi miwili nchini Burundi

    Malaria yaua watu 700 ndani ya miezi miwili nchini Burundi

    Mar 15, 2017 07:22

    Serikali ya Burundi imetangaza kuwa watu 700 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa malaria katika kipindi cha miezi miwili iliyopita nchini humo.

  • UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    UN: Mgogoro wa kisiasa na hali ya kibinadamu Burundi vinatia wasi wasi

    Mar 11, 2017 02:35

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi na kutadharisha kuwa mambo yanazidi kuwa mabaya katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    SADC: Burundi imalize mgogoro wa kisiasa ili ipewe uanachama

    Feb 28, 2017 07:21

    Jumuiya ya Ustawi ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC imeitaka Burundi kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili kwa sasa, iwapo inataka kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS