-
Asasi ya kiraia Burundi: Tuna wasi wasi wa hatma ya watu waliotoweka
Feb 25, 2017 10:48Asasi za kiraia nchini Burundi zimeonyesha wasi wasi wao juu ya hatma ya watu waliotoweka katika kipindi cha mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
SAUTI, Waswahili wa Burundi: Tumenyanyaswa kwa zaidi ya miaka 100, Burundi imegeuka na kuwa mali ya Watutsi na Wahutu pekee
Feb 21, 2017 15:13Jamii ya Waswahili nchini Burundi inailalamikia serikali ya nchi hiyo kwamba, imekuwa ikiwatenga kwa zaidi ya miaka 100 sasa kuweza kushiriki katika masuala ya kimaendeleo, kisiasa na kijamii.
-
Ombi la Burundi kwa serikali ya Tanzania la kuwakamata wapinzani wake
Feb 19, 2017 23:20Katika hali ambayo juhudi za kuondokana na mgogoro wa kisiasa nchini Burundi bado zinaendelea, serikali ya Bujumbura imeiomba Tanzania kuwatia mbaroni wapinzani wake ambao wanaosakwa na mahakama za nchi hiyo, ambao kwa hivi sasa wako kaskazini mwa Tanzania.
-
Burundi yaitaka serikali ya Tanzania iwatie mbaroni wapinzani
Feb 18, 2017 23:12Serikali ya Burundi imeitaka Tanzania iwatie mbaroni wapinzani hao ambao wanashiriki kikao cha mazungumzo ya amani huko kaskazini mwa Tanzania huku wakiwa wanatafutwa na mahakama ya nchi hiyo kwa kuhusika na mapinduzi yaliyofeli.
-
Waswahili wa Burundi walalamikia kutengwa katika mazungumzo ya amani ya Arusha
Feb 18, 2017 12:52Wakati mazungumzo ya kusaka amani nchini Burundi yakifikia tamati Jumamosi ya leo mjini Arusha, kaskazini mwa Tanzania, makundi mbalimbali ya kijamii kutoka Burundi yametoa wito wa kutaka kushirikishwa katika mchakato huo wa kuupatia ufumbuzi mgogoro huo wa kisiasa.
-
Serikali ya Burundi kutoshiriki mazungumzo ya amani, Tanzania
Feb 16, 2017 04:30Serikali ya Burundi imesema haitoshiriki katika mazungumzo ya kujaribu kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo yanayotazamiwa kuanza hii leo nchini Tanzania.
-
Umoja wa Mataifa: Watetezi wa haki za binadamu wanakandamizwa nchini Burundi
Feb 09, 2017 00:58Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na vitendo vya ukandamizaji dhidi ya watetezi wa haki za binadamu huko nchini Burundi.
-
UN Yaikosoa Burundi kwa kupiga marufuku asasi za kiraia
Feb 07, 2017 00:51Jopo la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani marufuku na kusimamishwa kwa muda kwa asasi za kiraia, iliyotolewa hivi karibuni na serikali ya Burundi.
-
Kuongezeka mivutano kati ya Umoja wa Ulaya na Burundi
Jan 28, 2017 09:04Hali ya mvutano kati ya Burundi na Umoja wa Ulaya ingali inaendelea na sasa serikali ya Bujumbura imeutuhumu umoja huo kuwa unakiuka mamlaka ya kitaifa ya nchi hiyo.
-
Burundi: Bunge la EU linaongozwa na chuki na limekiuka haki yetu ya kujitawala
Jan 27, 2017 10:37Serikali ya Burundi imesema kuwa, bunge la Umoja wa Ulaya limekiuka haki ya kujitawala taifa hilo.