Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu njaa na ukame nchini Burundi

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu njaa na ukame nchini Burundi

    Jan 26, 2017 00:11

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu ukame na njaa inayotishia nchi ya Kiafrika ya Burundi.

  • Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji

    Jan 24, 2017 23:27

    Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, wapinzani wa serikali ya Bujumbura wamefanya kikao nchini Ubegiji kilichokuwa na lengo la kuandaa mikakati ya pamoja dhidi ya serikali ya Bujumbura.

  • SAUTI: Polisi ya Rwanda yawashikilia Warundi 12 katika magendo ya binaadamu wakati wakienda nchi za Asia kufanya kazi za ndani

    SAUTI: Polisi ya Rwanda yawashikilia Warundi 12 katika magendo ya binaadamu wakati wakienda nchi za Asia kufanya kazi za ndani

    Jan 24, 2017 13:52

    Polisi nchini Rwanda inawashikilia watu 13 kwa kuhusika na vitendo vya magendo ya binaadamu kwenda nchi za Asia

  • Burundi yawaachia huru mamia ya wafungwa

    Burundi yawaachia huru mamia ya wafungwa

    Jan 24, 2017 04:39

    Serikali ya Burundi imewaachia huru mamia ya wafungwa kufuatia agizo la Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo, huku watetezi wa haki za binadamu wakidai kuwa hiyo ni njama ya kutoa nafasi ya kukamatwa wanaharakati wa kisiasa.

  • SAUTI: Askari 850 wa Burundi watatumwa CAR wiki hii

    SAUTI: Askari 850 wa Burundi watatumwa CAR wiki hii

    Jan 23, 2017 13:13

    Wanajeshi wapatao 188 wa Burundi wameelekea Jamuhuri ya Afrika ya Kati kujiunga na kikosi cha kofia ya buluu cha Umoja wa Mataifa cha kusimamia amani nchini humo.

  • SAUTI: Burundi na AU zamaliza vutanikuvute kuhusiana na suala la ulipaji mishahara kwa askari wa nchi hiyo walioko Somalia

    SAUTI: Burundi na AU zamaliza vutanikuvute kuhusiana na suala la ulipaji mishahara kwa askari wa nchi hiyo walioko Somalia

    Jan 19, 2017 13:08

    Serikali ya Burundi imeelewana na Umoja wa Afrika kuhusiana na swala la ulipaji mishahara ya wanajeshi wa nchi hiyo wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.

  • Machafuko ya karibuni Burundi, yalalamikiwa vikali

    Machafuko ya karibuni Burundi, yalalamikiwa vikali

    Jan 18, 2017 13:19

    Machafuko ya hivi karibuni yaliyotokea nchini Burundi na kuendelea kuvunjwa haki za binadamu nchini humo yameendelea kulalamikiwa vikali.

  • Kuondoka askari wa Burundi katika kikosi cha AMISOM; radiamali kwa uamuzi wa Umoja wa Ulaya

    Kuondoka askari wa Burundi katika kikosi cha AMISOM; radiamali kwa uamuzi wa Umoja wa Ulaya

    Jan 17, 2017 23:03

    Hatimaye baada ya vuta nikuvute baina ya serikali ya Burundi na Umoja wa Ulaya ambao ndio mlipaji mkuu wa mishahara ya kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM, serikali ya Bujumbura imeanza kuondoa askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia

    Jan 17, 2017 01:02

    Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.

  • Taasisi ya haki za binaadamu nchini Burundi yapigwa marufuku na serikali

    Taasisi ya haki za binaadamu nchini Burundi yapigwa marufuku na serikali

    Jan 03, 2017 13:48

    Taasisi ya miaka mingi iliyokuwa ikiendesha shughuli za kibinaadamu nchini Burundi imepigwa marufuku na serikali.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS