-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu njaa na ukame nchini Burundi
Jan 26, 2017 00:11Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu ukame na njaa inayotishia nchi ya Kiafrika ya Burundi.
-
Kuweko maridhiano ya kitaifa Burundi; lengo la mkutano wa wapinzani nchini Ubegiji
Jan 24, 2017 23:27Sambamba na kuendelea mgogoro wa kisiasa nchini Burundi, wapinzani wa serikali ya Bujumbura wamefanya kikao nchini Ubegiji kilichokuwa na lengo la kuandaa mikakati ya pamoja dhidi ya serikali ya Bujumbura.
-
SAUTI: Polisi ya Rwanda yawashikilia Warundi 12 katika magendo ya binaadamu wakati wakienda nchi za Asia kufanya kazi za ndani
Jan 24, 2017 13:52Polisi nchini Rwanda inawashikilia watu 13 kwa kuhusika na vitendo vya magendo ya binaadamu kwenda nchi za Asia
-
Burundi yawaachia huru mamia ya wafungwa
Jan 24, 2017 04:39Serikali ya Burundi imewaachia huru mamia ya wafungwa kufuatia agizo la Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo, huku watetezi wa haki za binadamu wakidai kuwa hiyo ni njama ya kutoa nafasi ya kukamatwa wanaharakati wa kisiasa.
-
SAUTI: Askari 850 wa Burundi watatumwa CAR wiki hii
Jan 23, 2017 13:13Wanajeshi wapatao 188 wa Burundi wameelekea Jamuhuri ya Afrika ya Kati kujiunga na kikosi cha kofia ya buluu cha Umoja wa Mataifa cha kusimamia amani nchini humo.
-
SAUTI: Burundi na AU zamaliza vutanikuvute kuhusiana na suala la ulipaji mishahara kwa askari wa nchi hiyo walioko Somalia
Jan 19, 2017 13:08Serikali ya Burundi imeelewana na Umoja wa Afrika kuhusiana na swala la ulipaji mishahara ya wanajeshi wa nchi hiyo wanaohudumu katika kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika AMISOM nchini Somalia.
-
Machafuko ya karibuni Burundi, yalalamikiwa vikali
Jan 18, 2017 13:19Machafuko ya hivi karibuni yaliyotokea nchini Burundi na kuendelea kuvunjwa haki za binadamu nchini humo yameendelea kulalamikiwa vikali.
-
Kuondoka askari wa Burundi katika kikosi cha AMISOM; radiamali kwa uamuzi wa Umoja wa Ulaya
Jan 17, 2017 23:03Hatimaye baada ya vuta nikuvute baina ya serikali ya Burundi na Umoja wa Ulaya ambao ndio mlipaji mkuu wa mishahara ya kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM, serikali ya Bujumbura imeanza kuondoa askari wake katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Burundi yaanza kuondoa askari wake wa kulinda amani Somalia
Jan 17, 2017 01:02Serikali ya Burundi imeanza kuwaondoa wanajeshi wake wanaohudumu katika Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom kutokana na mgogoro wa mshahara.
-
Taasisi ya haki za binaadamu nchini Burundi yapigwa marufuku na serikali
Jan 03, 2017 13:48Taasisi ya miaka mingi iliyokuwa ikiendesha shughuli za kibinaadamu nchini Burundi imepigwa marufuku na serikali.