Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Polisi: Waziri auawa kwa kufyatuliwa risasi Bujumbura, Burundi

    Jan 01, 2017 03:49

    Waziri wa Mazingira wa Burundi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi na mtu asiyejulikana usiku wa kuamkia leo katika mji mkuu Bujumbura.

  • Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Burundi yatishia kuondoa wanajeshi wake Somalia

    Dec 31, 2016 23:25

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametishia kuwa atawaondoa wanajeshi wa nchi yake walioko Somalia iwapo askari hao wanaohudumu katika kikosi cha Umoja wa Afrika UNISOM hawatalipwa mshahara wao.

  • Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Burundi yatishia kuishtaki AU na kuondoa askari wake Somalia

    Dec 31, 2016 03:36

    Burundi imetishia kuushataki Umoja wa Afrika AU sambamba na kuwaondoa askari wake nchini Somalia wanaohudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika Amisom.

  • UN kushiriki katika ufumbuzi wa mgogoro wa Burundi

    UN kushiriki katika ufumbuzi wa mgogoro wa Burundi

    Dec 28, 2016 11:09

    Katibu Mkuu Mteule wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa umoja huo una irada thabitii ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa ndani nchini Burundi.

  • Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Burundi yapasisha sheria kali ya kuzidhibiti asasi za kigeni

    Dec 25, 2016 04:14

    Bunge la Burundi limepasisha muswada wa sheria inayotaka kudhibitiwa asasi zisizo za kiserikali za kigeni, siku chache baada ya Rais Pierre Nkurunziza wa nchi hiyo kudai kuwa asasi hizo zinafanya kampeni kubwa dhidi ya serikali yake.

  • Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Wapinzani wazidi kutiwa mbaroni Burundi, wasiwasi waongezeka nchini

    Dec 19, 2016 11:28

    Mkuu wa Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Burundi (Iteka) amesema anatiwa wasiwasi na kuzidi kutiwa mbaroni wapinzani nchini humo.

  • Burundi yakadhibisha tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Burundi yakadhibisha tuhuma za kukiuka haki za binadamu

    Dec 18, 2016 01:08

    Serikali ya Burundi imekana kwamba inakiuka haki za binadamu licha ya kuendelea mwenendo wa kutoweka raia nchini humo katika mazingira ya kutatanisha.

  • Rwanda yataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro na jirani yake, Burundi

    Rwanda yataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro na jirani yake, Burundi

    Dec 17, 2016 13:16

    Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema kuwa, nchi yake inataka kupatiwa ufumbuzi mgogoro na jirani yake Burundi kupitia njia ya mazungumzo

  • Mkapa yuko Burundi kwa ajili ya kuhuisha mazungumzo ya amani

    Mkapa yuko Burundi kwa ajili ya kuhuisha mazungumzo ya amani

    Dec 08, 2016 09:59

    Benjamin Mkapa mpatanishi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika mgogoro wa Burundi yuko mjini Bujumbura kwa shabaha ya kuhuisha mazungumzo ya amani ya nchi hiyo inayokabiliwa na mgogoro wa kisiasa.

  • Polisi watiwa mbaroni Burundi kwa kutaka kumuua msemaji wa Rais

    Polisi watiwa mbaroni Burundi kwa kutaka kumuua msemaji wa Rais

    Dec 04, 2016 03:59

    Jeshi la polisi nchini Burundi limewatia mbaroni maafisa watatu wa jeshi hilo kwa tuhuma za kushiriki katika jaribio la kutaka kumuua Willy Nyamitwe, msemaji wa Rais Pierre Nkurunziza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS