Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Mkapa azitaka pande husika Burundi kuheshimu mchakato wa amani

    Mkapa azitaka pande husika Burundi kuheshimu mchakato wa amani

    Dec 02, 2016 03:48

    Rais Mstaafu wa Tanzania ambaye pia ni mpatanishi wa mgogoro wa Burundi amezitaka pande husika katika nchi hiyo kushikamana na kuheshimu mchakato wa amani na hatua zilizopigwa za kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Maelfu waandamana Burundi wakiupinga Umoja wa Mataifa na Ubelgiji

    Maelfu waandamana Burundi wakiupinga Umoja wa Mataifa na Ubelgiji

    Nov 27, 2016 04:17

    Maelfu ya wananchi wa Burundi wameandamana katika mji mkuu Bujumbura wakiupinga Umoja wa Mataifa pamoja na siasa za Ubelgiji za kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.

  • UN yapasisha mpango wa kuundwa kamati ya kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu Burundi

    UN yapasisha mpango wa kuundwa kamati ya kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu Burundi

    Nov 24, 2016 10:03

    Nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimepasisha mpango wa kuundwa kamati ya uchunguzi kuhusiana na vitendo vya ukiukaji wa haki za binadamu nchini Burundi.

  • Waandishi wa habari watiwa nguvuni Burundi kwa kutaja majina ya watuhumiwa wa ukandamizaji

    Waandishi wa habari watiwa nguvuni Burundi kwa kutaja majina ya watuhumiwa wa ukandamizaji

    Nov 12, 2016 10:46

    Polisi nchini Burundi imewatia nguvuni waandishi wa habari wawili kufuatia kutangaza moja ya majina ya watu wanaodaiwa kuhusika katika vitendo vya ukandamizaji nchini humo.

  • Machafuko ya umwagaji damu yaendelea kushuhudiwa Burundi

    Machafuko ya umwagaji damu yaendelea kushuhudiwa Burundi

    Oct 31, 2016 04:01

    Machafuko na mapigano ya umwagaji damu yameendelea kushuhudiwa nchini Burundi.

  • Serikali ya Burundi yaitaarifu rasmi Mahkama ya ICC juu ya hatua yake ya kujiondoa

    Serikali ya Burundi yaitaarifu rasmi Mahkama ya ICC juu ya hatua yake ya kujiondoa

    Oct 28, 2016 01:22

    Serikali ya Burundi imeitaarifu rasmi Mahakama ya Jinai ya ICC juu ya kujiondoa kwake kutoka mahakama hiyo.

  • Karenga Ramadhan ataka kulindwa waandishi habari  Burundi

    Karenga Ramadhan ataka kulindwa waandishi habari Burundi

    Oct 26, 2016 03:21

    Baraza la Taifa la Mawasiliano la Burundi limetaka kulindwa waandishi habari na kupewa uhuru zaidi utendaji kazi katika sekta hiyo.

  • SAUTI: Serikali ya Burundi yatangaza kuyafuta mashirika matano kwa kushindwa kuwajibika, huku ikituhumiwa kwa usiasa

    SAUTI: Serikali ya Burundi yatangaza kuyafuta mashirika matano kwa kushindwa kuwajibika, huku ikituhumiwa kwa usiasa

    Oct 24, 2016 13:37

    Hatua hiyo imetajwa kuwa ni baada ya mashirika hayo kuendeleza shughuli zake kwa siri na kinyume cha sharia.

  • Mwandishi wa habari Mmarekani atiwa mbaroni nchini Burundi

    Mwandishi wa habari Mmarekani atiwa mbaroni nchini Burundi

    Oct 24, 2016 04:46

    Polisi nchini Burundi wamemsaili mwandishi wa habari raia wa Marekani na mtu aliyekuwa ameandamana naye kwa tuhuma ya kuharibu nyaraka zinazohusu kesi ya jinai.

  • Baraza la Usalama laelezea wasiwasi wake kwa hatua ya Burundi ya kukataa kutumwa polisi wa UN

    Baraza la Usalama laelezea wasiwasi wake kwa hatua ya Burundi ya kukataa kutumwa polisi wa UN

    Oct 15, 2016 00:44

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeelezea wasiwasi mkubwa lilionao kutokana na hatua ya serikali ya Rais Pierre Nkurunziza ya kukataa kutumwa nchini Burundi polisi wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kwenda kusimamia amani nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS