-
Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC
Oct 12, 2016 12:25Bunge la Burundi leo limepasisha muswada wa kujiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya Umoja wa Mataifa kuanza kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.
-
Machafuko Burundi, kiongozi wa chama tawala auawa na watu wasiojulikana
Oct 11, 2016 12:39Mmoja wa viongozi wa chama tawala CNDD-FDD nchini Burundi ameripotiwa kuuawa katika shambulizi lililofanywa na watu wasiojulikana.
-
Mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Burundi wahajiri katika nchi jirani
Sep 25, 2016 00:48Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamia ya maelfu ya wakimbizi wa Burundi wamehamia katika nchi jirani.
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari Burundi
Sep 21, 2016 10:38Kundi la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu hatari ya mauaji ya kimbari yanayonukia huko Burundi na kueleza kuwa, mwenendo jumla wa kauli zenye kuleta mgawanyiko wa kikabila zinazotolewa na serikali ya nchi hiyo zinamaanisha kuwa mzozo unaweza kuenea hadi katika nchi nyingine za Kiafrika.
-
Burundi: Raia wetu waliokimbia nchi kwa machafuko wanaendelea kurudi kwa hiari
Sep 15, 2016 23:31Serikali ya Burundi imesema kuwa, hadi sasa zaidi ya wakimbizi elfu 30 raia wa nchi hiyo wamerejea makwao katika kipindi cha miezi ya hivi karibuni.
-
Waziri wa masuala ya wakimbizi wa Uganda atembelea Burundi
Sep 14, 2016 23:58Waziri wa Nchi wa serikali ya Uganda katika masuala ya wakimbizi, Musa Ecweru, amefanya ziara nchini Burundi kwa lengo la kujadili masuala ya wakimbizi wa nchi hiyo.
-
SAUTI: Makaburi ya Umati yazidi kushuhudiwa Burundi
Sep 08, 2016 14:02Miili ya watu wengi imegunduliwa katika mkoa wa Muramvya katikati mwa Burundi.
-
Chama tawala nchini Burundi chamteua Ndayishimiye kuwa mkuu mpya
Aug 23, 2016 11:53Wajumbe wa chama tawala 'CNDD-FDD' nchini Burundi wamemchagua kwa wingi wa kura Meja Jenerali Evariste Ndayishimiye kuwa mkuu mpya wa chama hicho.
-
RSF yaitaka serikali ya Burundi kumwachilia huru mwandishi wa habari
Aug 20, 2016 23:55Shirika na Madaktari Wasio na Mipaka (RSF), limetaka kuachiliwa huru mwandishi wa habari raia wa Burundi anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Bunge la Burundi lapinga azimio nambari 2303 la Baraza la Usalama la UN
Aug 19, 2016 03:36Wabunge wa Burundi wamepinga azimio nambari 2303 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.