Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Maandamano dhidi ya Ufaransa yaongezeka nchini Burundi

    Maandamano dhidi ya Ufaransa yaongezeka nchini Burundi

    Aug 18, 2016 03:13

    Maandamano ya kuipinga Ufaransa yanaripotiwa kuongezeka nchini Burundi.

  • Wataalamu wa UN: Utesaji na ukatili wa kingono unaongezeka Burundi

    Wataalamu wa UN: Utesaji na ukatili wa kingono unaongezeka Burundi

    Aug 12, 2016 22:22

    Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wametangaza kuwa utesaji dhidi ya wakosoaji wa serikali wanaowekwa kizuizini nchini Burundi unaongezeka; na vikosi vya usalama vinafanya ukatili wa kingono dhidi ya wanawake wakati wa maandamano ya upinzani na wanapofanya upekuzi.

  • EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    EALA kusuluhisha uhasama kati ya Rwanda na Burundi

    Aug 09, 2016 08:41

    Bunge la Afrika Mashariki EALA limesema karibuni hivi litaanza kuchunguza kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mzozo na uhasama kati ya nchi jirani za Rwanda na Burundi.

  • Polisi ya Burundi yachukua hatua kali za kuingia na kutoka katika mpaka wake na Rwanda

    Polisi ya Burundi yachukua hatua kali za kuingia na kutoka katika mpaka wake na Rwanda

    Aug 07, 2016 03:10

    Polisi ya Burundi imetangaza kuwa, imechukua hatua kali za kuingia na kutoka katika maeneo ya mipaka yake na jirani yake Rwanda.

  • Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Makumi ya familia za Warundi zarejea nyumbani

    Aug 04, 2016 10:37

    Gavana wa mkoa mmoja kaskazini mashariki mwa Burundi ametangaza habari ya kurejea mamia ya familia za raia wa Burundi waliokuwa wamekimbilia nchini Tanzania.

  • Wananchi wa Burundi waendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa

    Wananchi wa Burundi waendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa

    Aug 01, 2016 09:13

    Wananchi wa Burundi wameendelea kufanya maandamano dhidi ya Ufaransa ambapo leo walikusanyika mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura.

  • Warundi waandamana mbele ya ubalozi wa Ufaransa kupinga pendekezo lake UN

    Warundi waandamana mbele ya ubalozi wa Ufaransa kupinga pendekezo lake UN

    Jul 30, 2016 10:48

    Vyombo vya habari nchini Burundi vimearifu kuwa yamefanyika maandamano hadi mbele ya ubalozi wa Ufaransa mjini Bujumbura kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililopendekezwa na serikali ya Paris.

  • UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    Jul 30, 2016 03:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.

  • Wafuasi wa chama tawala Burundi wakosolewa kwa kuhusika na jinai

    Wafuasi wa chama tawala Burundi wakosolewa kwa kuhusika na jinai

    Jul 28, 2016 00:20

    Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limelaani vitendo vya ukatili vinavyofanywa na baadhi ya wafuasi wa chama tawala nchini Burundi CNDD-FDD.

  • Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Ripoti: Uganda yaongoza kwa visa vya uhalifu Afrika Mashariki

    Jul 26, 2016 12:25

    Utafiti mpya umefichua kuwa, Uganda ndiyo inayoongoza kwa visa vya uhalifu wa kutumia silaha za moto katika kanda ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS