-
Kanali Baratuza: Wanajeshi wa Burundi wataendelea kuhudumu katika kikosi cha AMISOM
Jul 25, 2016 09:43Msemaji wa jeshi la Burundi amesema kuwa, wanajeshi wa nchi hiyo walioko nchini Somalia wataendelea kuhudumu chini ya mwavuli wa kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika (AMISOM).
-
Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi
Jul 14, 2016 02:50Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kwa usimamizi wa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa imeshindwa kuwa na matunda kutokana na makundi ya upinzani kulalamikia kushiriki katika mazungumzo hayo viongozi kadhaa wa serikali ya Bujumbura.
-
Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura
Jul 13, 2016 10:53Waziri wa zamani wa Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi nje ya nyumba yake mjini Bujumbura.
-
Kuungwa mkono duru ya pili ya mazungumzo ya serikali ya Burundi na wapinzani
Jul 10, 2016 08:04Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imesema inaunga mkono kufanyika duru ya pili ya mazungumo kati ya serikali ya Burundi na wapinzani.
-
Burundi yakanusha vikali madai ya kuwatesa wapinzani
Jul 10, 2016 02:57Serikali ya Burundi imesema kuwa, ripoti ya Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Huma Rights Watch kwamba, serikali ya Bujumbura imekuwa ikiwatesa wapinzani haina ukweli wowote.
-
Baribonekeza: Burundi itakabiliana na biashara ya magendo ya binadamu
Jul 08, 2016 09:08Mkuu wa Tume Huru ya Haki za Binadamu nchini Burundi amesema kuwa, nchi hiyo itakabiliana kwa nguvu zake zote za biashara ya magendo ya binadamu.
-
Seikali ya Burundi yatuhumiwa kuwatesa wapinzani
Jul 08, 2016 03:00Serikali ya Burundi kwa mara nyingine tena imetuhumiwa kwamba inawatesa wapinzani wake.
-
Azma ya serikali ya Burundi kwa ajili ya kurejesha usalama nchini humo
Jul 03, 2016 12:27Rais wa Burundi ametangaza azma ya serikali yake ya kutatua masuala kadhaa, ikiwemo kurejeshwa usalama nchini humo.
-
Rais Nkurunziza: Tunajitahidi kuimarisha usalama na amani Burundi
Jul 02, 2016 08:50Rais Pirre Nkurunziza wa Burundi amesema kuwa, serikali yake imezimia kuimarisha usalama na amani nchini humo.
-
Jumuiya za kiraia Burundi zaitaka serikali kupambana na magendo ya wanawake
Jul 02, 2016 03:33Jumuiya za kiraia nchini Burundi zimeitaka serikali ya nchi hiyo kukomesha magendo ya wanawake na wasichana wanaotoroshwa nchini humo na kupelekwa nchi za nje hususan Saudi Arabia.