-
Hali ya haki za binadamu Burundi yajadiliwa katika Baraza la Haki za Binadamu
Jun 29, 2016 22:58Hali ya haki za binadamu nchini Burundi imejadiliwa katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
AU yataka kusuluhishwa mzozo wa Burundi haraka
Jun 28, 2016 03:04Umoja wa Afrika umetoa wito wa kufanyika haraka mazungumzo ya kina yatakayojumuisha pande zote husika kwa ajili ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi.
-
Wanaharakati wataka kukomeshwa ukiukwaji wa haki za binadamu Burundi
Jun 25, 2016 23:42Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ishughulikie ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Burundi.
-
Polisi Burundi yawakamata wafanya magendo ya binadamu
Jun 21, 2016 10:29Polisi ya Burundi imewatia nguvuni watu kadhaa kwa tuhuma za kushiriki katika magendo ya binadamu.
-
AU yazitolea wito pande hasimu Burundi kufanya mazungumzo
Jun 19, 2016 22:50Wawakilishi wa Umoja wa Afrika (AU) katika mgogoro wa kisiasa wa Burundi wamezitolea wito pande zinazozozana katika mgogoro wa nchi hiyo kutatua hitilafu zao kwa njia ya mazungumzo.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya hali ya kiusalama DRC
Jun 18, 2016 03:37Umoja wa Mataifa umeonya kuwa, yumkini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikatumbukia katika wimbi la ghasia za uchaguzi kama Burundi.
-
UN yaanza kufanya uchunguzi wa uvunjaji wa haki za binaadamu Burundi
Jun 14, 2016 03:32Kundi moja la wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa limefanya safari nchini Burundi kwa ajili ya kufanya uchunguzi kuhusu uvunjwaji wa haki za binaadamu nchini humo.
-
Karibu robo nzima ya wananchi wa Burundi wanaishi katika mgogoro mkubwa wa chakula
Jun 13, 2016 11:07Taasisi mbalimbali za kimataifa zimetangazao kuwa, asilimia 23 ya wananchi wa Burundi wanateseka kwa lishe duni.
-
Makumi wauawa katika mapigano makali jijini Bujumbura
Jun 12, 2016 09:51Duru za habari nchini Burundi zimeripoti kujiri mapigano makali kati ya askari wa serikali na waasi katika maeneo kadhaa ya jiji la Bujumbura, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Polisi wa Burundi kuondolewa Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jun 12, 2016 00:00Umoja wa Mataifa umetangaza habari ya kuondolewa maafisa wa polisi wa Burundi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati ifikapo mwishoni mwa mwezi ujao wa Julai.