-
Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani
Jun 11, 2016 03:05Licha ya juhudi za kimataifa na za kieneo za kutaka kutatuliwa mgogoro wa Burundi, lakini serikali ya nchi hiyo imesema haiko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa upinzani.
-
Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi
Jun 08, 2016 09:59Hali ya mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi imeongezeka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda bi Louise Mushikiwabo kusema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na vitisho vya kiusalama kutoka Burundi.
-
Burundi hali bado si shwari
Jun 06, 2016 09:44Anga ya kisiasa nchini Burundi imeendelea kuwa mbaya, huku duru za habari zikiripoti habari ya kutiwa nguvuni na maafisa usalama wa nchi hiyo mwandishi wa habari Egide Ndayisenga.
-
Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza
Jun 03, 2016 10:16Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.
-
Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao
May 29, 2016 03:05Spika wa Baraza la Seneti nchini Burundi ameelezea habari ya safari ya Spika wa Bunge la nchi hiyo, Révérien Ndikuriyo nchini Morocco katika kukamilisha ushirikiano wa pamoja wa kibunge baina ya nchini hizo mbili.
-
Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi
May 28, 2016 23:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.
-
Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi
May 28, 2016 03:17Umoja wa Mataifa umetaka yafanyike mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.
-
Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi
May 25, 2016 08:55Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.
-
Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi
May 24, 2016 23:37Muungano mkuu wa upinzani nchini Burundi unaoitwa CNARED umesema uko tayari kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani iwapo utaalikwa rasmi.
-
UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada
May 22, 2016 11:52Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.