Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Burundi: Hatutaki mazungumzo ya amani na upinzani

    Jun 11, 2016 03:05

    Licha ya juhudi za kimataifa na za kieneo za kutaka kutatuliwa mgogoro wa Burundi, lakini serikali ya nchi hiyo imesema haiko tayari kufanya mazungumzo na viongozi wa upinzani.

  • Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Kuongezeka mivutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Jun 08, 2016 09:59

    Hali ya mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi imeongezeka baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda bi Louise Mushikiwabo kusema kuwa nchi yake iko tayari kukabiliana na vitisho vya kiusalama kutoka Burundi.

  • Burundi hali bado si shwari

    Burundi hali bado si shwari

    Jun 06, 2016 09:44

    Anga ya kisiasa nchini Burundi imeendelea kuwa mbaya, huku duru za habari zikiripoti habari ya kutiwa nguvuni na maafisa usalama wa nchi hiyo mwandishi wa habari Egide Ndayisenga.

  • Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Kuendelea hali tete Burundi licha ya makataa yaliyotolewa na Nkurunziza

    Jun 03, 2016 10:16

    Hali imeendelea kuwa tete nchini Burundi licha ya Rais Pierre Nkurunzinza kutoa muda maalumu kwa kundi la wapinzani wa serikali, wa kuachana na upinzani wao.

  • Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao

    Burundi na Morocco kuimarisha ushirikiano wa kibunge baina yao

    May 29, 2016 03:05

    Spika wa Baraza la Seneti nchini Burundi ameelezea habari ya safari ya Spika wa Bunge la nchi hiyo, Révérien Ndikuriyo nchini Morocco katika kukamilisha ushirikiano wa pamoja wa kibunge baina ya nchini hizo mbili.

  • Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    Ombi la kufanyika mazungumzo mapana nchini Burundi

    May 28, 2016 23:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka kufanyika mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyika mazungumzo mapana Burundi

    May 28, 2016 03:17

    Umoja wa Mataifa umetaka yafanyike mazungumzo mapana kati ya wapinzani na serikali ya Burundi.

  • Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    Watu wawili wengine wauawa nchini Burundi

    May 25, 2016 08:55

    Watu wasiojulikana wenye silaha wameshambulia ofisi ya chama tawala cha CNDD-FDD katika wilaya ya Ndava huko Mwaro nchini Burundi na kuuawa polisi mmoja na raia mwengine mmoja.

  • Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    Upinzani kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi

    May 24, 2016 23:37

    Muungano mkuu wa upinzani nchini Burundi unaoitwa CNARED umesema uko tayari kushiriki duru mpya ya mazungumzo ya amani iwapo utaalikwa rasmi.

  • UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    UN: Wakimbizi wa Burundi na DRC walioko Rwanda wanahitaji msaada

    May 22, 2016 11:52

    Umoja wa Mataifa umesema wakimbizi raia wa Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo walioko nchini Rwanda wanahitajia misaada ya dharura na kwamba idadi ya wakimbizi wanaoingia nchini humo kutoka nchi mbili hizo na haswa Burundi ni ya kutia wasi wasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS