-
Sisitizo la Umoja wa Afrika la kutuma askari wa kimataifa nchini Burundi
May 21, 2016 08:42Umoja wa Afrika AU umetoa ripoti maalumu kuhusiana na uvunjaji wa haki za binadamu nchini Burundi na kusisitizia nia ya umoja huo ya kutuma askari wa kimataifa wa kulinda amani nchini humo.
-
Burundi yaituhumu tena Rwanda kuwa inaharibu usalama wake
May 20, 2016 02:36Kwa mara nyingine tena serikali ya Burundi imeituhumu Rwanda kuwa inafanya njama za kuharibu utulivu nchini humo.
-
Radiamali ya serikali ya Rwanda kwa tuhuma kwamba inachochea machafuko nchini Burundi
May 14, 2016 07:17Serikali ya Rwanda imetoa radiamali kuhusiananna tuhuma dhidi yake kwamba, imekuwa ikichochea machafuko katika nchi jirani ya burundi.
-
21 wahukumiwa kifungo cha maisha jela Burundi kwa 'kupanga mapinduzi'
May 10, 2016 02:25Mahakama ya Juu ya Burundi imetoa hukumu ya maisha jela kwa maafisa 21 wa jeshi la nchi hiyo, wanaodaiwa kuhusika na njama iliyofeli ya kuipindua serikali mwezi Mei mwaka jana wa 2015.
-
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aonyesha wasiwasi wake kuhusiana na hali ya Burundi
May 09, 2016 03:17Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ameonyesha wasiwasi alionao kuhusiana na hali ya mambo nchini Burundi.
-
Polisi ya Burundi yatangaza idadi ya wahanga wa machafuko ya nchi hiyo
May 04, 2016 03:26Machafuko nchini Burundi yaliyodumu kwa mwaka mzima sasa yamepelekea watu 451 kuuawa.
-
Indhari ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR kuhusiana na hali ya Burundi
May 03, 2016 08:00Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetoa ripoti na kutangaza kuwa, katika hali ambayo umepita mwaka mmoja tangu mgogoro wa Burundi ulipoibuka, hali ya mambo nchini humo ingali si shwari na kwamba, wananchi wa nchi hiyo wanaendelea kukimbilia katika nchi jirani.
-
Kikao cha Arusha kwa ajili ya amani ya Burundi chaahirishwa
May 01, 2016 23:29Mazungumzo ya amani ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini Burundi ambayo yalitazamiwa kuanza leo Jumatatu mjini Arusha nchini Tanzania yameahirishwa.
-
Watu wenye silaha wafanya hujuma mpya jijini Bujumbura Burundi
Apr 29, 2016 11:42Watu wenye silaha wamefanya shambulizi huko Bujumbura, mji mkuu wa Burundi, na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
Yumkini idadi ya waliouawa Burundi imepindukia 1,000
Apr 28, 2016 10:46Umoja wa Mataifa umetaarifiwa kuwa idadi ya watu waliouawa katika mgogoro wa kisiasa nchini Burundi yumkini imepindukia watu 1,000.