-
UN, lazima jinai za machafuko ya nchini Burundi zichunguzwe
Apr 28, 2016 03:02Umoja wa Mataifa umetaka kuanza kuchunguzwa vitendo vya mauaji nchini Burundi.
-
Machafuko ya Burundi yaitia wasiwasi jamii ya kimataifa
Apr 27, 2016 03:25Machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika nchi ya Burundi yameitumbukiza nchi hiyo katika mgogoro mkubwa. Mauaji ya Waziri wa Haki za Binadamu, Martin Nivyabandi na mkewe na yale ya hivi majuzi ya Athanase Kararuza aliyekuwa mshauri wa masuala ya kijeshi wa Rais wa Burundi, yameizamisha zaidi nchini hiyo katika lindi kubwa la machafuko na ukosefu wa amani.
-
Faili la kuchunguza hali ya Burundi lafunguliwa katika mahakama ya ICC
Apr 25, 2016 10:36Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imefungua faili maalumu la kufuatilia hali ya kisiasa na kiusalama ya Burundi.
-
UNHCR: Wananchi wa Burundi wanazidi kuikimbia nchi yao
Apr 22, 2016 23:51Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia wakimbizi (UNHCR), limetangaza kuwa idadi ya wakimbizi wa Burundi wanaoomba hifadhi nchi jirani inaongezeka na sasa imefikia 260,000.
-
Burundi yawatimua raia wa nchi zilizosimamisha ushirikiano na Bujumbura
Apr 22, 2016 10:45Burundi imewataka raia wa nchi za kigeni zilizosimamisha ushirikiano na serikali ya Bujumbura, kuondoka nchini humo.
-
Umwagaji damu waendelea Burundi, watu wengine 4 waua
Apr 21, 2016 10:53Watu wanne wameuawa katika matukio mawili tofauti katika kile kinachoonekana ni mauaji ya kulipiza kisasi kati ya maafisa wa serikali na waasi nchini Burundi.
-
Serikali ya Burundi yaomba iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Jumuiya ya Francophone
Apr 17, 2016 02:30Serikali ya Burundi imeomba iondolewe vikwazo ilivyowekewa na Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Lugha ya Kifaransa (Francophone).
-
Afisa wa serikali ya Burundi auawa katika makabiliano ya kulipiza kisasi
Apr 14, 2016 10:01Afisa wa chama tawala nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi, katika kile kinachoonekana ni wimbi la makabiliano ya kulipiza kisasi dhidi ya serikali.
-
Watu 46 wameuawa Burundi mwaka huu
Apr 14, 2016 02:52watu 46 wameripotiwa kuuawa ndani ya kipindi cha miezi mitatu ya mwanzoni mwa mwaka huu katika ghasia zinazoendelea nchini Burundi.
-
Watu watano wauawa sokoni nchini Burundi
Apr 12, 2016 11:38Watu watano wamepigwa risasi na kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa Jumatatu usiku kufuatia hujuma iliyofanyika katika soko moja mashariki mwa Burundi.