Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi

    Apr 02, 2016 03:27

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutuma kikosi cha maafisa wa polisi wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kudhibiti hali ya mambo nchini humo.

  • Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa

    Apr 02, 2016 01:49

    Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.

  • Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani

    Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani

    Apr 01, 2016 02:52

    Rwanda imeitaka serikali ya Burundi kueleza chanzo cha kifo cha balozi wa zamani wa nchi hiyo nchini Ubelgiji na Ufaransa Jacques Bihozagara.

  • Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi

    Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi

    Mar 30, 2016 22:59

    Waziri wa zamani w Rwanda, Jacques Bihozagara ameaga dunia akiwa katika jela ya Burundi yapata miezi minne baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya ujasusi.

  • Mkutano wa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki nchini Burundi

    Mkutano wa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki nchini Burundi

    Mar 30, 2016 06:34

    Mji mkuu wa Burundi Bujumbura ni mwenyeji wa mkutano wa ukanda wa nchi za Afrika Mashariki ambao lengo lake ni kupanua ushirikiano wa pamoja na ustawi wa kijamii katika nchi hizo.

  • Kikao cha ushirikiano wa nchi za Mashariki mwa Afrika chaendelea nchini Burundi

    Kikao cha ushirikiano wa nchi za Mashariki mwa Afrika chaendelea nchini Burundi

    Mar 29, 2016 23:27

    Kikao cha ushirikiano na ustawi wa kijamii wa nchi za ukanda wa eneo la Mashariki mwa Afrika, kinaendelea jijini Bujumbura, Burundi licha ya mgogoro wa kisiasa kuendelea kushuhudiwa nchini.

  • EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia

    EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia

    Mar 29, 2016 11:14

    Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.

  • Mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi

    Mar 28, 2016 03:22

    Chama tawala Burundi kimemtuhumu Rais wa Rwanda kuwa anatekeleza maangamizi ya kizazi. Paschal Nyabenda mkuu wa chama tawala cha Burundi CNDD-FDD ameashiria maangamizi ya kizazi yaliyojiri Rwanda na kueleza kuwa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo anawasajili vijana wa Burundi katika kambi za wakimbizi zilizopo Rwanda na kuwapatia mafunzo, ili baadaye wakirejea nchini kwao watekeleze mauaji ya kimbari.

  • Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari

    Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari

    Mar 27, 2016 22:31

    Chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD kimemtuhumu Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa anataka "kusafirisha" mauaji ya kimbari, huku uhusiano kati ya nchi mbili hizo jirani ukizidi kuharibika.

  • Burundi: Jeshi letu halijagawanyika makundi mawili

    Burundi: Jeshi letu halijagawanyika makundi mawili

    Mar 26, 2016 12:27

    Msemaji wa jeshi la Burundi amekadhibisha habari za kugawika makundi mawili jeshi la nchi hiyo. Gaspard Baratuza ameyasema hayo kupitia mahojiano ya redio na kuongeza kuwa, ripoti za baadhi ya wanasiasa juu ya kugawika jeshi la nchi hiyo katika makundi mawili ya Kihutu na Kitutsi, hayana ukweli wowote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS