-
Baraza la Usalama kutuma kikosi cha polisi Burundi
Apr 02, 2016 03:27Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio la kutuma kikosi cha maafisa wa polisi wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kudhibiti hali ya mambo nchini humo.
-
Watetezi wa Haki: Hali ya Burundi inatisha, zaidi ya 381 wameuawa hadi sasa
Apr 02, 2016 01:49Tume Huru ya Kutetea Haki za Binadamu nchini Buundi imeelezea wasi wasi wake kuhusiana na hali ya kiusalama na kisiasa nchini Burundi na kuongeza kwamba mamia ya watu wamekwishauawa kufikia sasa.
-
Rwanda yaitaka Burundi ifafanue kuhusu kifo cha mwanadiplomasia wake wa zamani
Apr 01, 2016 02:52Rwanda imeitaka serikali ya Burundi kueleza chanzo cha kifo cha balozi wa zamani wa nchi hiyo nchini Ubelgiji na Ufaransa Jacques Bihozagara.
-
Waziri wa zamani wa Rwanda afia jela Burundi
Mar 30, 2016 22:59Waziri wa zamani w Rwanda, Jacques Bihozagara ameaga dunia akiwa katika jela ya Burundi yapata miezi minne baada ya kutiwa nguvuni kwa tuhuma za kufanya ujasusi.
-
Mkutano wa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki nchini Burundi
Mar 30, 2016 06:34Mji mkuu wa Burundi Bujumbura ni mwenyeji wa mkutano wa ukanda wa nchi za Afrika Mashariki ambao lengo lake ni kupanua ushirikiano wa pamoja na ustawi wa kijamii katika nchi hizo.
-
Kikao cha ushirikiano wa nchi za Mashariki mwa Afrika chaendelea nchini Burundi
Mar 29, 2016 23:27Kikao cha ushirikiano na ustawi wa kijamii wa nchi za ukanda wa eneo la Mashariki mwa Afrika, kinaendelea jijini Bujumbura, Burundi licha ya mgogoro wa kisiasa kuendelea kushuhudiwa nchini.
-
EU kupunguza ufadhili kwa askari wa Burundi walioko Somalia
Mar 29, 2016 11:14Umoja wa Ulaya unapanga kupunguza ufadhili wake kwa askari wa Burundi ambao ni miongoni mwa wanajeshi wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM.
-
Mvutano katika uhusiano wa Rwanda na Burundi
Mar 28, 2016 03:22Chama tawala Burundi kimemtuhumu Rais wa Rwanda kuwa anatekeleza maangamizi ya kizazi. Paschal Nyabenda mkuu wa chama tawala cha Burundi CNDD-FDD ameashiria maangamizi ya kizazi yaliyojiri Rwanda na kueleza kuwa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo anawasajili vijana wa Burundi katika kambi za wakimbizi zilizopo Rwanda na kuwapatia mafunzo, ili baadaye wakirejea nchini kwao watekeleze mauaji ya kimbari.
-
Rais wa Rwanda atuhumiwa na Burundi 'kusafirisha' mauaji ya kimbari
Mar 27, 2016 22:31Chama tawala nchini Burundi cha CNDD-FDD kimemtuhumu Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa anataka "kusafirisha" mauaji ya kimbari, huku uhusiano kati ya nchi mbili hizo jirani ukizidi kuharibika.
-
Burundi: Jeshi letu halijagawanyika makundi mawili
Mar 26, 2016 12:27Msemaji wa jeshi la Burundi amekadhibisha habari za kugawika makundi mawili jeshi la nchi hiyo. Gaspard Baratuza ameyasema hayo kupitia mahojiano ya redio na kuongeza kuwa, ripoti za baadhi ya wanasiasa juu ya kugawika jeshi la nchi hiyo katika makundi mawili ya Kihutu na Kitutsi, hayana ukweli wowote.