-
Baraza la Haki za Binadamu laitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi
Mar 23, 2016 10:30Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa jana liliitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi.
-
Kamanda wa jeshi la Burundi auawa kwa kupigwa risasi
Mar 22, 2016 22:36Kamanda mmoja wa jeshi la Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.
-
Ki-moon: Viongozi wa kisiasa Burundi waonyeshe ushujaa wao kupitia mazungumzo
Mar 20, 2016 04:46Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon ameitaka serikali na viongozi wa upinzani nchini Burundi, kufanya mazungumzo yenye itibari ili kumaliza mgogoro wa nchi hiyo.
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusiana na kuongezeka machafuko nchini Burundi
Mar 19, 2016 13:21Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusiana na kuongezeka utumiaji mabavu na vitendo vya utesaji katika nchi ya Burundi.
-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 05:57Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Machafuko yashika kasi zaidi nchini Burundi
Mar 17, 2016 03:33Raia kadhaa wanaripotiwa kuuawa katika machafuko yanayoendelea huko kusini mwa Burundi.
-
Wapinzani Burundi: AU imeshindwa kutetea demokrasia
Mar 13, 2016 13:00Viongozi wa upinzani nchini Burundi wameukosoa vikali Umoja wa Afrika (AU) kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo tangu mwezi Aprili mwaka jana 2015.
-
Ubelgiji yaitaka serikali ya Burundi izungumze na wapinzani
Mar 12, 2016 11:56Serikali ya Ubelgiji imeitaka serikali ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi iandae mazingire ya kufanyika mazungumzo kati yake na wapinzani na kusisitiza kuwa udharura wa kufanyika mazungumzo hayo hivi sasa ni mkubwa zaidi kuliko wakati mwingine wowote.
-
Polisi ya Burundi yamtia mbaroni kiongozi wa upinzani
Mar 11, 2016 12:55Polisi nchini Burundi imetangaza kuwa, imemtia mbaroni kiongozi mmoja wa chama cha upinzani.
-
Wataalamu wa UN watiwa wasi wasi na uvunjwaji mkubwa wa haki za binadamu Burundi
Mar 10, 2016 13:11Wataalamu wa kujitegemea wa Umoja wa Mataifa, wameielezea hali ya haki za binadamu nchini Burundi kuwa ya kutia wasi wasi mkubwa.